Wabunge kwani wameamuaje kuhusu kubadirisha hizo Sheria 2? Emu tuanzie hapo kwanzaSasa natural wealth na masuala ya uendelezwaji/ uwekezaji wa Bandarini wapi na wapi?
We kwa akili zako tu za kawaida huo mswada ulikuwa na logic gani?
Safi, wanazidi kufikiwa! Na watoto wanao enda ktk jumuia watawasimulia wazazi wao majumbani ili waweze kuelewa zaidiKwenye jumuia yetu waraka upo katika ngazi ya Kaya
Serikali ndo imeondoa hayo mapendekezo Bungeni. Bunge limeridhia mapendekezo hayo kuondolewa BungeniWabunge kwani wameamuaje kuhusu kubadirisha hizo Sheria 2? Emu tuanzie hapo kwanza
😂😂😂 Sungura Mjanja!Tuombee na iendelee kuwa hivyo ilivyo...
Waambie hao wanadhan watatuondolea"Dili" letu la DP world!! Haya majamaa yana wivu tu kuona sisi tunapokea bahasha za kuitetea DP world!!Sasa natural wealth na masuala ya uendelezwaji/ uwekezaji wa Bandarini wapi na wapi?
We kwa akili zako tu za kawaida huo mswada ulikuwa na logic gani?
Hakuna aliyepokea bahasha!Waambie hao wanadhan watatuondolea"Dili" letu la DP world!! Haya majamaa yana wivu tu kuona sisi tunapokea bahasha za kuitetea DP world!!
BasSasa natural wealth na masuala ya uendelezwaji/ uwekezaji wa Bandarini wapi na wapi?
We kwa akili zako tu za kawaida huo mswada ulikuwa na logic gani?
All material or substance occurring in "NATURE"BasView attachment 2732628
Basi ukichopambania ulikuwa hukijui
Inshort inafikirisha cos hakukuwa na mjadala zaidi spika kasema tunapinga marekebisho ya sheria yaliyowasilishwa na Serikali, wanaohafiki waseme ndiyo ikajibiwa ndiyo! kilichopo hapa Spika alikuja na hoja hiyo toka huko alikokuwa.Kwani hakutoa hela kwa wabunge kama kilainishi?
Sijaelewa swali lako.Yaani bandari inajengwa wapi!?
kanisa na alikuja kupima upepo wa hili jambo tutawapuruta manyoya.Inshort inafikirisha cos hakukuwa na mjadala zaidi spika kasema tunapinga marekebisho ya sheria yaliyowasilishwa na Serikali, wanaohafiki waseme ndiyo ikajibiwa ndiyo! kilichopo hapa Spika alikuja na hoja hiyo toka huko alikokuwa.
Hapo ndipo Watanzania mnazidi kudhihirisha ujinga wenu. Kujifanya mnajuwa kumbe hamjuwi.Wasalaam ndugu zangu Watanzania!
Bunge leo limekataa kupitisha mabadiliko ya sheria 2 ambazo zilikuwa zinakinzana mkataba tata kati ya Tanzania na Dubai.
Binafsi niliwasilisha maoni yangu kwa kupinga mabadiliko haya ya sheria kwa kamati ya Bunge kupitia email yao.
Nimewasilisha maoni yangu kupinga marekebisho ya sheria ya ulinzi wa rasimali za Taifa
Leo kupitia Email ya Kamati Bunge nimetuma maoni yangu kupinga marekebisho ya sheria ya ulinzi wa rasimali za Taifa. Ndugu wana Jamii Forums, ikumbukwe mabadaliko haya yatapelekea kupoka mamlaka ya Wananchi ambayo yanatolewa na Katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania ibara 27 (1) (2) ambayo...www.jamiiforums.com
Tukumbuke sheria hizi mbili zilitungwa 2017 baada ya migogoro mikubwa ya madini katika awamu ya 5.
Pia Kuna Rufaa inasubiliwa kusikilizwa rasmi na kutolewa uamuzi, ukiliangalia maamuzi ya Bunge leo unapata picha kabisa kuwa Mahakama Rufani itawapa ushindi mkubwa wananchi kwa kusema wazi kuwa Dubai haikuwa na hadhi ya kusaini IGA na Tanzania, pia itasisitiza kuwa mkataba ulikiuka sheria zetu na hivo mkataba huu batili na hivo kuipa nguvu Serikali ya kwenda kuvunja rasmi mkataba huu tata.
Watanzania wameshinda. Watanganyika tumeshinda.
Hivi we ni mgonjwa akili eehh? kwani unafikiri wao walikuwa wanakuja kubadili sheria kwa sababu gani?All material or substance occurring in "NATURE"
Sasa uwekezaji wa uendelezaji wa bandarini ni nature?
Ulisoma shule gani ndugu?
Ondoa ujinga wako hapa, hujielewi.Muone mjinga huyu.
TEC wanahusikaje hapo? Hata mimi niliwasilisha maoni yangu bungeni kuwa hakuna haja ya kufanya haya mabadiliko kwa kuwa masuala ya uwekezaji kwenye Bandari hayahusiani na Sheria hizi.
Basi nakuambia Maamuzi ya mahakama kuu yalisema kweli IGA imekiuka sheria yetu ya ulinzi wa Rasimali za Taifa ila ikakazia ata hivyo haiwezi kutamka kama Mkataba huu ni batili.Hapo ndipo Watanzania mnazidi kudhihirisha ujinga wenu. Kujifanya mnajuwa kumbe hamjuwi.
Hivi bandari toka lini ikawa ni mali asili? Bahari na vilivyomo baharini ndiyo mali asili, siyo bandari. Bandari iwe baharini iwe nchi kavu ni kitu kinachojengwa na watu.
Kujidai ku dramatize kumbe unaongelea vitu viwili tofauti, halafu hapo hapo umeshajifanya Jaji wa mahakama ya rufaa.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Kumbe wewe ni mjinga kabisa usiyejua chochote , hizi kelele unazopiga hujui hazina maana kama bunge limegoma kubadili ile sheria!.Kiuhalisia hakukuwa na haja ya yale mabadiliko ya Sheria.
Tuliowasilisha maoni yetu tumeyawasilisha na Bunge limeridhia
Sasa hivi vinatuhenyesha mahakama ya mikata ya Kimataifa, au huelewi hilo? Mikataba ya magu na kabudi kibao ina kesi huko, na mengine tumeshaanza kuilipa. Na mengine ndege zilishashikw, mama kaipigania.Kilichosainiwa na Magufuli ni ngumu sana kukipuuza, jamii itakuzomea mpaka ukome, muulize Makamba alipoleta tantarila kwenye bwawa.
Kanisa limefanya nini? mali asili inahusika nini na bandari?Hiyo ndio nguvu ya kanisa