Survival for your fitness ......
Nakumbuka ule mchezo wa utotoni ulikuwa unaibwa ..Watoto wangu eee, mimi mama yenu....sina nguvu tena....ya kuua simba.......simba ni mkali...eee aliua baba.....etc Sasa pilikapilika inakuja baada ya mama kusema "Watoto wangu njoooni..."
Ndiyo hii pilikapilika tuliyonayo sasa, mwenye barakoa haya, asiyenayo sawa, mwenye nyugu haya.....
Nakumbuka ule mchezo wa utotoni ulikuwa unaibwa ..Watoto wangu eee, mimi mama yenu....sina nguvu tena....ya kuua simba.......simba ni mkali...eee aliua baba.....etc Sasa pilikapilika inakuja baada ya mama kusema "Watoto wangu njoooni..."
Ndiyo hii pilikapilika tuliyonayo sasa, mwenye barakoa haya, asiyenayo sawa, mwenye nyugu haya.....