Serikali yafuta mapendekezo ya kuzifanyia Marekebisho ya Sheria zinazohusu Umiliki wa Maliasili

Tulichoandika wenyewe nn?
 
 
Pale hakuna Bunge bila wananchi shupavu mithili ya Mwambukusi na wengineo wengi wangepitisha kama kawaida yao.
Bunge la Mazuzu lililojifanya nunda? Huyu Spika mbovu ndo aliyeiambia serikali ilete sheria haraka wao watapitisha!! Leo anajifanya Bunge limekataa mapendekezo ya serikali?? Bunge lipi? Hili kusanyiko la Wahuni????
 
Waraka wa mtume Paulo kwa wagaratia imeandikwa kila goti litapigwa mpaka muikiri kweli
 
Bunge la Mazuzu lililojifanya nunda? Huyu Spika mbovu ndo aliyeiambia serikali ilete sheria haraka wao watapitisha!! Leo anajifanya Bunge limekataa mapendekezo ya serikali?? Bunge lipi? Hili kusanyiko la Wahuni????
Mazee ya kugonga meza na kusema ndioooo...
Hayana akili ni kugonga meza na kula posho na kuondoka, waalchache ndio wanaelewa nini kimewapeleka pale ndani.
Tulia huyu nae ni bure kabisa halafu nashangaa siku moja anasema mkataba wa dpw uko sawa na kama una mapungufu atawajibika nikaona huyu ni mpuuzi kabisa, uwajibike wakati utakuwa tayari umetuweka hasara......!
 
Tatizo la Tanzania ni Elimu bora na Umasikini
 
Bunge linawapoza machungu wananchi kujifanya wanaweza kuigomea Serikali Mbona haikuugomea Mkataba wa DP WORLD wenye Utata mwingi
Rushwa iliwaziba midomo! Sasa mpaka wazitalike!
 
Unatengeneza tatizo.. Unasikilizia .. Kelele zikizidi unalitatua kisha unasifiwa na kupongezwa..[emoji23] [emoji1544][emoji1550]
Hizo ndo siasa za sisiem na wanajua kwa ujinga wetu waTZ hakuna kitu tutawafanya.
 
Hili ni Changa la macho tu. Kitu wanachakifanya ni kufanya marekebisho kwenye sheria zingine mbalimbali na kupachika hayo waliyoyataka kuyaweka au kuyaondoa humo kwenye sheria ya Maliasili na kuyaweka huko kwingine....mfano

Someni hiyo ya PPP ndio yenye maudhui mazuri.

Hatahivyo, kwa kusononeka kabisa, nasema, kuyaondoa mapendekezo hayo, hakuondoi uvunjwaji wa sheria au utumiaji wa Nguvu na mabavu kuhakikisha Waarabu wanakuja kututawala.

Pingeni Dhulumat hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…