Serikali: Walimu sasa kufanya mtihani wa kupima uwezo kabla ya kuajiriwa

Serikali: Walimu sasa kufanya mtihani wa kupima uwezo kabla ya kuajiriwa

Huo mtihani ungeanza na Hawa wanaokuja kuomba kura Kila baada ya miaka mitano
Sisi ndo tunawapigia kura kila after five years. Maana yake sisi wapiga kura ndo wenye shida kichwani siyo wanasiasa. Swala la kuiba kura, ni Jambo lingine
 
Najiuliza hawa wanaosomea ualimu huwa hawajui hata utaratibu unaotumiwa na sekretarieti ya ajira? Huwa hawajui watu kule udom wanaenda kufanya nini?

Pia hawa walimu Ina maana wao hawajawahi hata kuomba kazi kwenye mashirika binafsi ambapo napo Kunakua na Mtihani wa online(aptitude test)? Nchi ina vilaza hii tena wengi ndio walimu wanaofundisha Watoto wetu
Walimu hawajishughulishi na chochote yeye atapeleka vyeti vyake vikaguliwe apangiwe kituo huko mfaranyaki basi.
 
Walimu hawajishughulishi na chochote yeye atapeleka vyeti vyake vikaguliwe apangiwe kituo huko mfaranyaki basi.
Nimeshangaa hili, wengi kwenye comments hawaelewi hata PSRS ni nini. Hata kama ajira yako haipitii PSRS, lakini kuijua tu na kufatilia ni jambo ambalo jepesi Sana.

Humu mada zipo nyingi za watu toka miaka hiyo wanaenda kufanya mitihani chuo cha Mwalimu nyerere na pale Duce ili tu wafaulu waingie serikalini. Ina maana hata hizo nyuzi hawasomi?

Kuna haja ya kufanya zaidi ya Mtihani kwa walimu. Weupe mno kichwani
 
Nimeshangaa hili, wengi kwenye comments hawaelewi hata PSRS ni nini. Hata kama ajira yako haipitii PSRS, lakini kuijua tu na kufatilia ni jambo ambalo jepesi Sana.

Humu mada zipo nyingi za watu toka miaka hiyo wanaenda kufanya mitihani chuo cha Mwalimu nyerere na pale Duce ili tu wafaulu waingie serikalini. Ina maana hata hizo nyuzi hawasomi?

Kuna haja ya kufanya zaidi ya Mtihani kwa walimu. Weupe mno kichwani
Wakilie kitimoto km vijana wetu wanavyokalia huko Duce, Udom,Ud na sehemu zingine, intavyuu kwa maticha ni jambo la mbolea na litaleta matokeo chanya.
 
Waziri wa Elimu Adolf Mkenda amesema ifikapo mwezi wa 9 sera mpya ya Elimu itawataka Walimu wanaoomba ajira kufanya kwanza mtihani na atakayefaulu ndiye ataajiliwa. Wadau hili suala mnalionaje. Binafsi naona ni vizuri ili kupunguza Walimu wenye uwezo wa chini kuajiliwa kwa kigezo tu Cha GPA
Kuna walimu ni chenga sana
 
Najiuliza hawa wanaosomea ualimu huwa hawajui hata utaratibu unaotumiwa na sekretarieti ya ajira? Huwa hawajui watu kule udom wanaenda kufanya nini?

Pia hawa walimu Ina maana wao hawajawahi hata kuomba kazi kwenye mashirika binafsi ambapo napo Kunakua na Mtihani wa online(aptitude test)? Nchi ina vilaza hii tena wengi ndio walimu wanaofundisha Watoto wetu
Wengi husomea Ualimu kutokana na kupata ufaulu mdogo

Wanasomea ili waajiriwe

Wanasomea sababu hupata mkopo
 
Ule mtazamo kuwa taaluma ya ualimu ni chaguo la mwisho baada ya kukosa fursa nyingine unakaribia ukingoni, baada ya Serikali kutangaza utaratibu mpya katika ajira za taaluma hiyo.

Utaratibu huo, kwa mujibu wa Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda utahusisha, ili uajiriwe kuwa mwalimu utapaswa kufanya mtihani wa kupima uwezo wako.

Kwa sasa, ajira ya ualimu inahusisha kutuma maombi katika tovuti maalum ya maombi ya ajira, kisha anayepata nafasi hufanyiwa usaili kisha kupangiwa eneo la kazi.

Mwananchi
Ikiwezekana wafanye mitihani ya theory na practical maana wamezidi
 
Huenda una tatizo lingine la ufahamu. Mtihani ni sehemu ya usaili

Sekretarieti ya ajira hutumia mitihani kuchuja mwanzoni, wanaobaki ndio wanaenda kwenye mahojiano ya ana kwa ana(oral interview)
Go back to school!
Kusoma umeshindwa hata kuibia guuguu umeshindwa!
Vivu wewe
 
Ndio maana wanasema walimu waanze kufanyiwa usaili sababu ya akili kama hizi.

Mtihani ni sehemu ya usaili, kada zingine zote unazojua wewe kuanzia engineers, wahasibu, maHR, maafisa kilimo, maafisa ardhi n.k wanafanyiwa usaili kwa miaka mingi. Nadhani ilianza 2010

Mnaanza na Mtihani wa kuandika(written)
Alafu unafata usaili wa mahojiano(oral)

Kama huelewei haya kwa miaka yote hii basi kweli walimu mna upeo mdogo. Hamjui hata PSRS ni nini
Kenge wewe. Si kila kiandikwacho ni mtihani.
Mtihani una kanuni zake kama ilivyo kwa interview.
Interview inafuata Bloom's taxonomy ktk kutunga maswali?
Kwanza nakuinea Bloom's taxonomy unaijua wewe?
Achana na walimu wetu
 
Ule mtazamo kuwa taaluma ya ualimu ni chaguo la mwisho baada ya kukosa fursa nyingine unakaribia ukingoni, baada ya Serikali kutangaza utaratibu mpya katika ajira za taaluma hiyo.

Utaratibu huo, kwa mujibu wa Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda utahusisha, ili uajiriwe kuwa mwalimu utapaswa kufanya mtihani wa kupima uwezo wako.

Kwa sasa, ajira ya ualimu inahusisha kutuma maombi katika tovuti maalum ya maombi ya ajira, kisha anayepata nafasi hufanyiwa usaili kisha kupangiwa eneo la kazi.

Mwananchi
Kwa nini asianze na alionao, ili aweze kuwanoa. Utitiri wa ufaulu dhaifu unaliangamiza taifa.
 
Athari za UPE ( Ualimu Pasipo Elimu) tunazipata mpaka leo.

Athari za Failures wengi kwenda kusomea ualimu tunazipata hadi leo.

Tunaozani ni wasomi wengi jinsi maamuzi yao yanavyoshangaza wengi ni kutokana Na aina ya walimu walowafundisha. [emoji848][emoji848]
 
Huyu waziri ni pasua kichwa anahangaika na mambo ya hovyo kuliko mambo ya maana. Ajifunze kwa wenzake km Mwigulu, Mbarawa au January wanaofanya mambo makubwa ya kusaidia nchi. Waziri unadeal na petty issues zisizo na mashiko. Huo mtihani utahusu nini, mtu amekaa miaka 6 mtaani na frustration unawaza kumwongezea stress? Mbona ana roho ya kikatili hivyo? Yeye akitungiwa mtihani sasa hivi ana uhakika atafaulu? Ni mtihani wa nini kwanza, masomo aliyosomea miaka 3 chuoni? Ukiwa na waziri profesa anajihangaisha na mambo ya hovyo namna hii ni aibu. Abadilishwe wizara ameshalewa huko Elimu.

Mi sijawahi kuona Mkenda akifanya jambo la maana. Wahadhiri wa vyuo vikuu binafsi wanalipwa mishahara midogo kuliko walimu wa shule wala hana habari nao. Badala angalau serikali itengeneze utaratibu wa kutoa ruzuku kusaidia vyuo vikuu binafsi angalau viweze kuwalipa wahadhiri wake vizuri na kuweza kuongeza mishahara yao kila mwaka km vyuo vya umma. Taasisi zote za elimu zinawaelimisha watanzania. Sasa hivi vyuo vikuu binafsi vinaajri wastaafu na waliopo wana miaka zaidi ya 20 hawajawahi kuongezewa mishahara. Walimu wa shule mambo yao mengi yako TAMISEMI, waziri wa elimu ange-deal zaidi na vyuo vikuu, vyuo vya elimu ya kati na vyuo vya diploma. Ni kama amekosa ubunifu na amekosa mwelekeo.
Binafsi simuelewi
 
Back
Top Bottom