Serikali yafuta mapendekezo ya kuzifanyia Marekebisho ya Sheria zinazohusu Umiliki wa Maliasili

Kwenye jumuia yetu waraka upo katika ngazi ya Kaya
Safi, wanazidi kufikiwa! Na watoto wanao enda ktk jumuia watawasimulia wazazi wao majumbani ili waweze kuelewa zaidi
 
Sasa natural wealth na masuala ya uendelezwaji/ uwekezaji wa Bandarini wapi na wapi?

We kwa akili zako tu za kawaida huo mswada ulikuwa na logic gani?
Waambie hao wanadhan watatuondolea"Dili" letu la DP world!! Haya majamaa yana wivu tu kuona sisi tunapokea bahasha za kuitetea DP world!!
 
Waambie hao wanadhan watatuondolea"Dili" letu la DP world!! Haya majamaa yana wivu tu kuona sisi tunapokea bahasha za kuitetea DP world!!
Hakuna aliyepokea bahasha!

Ukweli huo muswada haukuwa na logic yeyote!!

Ndo mana Kamati ya Bunge waliihoji Serikali kuna mantiki gani / hoja gani kuhusu hayo mapendekezo na baada ya kujiridhisha kuwa hakuna mantiki yeyote imebidi serikali iuondoe huo muswada
 
Inshort inafikirisha cos hakukuwa na mjadala zaidi spika kasema tunapinga marekebisho ya sheria yaliyowasilishwa na Serikali, wanaohafiki waseme ndiyo ikajibiwa ndiyo! kilichopo hapa Spika alikuja na hoja hiyo toka huko alikokuwa.
kanisa na alikuja kupima upepo wa hili jambo tutawapuruta manyoya.
 
Hapo ndipo Watanzania mnazidi kudhihirisha ujinga wenu. Kujifanya mnajuwa kumbe hamjuwi.

Hivi bandari toka lini ikawa ni mali asili? Bahari na vilivyomo baharini ndiyo mali asili, siyo bandari. Bandari iwe baharini iwe nchi kavu ni kitu kinachojengwa na watu.

Kujidai ku dramatize kumbe unaongelea vitu viwili tofauti, halafu hapo hapo umeshajifanya Jaji wa mahakama ya rufaa.


Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Muone mjinga huyu.

TEC wanahusikaje hapo? Hata mimi niliwasilisha maoni yangu bungeni kuwa hakuna haja ya kufanya haya mabadiliko kwa kuwa masuala ya uwekezaji kwenye Bandari hayahusiani na Sheria hizi.
Ondoa ujinga wako hapa, hujielewi.
 
Basi nakuambia Maamuzi ya mahakama kuu yalisema kweli IGA imekiuka sheria yetu ya ulinzi wa Rasimali za Taifa ila ikakazia ata hivyo haiwezi kutamka kama Mkataba huu ni batili.

Hapo unasemaje bi Faiza? unafikiri Mahakama kuu haikujua kama sheria haihusiki katika kesi hiyo?
 
Kiuhalisia hakukuwa na haja ya yale mabadiliko ya Sheria.

Tuliowasilisha maoni yetu tumeyawasilisha na Bunge limeridhia
Kumbe wewe ni mjinga kabisa usiyejua chochote , hizi kelele unazopiga hujui hazina maana kama bunge limegoma kubadili ile sheria!.
 
Kilichosainiwa na Magufuli ni ngumu sana kukipuuza, jamii itakuzomea mpaka ukome, muulize Makamba alipoleta tantarila kwenye bwawa.
Sasa hivi vinatuhenyesha mahakama ya mikata ya Kimataifa, au huelewi hilo? Mikataba ya magu na kabudi kibao ina kesi huko, na mengine tumeshaanza kuilipa. Na mengine ndege zilishashikw, mama kaipigania.

Msisifie ujinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…