Serikali yafuta mapendekezo ya kuzifanyia Marekebisho ya Sheria zinazohusu Umiliki wa Maliasili

Serikali yafuta mapendekezo ya kuzifanyia Marekebisho ya Sheria zinazohusu Umiliki wa Maliasili

Ni hayati JPM alisimama Kidete mpaka sheria hii ikatungwa leo hii wahuni wanataka ibadirishe
👇
Screenshot_20230829-214737.jpg
 
Sasa hivi vinatuhenyesha mahakama ya mikata ya Kimataifa, au huelewi hilo? Mikataba ya magu na kabudi kibao ina kesi huko, na mengine tumeshaanza kuilipa. Na mengine ndege zilishashikw, mama kaipigania.

Msisifie ujinga.
Mbona havikuenyesha Magufuli alipokua hai?.

CHUMA iliwapigisha magoti ,mabeberu, na wakaja Nchini kuyajenga.

CHUMA kaondoka, kaja hoe hoeee anayesifia sura nzuri, Roho nzuri, wahuni wameanza kuamka.

Unahisi CHUMA angekuwepo, hizzi kesi zingekuwepo?.
 
Wabongo kazini tena......kama kiongozi una hamu ya kupoteza muda basi we kaa uwasikilize wabongo 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Lucas Mwashamba anaandika makala zake kupongeza Mama kwa usikivu uliotukuka🤣🤣
 
Naona wame amka. Sio kila kitu ndiyoooo. Hata la bandari tuna taka lifutwe. Hatuwezi kuuza kila kitu kwa wageni ati kisa walioko bandarini ni wezi!!! Hivi hatuna soni?? Nani kaweka wezi bandarini kama sio Ccm na serikali yake??
Mkuu hivyo vyote ni visingizio vya wapumbavu, mara meli kuchelewa bandarini, mara mifumo haisomani, ni ujinga mtupu.
 
Back
Top Bottom