The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Hakuna kitu kama hicho,kule Kigamboni unalipia mpaka sasa kaharibiwa nani?Mama akija kushtuka mwigulu anamuharibia itakua tayari too late
Maskini unaende kwenye toll road kufanya nini? Pita ya zamani..Watanzania wenzangu, ifikie wakati tuungane na kukiondoa hiki kirusi kinachoitwa ccm! Haiwezekani fedha zilizotumika kujengea hayo madaraja, zimetokana na kodi zetu! Au mikopo ambayo tutatakiwa kuilipa na vizazi vyetu!
Halafu leo tunatakiwa kulipia! 2025 tuwaondoe madarakani hawa mafisadi. Kodi zenyewe wakipata kwa sehemu kubwa, wanazitumia kwa manufaa yao tu.
🤣 🤣 🤣 Sawa tajiri -Sisi mafukara hatuna namna kikubwa uhai 😁😁Itajengwa barabara mpya dual carriage way na itakuwa expressway na ni barabara ya Kimataifa..
Pili barabara ya zamani itaendelea kuwepo kwa ajili ya nyie mafukara 😂😂
Ndio hivyo, hata Kigamboni kule mafukara mkishindwa kulipia mnazunguka kongowe na mnapanda pantoni..🤣 🤣 🤣 Sawa tajiri -Sisi mafukara hatuna namna kikubwa uhai 😁😁
Nimetoa tu macho ni ipi hiyo au ipo inapita nyuma nyuma huko 😄😄Hii ya Kibaha-Mlandizi-Morogoro express way ni ipi? Au ndio watajenga? [emoji2] [emoji2]
Hii ndio ilikua ahadiTofauti na madaraja mengi ya namna hii barani Afrika, Watumiaji hawatalipa tozo yoyote pindi watumiapo daraja hili (TOLL FREE). Pia, Daraja hili lenye uwezo wa kuhimili tani 180 za uzito litaweza kusafirisha watu wapatao 55,000 kwa siku
Una mwonea bure tu mkuu.Tuseme tu ukweli Dr. Madelu ni kiumbe mwenye roho mbaya sana. Tangu ateuliwe kuwa Waziri wa Fedha, amekuja na kodi lukuki za kuwaumiza tu watu wa chini na wale wa kati!
Wale matajiri wenzake amegoma kabisa kuwagusa. Yaani ana tofauti kubwa sana ya utendaji kwenye hiyo Wizara, na mtangulizi wake Dr. Phillipo Mpango.
Cha kushangaza na Bi Mkubwa anamkubali kweli! Muhimu tu asije kumtafuta mchawi pale jahazi lake litakapo zama 2025! Maana siamini kama kuna mtu atakubali kumchagua kupitia sanduku la kura, eti kwa sababu tu amejenga madarasa kupitia mkopo kutoka IMF.
Itajengwa mkuu, michoro na fidia kwa wanachi zineandaliwa.Hii ya Kibaha-Mlandizi-Morogoro express way ni ipi? Au ndio watajenga? [emoji2] [emoji2]
Hii barabara ya express way huwa hakuna vizuizi ni kujiachia tu, nafikiri mtu halazimishwi kulioia kwani ya bure itaendelea kuwepoAfadhali,na sio kuwe na tozo halafu matrafiki wanazagaa kila kona kukusanya wanaozidisha speed,itakuwa haina maana...
Mzigo gani? Hiyo barabara Itajengwa kwa na private sector, yaani kiufupi ni uwekezaji wa private sector kwenye barabara..Hii ni sawa na kuendelea kumbebesha mzigo mlipa kodi. Maana hata kama zinajengwa kwa mikopo toka ka wahisani, bado mikopo hiyo italipwa na sisi wenyewe walipa kodi.
Hebu tuondolee uchuro hapa.Siku moja mtanikumbuka kwa mazuri na si kwa mabaya ~~~ JPM
Hilo halina shida na wala sio jambo geni kwa sababu hata daraja Nyerere kigamboni magari yanayo pita pale yanalipia.
Ila kwa barabara ya Dar~kibaha~mlandizi~chalinze, ikijengwa barabara yenye hadhi pia hakuna shida watu watalipia tu, Serikali itakusanya mapato ya kutosha.
Nchi haiwezi kujengwa kwa maneno bila kukusanya kodi/tozo,
fedha zetu na za wawekezaji ndio zitakazo lijenga Taifa letu.
tusidanganyike ni misaada, tusipende vya buree tutalemaaa .
Nyumbu mzee wako.Nyumbu wao ni kushangilia tu