Utavaa barakoa wakati umeambiwa corona hamna??, what for?? Kuhusu chanjo wenzako walifanya utafiti ikawa inafanya kazi sasa kama unaona kuna ishu unaingia lab una support ama unapinga ukiwa na valid reasons
 

Swali muhimu la kujiuliza mpaka tukaruhusu wanafunzi mechi za mpira na kila mikusanyiko ile corona tuliishindaje?Je na hii mpya tunaweza kuishinda vipi?
 
Wacheni Kutegemea mtu nae ni mtu kama Nyie
Hata akitoka aseme haitasaidia kwani hamuoni hatari hii ni kubwa?? Tujisaidie wenyewe akitoka pengine ndio aseme Mungu ametenda muujiza utafanyaje??

Mkuu wewe una smartphones unaweza ku access information popote pale, umewafikiria wale ambao hawana access to information kauli za Corona hamna tanzania zinawa affect vipi?
 
Swali muhimu la kujiuliza mpaka tukaruhusu wanafunzi mechi za mpira na kila mikusanyiko ile corona tuliishindaje?Je na hii mpya tunaweza kuishinda vipi?
[14]BWANA atawapigania ninyi, nanyi mtanyamaza kimya.
 
Mkuu wewe una smartphones unaweza ku access information popote pale, umewafikiria wale ambao hawana access to information kauli za Corona hamna tanzania zinawa affect vipi?
Hawa ndio wanakufa hovyo huko na kwasababu si maarufu, habari zao hazisambai.
 
Acheni ujinga jamani!

Huko walikofanya yote hakuna vifo? Huu ugonjwa hakuna njia yeyote iliyoonesha kufanikiwa sasa unataka uambiweje?

Hili litapita
 
Hakuna anayekufa hovyo,
Acha kutia watu ofu,.
Mtaani kwangu ndani ya siku 7 last week wameondoka watu 5 wote kwa changamoto za kupumua. Hao ninao wafahamu na walikuwa bukheri wa afya, je huko tusipokuwa na access na info Hali ikoje?
Bora tutiane hofu ili tupone kuliko kunyamaza watu waendelee kudondoka kimya kimya.
 
Inaitwa "acute pneumonia".
 
Acheni ujinga jamani!

Huko walikofanya yote hakuna vifo? Huu ugonjwa hakuna njia yeyote iliyoonesha kufanikiwa sasa unataka uambiweje?

Hili litapita

Kwa hio unaona sawa kwa vile vifo vipo nchi nyingine then tusichukue hatua kukabiliana na covid?
 
😈
 
Kwa hio unaona sawa kwa vile vifo vipo nchi nyingine then tusichukue hatua kukabiliana na covid?
Hatua ipi?

Hakuna hatua yeyote iliyooonesha kuondoa corona, achana na nchi za kiafrika maana wao walikuwa wanaigiza wanachukua hatua, bali angalia kule marekani na ulaya pamoja na hatua kali umeona vifo vyao?

Sasa kama hali ni ile unataka sisi tufanyaje?
 
This time kisanga...
 
Ushauri wangu vipimo vinunuliwe kila kata kuwepo kituo cha kupima maambukizi ili kila mwenye maambukizi ajifahamu mapema awezi kuanza matibabu mapema na kujitenga na ndugu, jamaa na marafki ili kuwalinda. Tunapoacha wenye maambukizi wabaki nayo mpaka wanazidiwa kabisa kwanza wanakuwa kwenye hatari zaidi ya kufa na pili wanakuwa wamewaambukiza wengi zaidi. Mwa mwisho, dawa zinazosaidia kukabiliana na maambukizi haya katika hatua ya mwanzo ziwekwe wazi na ziwe kwenye kundi la DAWA BARIDI ili kila raia aweze kuzipata kirahisi.
 
Hakuna nchi inayofanania kithamani na Tanzania karibia na dunia mzima,
Tanzania inathamani kubwa.

Kwanini mnafikilia kuiuza au unataka tuinunue Kongo, Nchumbiji, au Ghana?.
Ni kweli nchi yetu ina thamani mno... lengo kila mtu apewe chake ajikatae!!!


Sasa mbn tunaongozwa na watu wa majalalani??
 
Tumebakiza Masaa machache sana kabla Jiwe hajawa kwenye sickbed,uzuri alishasema "Mimi nikifa naomba nizikwe Chato"

Kwahiyo mapenzi ya Mungu yakishatimizwa tutakachofanya sisi ni kumpeleka kijijini kwao chato na kumdump kama tulivyomdamp yule mzee mnene mjinga wa Lupaso
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…