Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi kuna maslahi? Unajua mshahara wa Mhasibu wa Halmashauri wewe? Shida yenu hamjikubali mnahisi kama mnalipwa kidogo.Mbona hizo kada nyingine unazosema zina maslahi, posho na marupurupu kwanini isiwe kwa walimu.
Na hapa kwenye hizi interview walimu wa kike wajipange
Hiyo mitihani alisahihisha nani?Nakumbuka mwaka flani walimu tulifanya mtihani flani kwa ajili ya kazi za serikali na 99%tulipiga daraja A wachache sana walipata daraja B
Kati ya watu wako vema ni walimu tz serikali ishughulikie vitu serious kama mishahara promotion madeni miundo mbinu ya shule na vifaa vya kufundishia waone kama watu hawatapiga kazi to the fullest
Hakuna kada yenye stagnation kaka, kila kada ina some improvements year by year. Acheni visingizio, usaili ni lazima sasa.Mhhhh sijui itakuwaje kwa mhitimu wa mafunzo ya ualimu miaka 10 iliyopita na kila mwaka anaomba na kukosa kuitwa hata katika usaili,sijui mtamsaili kwa mtaala upi hapo?
offcourse mkishapata ajira serikalini mnajisahau kabisaNakubaliana na hii. Very thoughtful
Uwezo wa mwalimu ni jambo moja katika mengi yanayotakiwa kufanyiwa maboresho,Utaratibu huo, kwa mujibu wa Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda utahusisha, ili uajiriwe kuwa mwalimu utapaswa kufanya mtihani wa kupima uwezo wako.
kama waziri anataka kada ya ualimu iwe na heshima, anatakiwa aweUle mtazamo kuwa taaluma ya ualimu ni chaguo la mwisho baada ya kukosa fursa nyingine unakaribia ukingoni, baada ya Serikali kutangaza utaratibu mpya katika ajira za taaluma hiyo.
Utaratibu huo, kwa mujibu wa Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda utahusisha, ili uajiriwe kuwa mwalimu utapaswa kufanya mtihani wa kupima uwezo wako.
Kwa sasa, ajira ya ualimu inahusisha kutuma maombi katika tovuti maalum ya maombi ya ajira, kisha anayepata nafasi hufanyiwa usaili kisha kupangiwa eneo la kazi.
Mwananchi
hata walioko kazn wawe wanapigwa paper kila baada ya miaka miwili. Hii ihusu watumishi wote wa umma ikiwemo na huyo waziri .Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda ametangaza utaratibu mpya wa ajira za Ualimu unaoelekeza Walimu kufanya Mtihani wa Kuwapima uwezo kabla ya Kuajiriwa, lengo likiwa ni kurudisha hadhi ya taaluma ya ualimu, isitazamwe kuwa chaguo la mwisho baada ya kukosa nyingine
Utaratibu wa ajira hizo kwa sasa unahusisha kutuma maombi katika tovuti maalum ya maombi ya ajira, kisha anayepata nafasi hufanyiwa usaili kisha kupangiwa eneo la kazi.
Kwa mujibu wa Profesa Mkenda, utaratibu huo utaanza kufanyika katika ajira mpya za taaluma hiyo, na hautafuta mchakato wa usaili, akisisitiza utaendelea kama kawaida ili kupata walimu
Amesema, "Wakati wa kutangaza nafasi mpya za ualimu, wakitaka kupata kazi, watafanya mtihani haijalishi tayari umesoma, kwanza itatuondolea matatizo. Kuajiriwa kuwa Mwalimu utafanya mtihani, utaona matokeo, tutaangalia idadi inayohitajika tutachukua waliofaulu tutawaajiri,"
Chanzo: Mwananchi
Mbona kada zingine walipoanza kufanya usaili hawakuangalia wale walioajiriwa kabla ya huo utaratibu? Walimu mna shida gani na huu utaratibu? Acheni kudekezwa nyie vipi bhana? Fanyeni usaili ndipo muajiriwe, mbona kada zingine tumefanya usaili?kama waziri anataka kada ya ualimu iwe na heshima, anatakiwa awe
1. anawapa mtihani wanaoomba kujiunga na course za ualimu
2.anachagua wenye division one au hata division two basi iwe wenye certificate, diploma na hata watakaoomba kujiunga na masomo ya chuo kikuu kwa course za ualimu/elimu.
vile vile asihusishe waliomaliza 2015, 2016, 2017 na hadi 2022. hii ni kwa sababu hatawatendea haki kwa kuwa vile wenzao walipata/wamepata ajira bila mtihani.
mwisho. Tanzania mbona nchi ya ajabu sana? yaan waziri anashindwa kuwa mbunifu
Anaetoka chuo ni mwalimu kamili.. ila wanatofautiana uwezo. Nadhani ni sahihi kuchuja upya ili kupata walio bora zaidi kwa ufanisi wa kazi.. kama wanavyofanya private schoolsWhich means hawana imani na wakufunzi huko mavyuoni...!!!
Lazima utakuwa una tumbo la Kuhara!Walimu wenyewe wanamashaka makubwa sana na uelewa huyo waziri wao maana nae anaonekana hana uwezo mzuri.
Kuna kitu hukijui bwana mdogo machapisho kila mtu na uwezo wa kuandika kulingana na field aliyopo hata ukimchukua muuza karanga ukampa akills za kuchapisha ataweza kuchapisha kilingana ma field yake mimi sio theory worshipper mzee, machapisho watu wanaandika kwa kunukuu content za wa watu wengine kwani hulijui hiloLazima utakuwa una tumbo la Kuhara!
Hivi unayajua machapisho ya Huyu Mwamba?
Waalimu ni Academicians...ni lazima wapimwe intellectual capacities zao!
Huo unaitwa usaili.
Kwa wale waliojiunga na Chuo kikuu kama Matured age entry walifanya kitu kinaitwa Matriculation.
Hakuna cha ajabu hapo ni kwa Sababu tu watu wako busy na kupinga kila kitu..!
Kwani vyuoni hutunga na kusahihishwa na nani?Professor Mkenda, wazo lako ni nzuri na umelileta wakati sahihi.
1. Mitihani hiyo itatungwa na nani?
2. Mitihani hiyo itasahihishwa na nani.
Go back to school!Usaili ni nini na Mitihani unakupima wakati unaomba ajira ni nini?
Idara ya elimu kwa ujumla kumejaa wababaishaji.Mashule mengi ya msingi na sekondari yamejaa walimu wababaishaji na wakaguzi wa elimu hawalijui hili. Unakuta mwalimu anakwepa kufundisha madarasa fulani anajijua ni mtupu kichwani...