rubbish
 
Corona hebu tembelea viongozi wakuu wa nchi..waguse kama wawili watatu hivi ili waamini kwamba wewe upo na umekuja kivingine this time.
 
Mie siseme kuwa Tz hakuna corona bali mimi nahoji tu maana kila mtu anasema lake. Kama kuhusu kupima watu humu wanasema kuwa huko hospitali wagonjwa wanapimwa corona ukiacha na kule mabibo watu wanakopima kwa ajili ya kutaka kusafiri,ila tu hawatoi takwimu.
 
Corona hebu tembelea viongozi wakuu wa nchi..waguse kama wawili watatu hivi ili waamini kwamba wewe upo na umekuja kivingine this time.
Yani unachokisema hapa ni sawa kwamba wewe unajua kuwa corona ipo ila hao viongozi wa nchi ndio hawajui kama corona ipo kwamba hadi wafe wenzao.
 
Chukua tahadhari wewe na mkeo tu
 
Sasa hivi kuna wimbi kubwa la watu wanaofariki kwa ugonjwa wa Pneumonia akiwemo msanii almaarufu kwa jina C-PWAA zamani uhuni na uongo ulikuwa unafanywa na mtu mmoja mmoja ila awamu hii serikali inakuwa inafanya uhuni na utapeli kwa level za taifa na kimataifa.
 
Pneumonia inafanana dalili zake na za corona,sasa sijajua wanadanganya kusingizia pneumonia au sie tukisikia pneumonia katika kipindi hiki cha corona tunaona itakuwa ni corona ila tunadanganywa pneumonia.
 
Askofu Bagonza naye alisema kuwa Karagwe vifo vya watu kwa ugonjwa wa kushindwa kupumua vinaongezeka
 
Ishu ya corona chagua wa kumuamini Kati ya mwanasiasa au mtaalamu na umfuate
 
Kunaumuhimu chadema waazishe oparesheni tokomeza korona harafu waje na mifano ,mana hii mifumo upumuaji kufeli sio mchezo
 
Kunaumuhimu chadema waazishe oparesheni tokomeza korona harafu waje na mifano ,mana hii mifumo upumuaji kufeli sio mchezo
Mambo haya yanaibuka tena baada ya uchaguzi kuisha,tatizo bongo siasa tumeweka mbele sana hawa hawa wanaopigia kelele hapa za corona miongoni mwao ndio walikuwa wakishangilia nyomi za watu kwenye mikutano ya kampeni.
 
Ishu ya corona chagua wa kumuamini Kati ya mwanasiasa au mtaalamu na umfuate
Na kwanini uchagua kuamini?

Kama corona ipo na hadi majirani zetu inawasumbua kwanini ukubali kuamini mtu akikwambia Tz haipo? kwanini hadi mtu akuaminishe kuwa Corona ipo Tz na watu wanakufa wakati balaa la Corona linajulikana na wezi kuficha?
 
Mkuu kuna majirani zako wowote wamekufa vifo vya kutatanisha?
tangu nizaliwe sijawahi kusikia jirani yangu au ndugu yangu aliyefariki kwa malaria, je hicho ndio kiwe kigezo kusema hakuna malaria au malaria haiui!!!
 
Corona ipo tena umepamba moto, watu wanakufa sana sisi tumeamua kuendekeza siasa. Uliza madaktari wa Muhimbili na Mloganzila wakupe picha kamili
Ndugu zako wamekufa wangapi, mbona hamna anayejibu hili swali mnakwepa kwepa tuu na story za vijiweni??????
Kila mtu aweke data hapa tufikie conclusion, sio sijui maDR wa wapi wanasema bla bla. Mambo hayaendeshwi hivyo.
 
Sijui msanii C pwaa kafa kwa nn?

Tz zaidi ya uijuavyo
 
Ndugu zako wamekufa wangapi, mbona hamna anayejibu hili swali mnakwepa kwepa tuu na story za vijiweni??????
Kila mtu aweke data hapa tufikie conclusion, sio sijui maDR wa wapi wanasema bla bla. Mambo hayaendeshwi hivyo.
Nilipoteza shemeji yangu wa karibu na hii kitu na hapa tuna msiba wa Mama wa rafiki yangu mazishi keshokutwa. Kama wewe hujaguswa, kaa kimya tu hutapoteza chochote. Tuendelee kuchukua tahadhari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…