Mbona kama Cpwaa alikua amevimba mashavu? si kwamba alikua na matatizo yake mengine?.basi mtu akifa tuu siku hzi corona
 
Mbona kama Cpwaa alikua amevimba mashavu? si kwamba alikua na matatizo yake mengine?.basi mtu akifa tuu siku hzi corona
Ndio hayo ambayo mie nayasema humu,ukihoji unaambiwa Tz sijui sio kisiwa,kwahiyo kwa sababu Tz sio kisiwa basi ndio kila kifo kiwe ni corona.
 
Corona hakuna Tanzania wacha kuichafua inchi.

100% ya watu watokao Tanzania kuingia inchi za nje hawana corona.

Mfano,, baharia yeyote akiingia saudia lazima apimwe tena corona baada ya siku 14 lock down.

Lakini hakuna hata mmoja aliyekutwa covid 19 positive..
Na mabaharia wa Tanzania ndy wanaotamba kwa sasa ..saudia,Dubai.nk.
 
Wewe Pimbi hebu acha kunipotezea muda kwani huna unachokijua na bakia na huo huo Ujuha wako kuwa Tanzania hakuna Deportivo la Corona.
 
Hii kitu ipo bro, tuache stori za mtandaoni, kujifanya tumeishinda corona. Desemba 13 tumepoteza dada wa jirani yangu hapa ninapoishi kwa matatizo haya haya ya kupumua. Usihitaji maelezo zaidi. Kikubwa ni kuendelea kunawa kwa maji na sabuni.
 
Wewe Pimbi hebu acha kunipotezea muda kwani huna unachokijua na bakia na huo huo Ujuha wako kuwa Tanzania hakuna Deportivo la Corona.
Kuna wajinga wa aina mbili,kuna mtu anafanya au hafanyi jambo fulani kwa sababu ya ujinga ila kuna wale ambao hufanya jambo fulani ili asionekane kuwa ni mjinga aonekane kuwa nae msoni ni mtu wa hadhi fulani. Ila kiujumla wote ni wajinga.
 
Hii kitu ipo bro, tuache stori za mtandaoni, kujifanya tumeishinda corona. Desemba 13 tumepoteza dada wa jirani yangu hapa ninapoishi kwa matatizo haya haya ya kupumua. Usihitaji maelezo zaidi. Kikubwa ni kuendelea kunawa kwa maji na sabuni.
Vifo vya matatizo ya kupumua before corona takwimu zake zilikuwa zikoje ukilinganisha na sasa?
 
Kuna watz ni wajinga sanaa, hivi mf jirani yako umasikia analia shamba lake la mahindi limeliwa lote na ng'ombe, je ww mashamba yako ambayo yapo mwanzoni kabisa yatakuwa yamepona kweli??? Au kwamba ng'ombe toka kuzimu walikula shamba la jiran lillilo katikat ya mashamba yako???

Chukueni hizo akili mlizoshikiwa mfikirie tu sec 30 jibu utapata.
Tusiwe nyuma kwa kila jambo aseee
 
Mkuu
Missile of the Nation
Issue ya covid-19 ni tete sana.
Watu kitaa wanasema, ila at the end of the day inabaki kuwa ni ishu yako na familia yako, serikali haitaki kuendelea na jitihada za kuwaamsha wananchi kuzidisha jitihada za kujilinda. Wale wasio na elimu na ufahamu wanaamini kauli ya serrikali kuwa Tanzania hakuna Korona na hivyo hawajilindi kabisa
 
Vifo vya matatizo ya kupumua before corona takwimu zake zilikuwa zikoje ukilinganisha na sasa?
Hilo siwezi kulisemea. Lkn huyu marehemu jirani alikufa kwa corona, kwa mujibu wa madaktari. Kwenye proess zote, hatukuruhusiwa kuaga maiti.
 
Kuna wajinga wa aina mbili,kuna mtu anafanya au hafanyi jambo fulani kwa sababu ya ujinga ila kuna wale ambao hufanya jambo fulani ili asionekane kuwa ni mjinga aonekane kuwa nae msoni ni mtu wa hadhi fulani. Ila kiujumla wote ni wajinga.
Foolish!
 
Jumatano ilopita niliingia dukani mitaa ya clock tower kwa khimj ,then duka moja la nguo karibu na DIOMOND TRUST BANK.

WADOSI wote wamevaa Barakoa.

Nilipolipa bundle la pesa noti,mara alipomaliza kuhesabu Akajisanitize !!

Nikasema hii ni nini?
Tuchukue tahadhari COVID 19 ni kama bado IPOIPO.
 
Hilo siwezi kulisemea. Lkn huyu marehemu jirani alikufa kwa corona, kwa mujibu wa madaktari. Kwenye proess zote, hatukuruhusiwa kuaga maiti.
Unajua kuna vitu vya msingi ambavyo ndio tulitakiwa tuvijadili katika mada hii ya corona ila bahati mbaya ukiuliza unaonekana umeaminishwa hakuna corona.

Mfano kama hapo kutokana na maelezo yako hayo ni kwamba kumbe bado sasa kuna baadhi ya misiba watu hukatazwa kuwaaga maiti kwa sababu marehemu alikufa kwa corona,mimi nilijua hili suala halipo tena,lakini pia kumbe vipimo vya corona huko hospitali vinaendelea kama kawaida na watu hukutwa na corona na majibu hutolewa.
 

Sasa bora wewe unaamini ipo ila unataka kila mtu apambane na hali yake ILA kuna watanzania wenzako mamilioni kwa mamilioni hawaamini kuwa korona ipo na hawana mpango wa kuchukua tahadhari. Kazi hii ya kuwaaminisha watanzania kuwa hakuna Korona anaendelea kuifanya Magufuli kila apatapo nafasi ya kuongea na umma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…