KARLO MWILAPWA
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 2,789
- 4,951
Watu wanapata makasiriko ghafla lakini ukweli usemwe tu usimung'unywe kinachofanywa kwenye kuajiri walimu kupitia TAMISEMI kinakatisha tamaa na kuvunja watu mioyo.
Kuna mtu alikuwa analia kwa machozi kabisa ,naye aliomba ajira za ualimu lakini yeye ambaye vyeti vipo vizuri hajapata lakini kuna mwenzake anamjua hana uwezo mzuri zaidi yake kapata.
Tusichee maisha ya watu, huu utaratibu utapunguza lawama kwa TAMISEMI na utafanya wenye uwezo wachaguliwe.
Napendeza zaidi ,kila anayeomba apewe nafasi ya interview wasifaniwe shortlisting wala nini. Kwanza, waombaji wote wafanye atleast online aptitude short hiyo ndio njia ya kushortlist ,watakaofanikiwa wanaenda kwenye written na watakaofanikiwa wanaenda kwenye practical. Unapewa darasa unafundisha, usipoeleweka ndio basi Tena.
Kuna mtu alikuwa analia kwa machozi kabisa ,naye aliomba ajira za ualimu lakini yeye ambaye vyeti vipo vizuri hajapata lakini kuna mwenzake anamjua hana uwezo mzuri zaidi yake kapata.
Tusichee maisha ya watu, huu utaratibu utapunguza lawama kwa TAMISEMI na utafanya wenye uwezo wachaguliwe.
Napendeza zaidi ,kila anayeomba apewe nafasi ya interview wasifaniwe shortlisting wala nini. Kwanza, waombaji wote wafanye atleast online aptitude short hiyo ndio njia ya kushortlist ,watakaofanikiwa wanaenda kwenye written na watakaofanikiwa wanaenda kwenye practical. Unapewa darasa unafundisha, usipoeleweka ndio basi Tena.