Serikali kufanya maadhimisho ya mwaka mmoja wa Rais Samia madarakani

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Taarifa iliyotolewa na Msemaji Mkuu wa Serikali, ndugu Gerson Msigwa inasema kuwa serikali kuadhimisha mwaka mmoja wa serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan toka alivyoingia madarakani 19/03/2021 kufuatia kifo cha Rais John Magufuli.

Katika maadhimisho hayo kutakuwa na shughuli mbalimbali zitakazofanywa na Mawaziri na watendaji wakuu wa serikali ikiwemo pia kutembelea miradi ya maendeleo.

 
😍
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Yaani mshaanza na besidei jamani tena? Mzilankende atakuwa amechukia huko
 
Yale mavishindo ya awamu ya tano kuoitia TBC yalichukiza mno au nasema uongo ndugu zangu
 
Mnaogopa demokrasia na uhuru wa habari, huyo mama yenu ni mediocrity hastahili hizo ni sofa za kijinga tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…