Serikali iwe makini wanaofundisha watoto kupigana na kutumia silaha sijui wanajiandaa na nini

Hawa wenzetu siwaelewi kabisa sijui wanajiandaa na jambo gani?
 
Ivi mazoezi ya karate na ugaid vina mahusiano gani nyie maccchoko? Watu wavivu wa mazoezi huwa mna maneno Sana kkenge nyie, acheni chuki za kidini wapuuz nyie, ivi mlisikia lini magaidi wamevamia sehemu kwa kutumia mapigano ya mkono (karate)?
 
Michezo ya Ngumi na karate itafanya nini? Ama unafikiri mtu anaweza pindua Nchi kwa karate? Punguza kuangalia movie nyingi mkuu.

Ki Afya hii Michezo ni mizuri sana, kuliko kufa na kisukari ama magonjwa ya ajabu ajabu acha watu watoke jasho, kuna Sheria gani ya Nchi inakataza? Na kufanya mazoezi ni Ibada pia.
 
Ukiona mwenzako anajifunza ngumi na wewe anza kujifunza, siyo unakuja hapa unalialia
 
Wanajiandaa na DP World kuilinda na kuitetea kwa nguvu zote,na ndiyo maana wameanzia mashuleni.
 
Mwaka 1996 tulikuwa tujifunza karate kanisa la katoliki Morogoro
 
Chadema ifutwe kabisa c
 
Kanisa katoliki ni wavuruga amani ya nchi
 
Huko kwenye boxing na gym,wameajiandaa na nini
 
Pumbafuvu kama umeona wanajifunza kwa nini usilipoto polisi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…