Serikali yaunda timu ya wataalamu kupitia upya sakata la Tozo. Yasema zitarekebishwa ila hazitaondoka

Serikali yaunda timu ya wataalamu kupitia upya sakata la Tozo. Yasema zitarekebishwa ila hazitaondoka

Mwigulu Nchemba hadhi yake alipaswa awe mchunga Ng'ombe na sio uwaziri
 
Kuna kanuni nyepesi za uchumi ambazo wizara ya fedha ingepaswa izifahamu kama ina wachumi angalau wenye digrii moja, hizo ni pamoja;
Kujiepusha na double taxation, huwezi kutoza tozo mshahara wa mtu alioamua kuuhifadhi benki kwa sababu tayari unakuwa umelipiwa kodi.
Kodi/tozo zinapaswa kutozwa kutoka kwenye kipato kilichotoka katika biashara au ajira, huo ndio msingi wa kodi/tozo. Huwezi kuwatoza watu kwa sababu tu wamechagua benki kama njia yao ya kuhifadhi pesa zao.
Hahiitaji kamati kuelewa haya.
Unataka waamuaje?
 
Tatizo walitumia muda mwingi sana kushambulia Kaburi badala ya kujipanga….
 
Hii ndio taarifa ya motomoto..

=======

Serikali imeteua timu ya wataalam kufanyia kazi mkanganyiko wa tozo kwenye miamala ya fedha za simu na benki. Waziri Mwigulu Nchemba akiwa Tarime mkoani Mara kwenye mkutano wa hadhara amesema Serikali itaendelea kutoza tozo hizo lakini itafanya mabadiliko kuakisi mapendekezo ya chama tawala.

Wataalam wanaangalia namna bora ya kukusanya mapato na watakuja na 'njia rafiki zaidi' kwenye namna ambayo itajali maslahi ya watanzania. Alisema waziri Mwigulu


=======

Tarime. The government has appointed a team of experts to work on the controversial levies on electronic money transactions, the Minister of Finance and Planning said yesterday.

Dr Mwigulu Nchemba told a public rally Sirari, Tarime District, that the government would continue charging the levies on electronic money transfers and other taxes, noting, however, that some changes will be effected to reflect the recommendations of the ruling party on the matter.

“Following the party’s recommendations, the government has appointed a team of experts which has already started undertaking a comprehensive analysis of the matter,” he said, and urged Tanzanians to be patient.

The experts are looking at the best way of collecting the revenue.

Dr Nchemba said the team of experts will then come up with “the most friendly way” of collecting the revenue in a manner that will put into consideration the interests of Tanzanians.

SOURCE: The Citizen
Anzisha tatizo halafu litatue usifiwe
 
Nahisi suala la Vodacom kutangaza kupata hasara kubwa ndilo limewaamsha na sio huruma kwa wananchi
Kwakweli ni mwezi wa tatu sijatumia MPesa na sio kawaida yangu, halafu nimeacha na ule ujinga wakutuma ela kwa Sim Banking naenda kwenye ATM popote ilipo ntafika tu 🤣🤣🤣
 
Mwigulu ana mambo ya hovyo kabisa. Yaani walipo pendekeza tozo hawakushirikisha mtu. Leo ana unda kamati ili nayo ionje utamu wa tozo waseme ni poa. Watanzania wana lalamika maisha magumu, wao wana tengenezeana ulaji.
Mwigulu yuko against maelekezo ya Mh. Rais kila wakati. Kuanzia tozo za simu, ssa na kwenye miamala ya kibenki.
Lengo lake ni kumchonganisha na wananchi. Mh. Rais haoni huu upuuzi bado.
Si ilisemwa wananchi ndiyo walishauri uwepo wa tozo! Mbano hawarudi kwa wananchi. Au hiyo timu ndiyoinwakilisha wananchi?
 
Hii ndio taarifa ya motomoto..

=======

Serikali imeteua timu ya wataalam kufanyia kazi mkanganyiko wa tozo kwenye miamala ya fedha za simu na benki. Waziri Mwigulu Nchemba akiwa Tarime mkoani Mara kwenye mkutano wa hadhara amesema Serikali itaendelea kutoza tozo hizo lakini itafanya mabadiliko kuakisi mapendekezo ya chama tawala.

Wataalam wanaangalia namna bora ya kukusanya mapato na watakuja na 'njia rafiki zaidi' kwenye namna ambayo itajali maslahi ya watanzania. Alisema waziri Mwigulu


=======

Tarime. The government has appointed a team of experts to work on the controversial levies on electronic money transactions, the Minister of Finance and Planning said yesterday.

Dr Mwigulu Nchemba told a public rally Sirari, Tarime District, that the government would continue charging the levies on electronic money transfers and other taxes, noting, however, that some changes will be effected to reflect the recommendations of the ruling party on the matter.

“Following the party’s recommendations, the government has appointed a team of experts which has already started undertaking a comprehensive analysis of the matter,” he said, and urged Tanzanians to be patient.

The experts are looking at the best way of collecting the revenue.

Dr Nchemba said the team of experts will then come up with “the most friendly way” of collecting the revenue in a manner that will put into consideration the interests of Tanzanians.

SOURCE: The Citizen
Mna uhakika huyu jamaa ni waziri kweli au?
 
Wakati mnapeleka muswada bungeni kwani mliunda kamati ya kufanya upembuzi yakinifu kuhusu tozo? Sasa mnaunda kamati ya kazi gani wakati tayari mnazo evidence za kutosha kabisa kwamba wananchi hawataki tozo maana ni mzigo kwao!

Kuna evidence gani zaidi ya hii?👇
IMG_20220913_140246.jpg


Mategemeo yalikuwa kupata trilioni 1.25 lakini iliyopatikana ni bilioni 360 tuu. Hakuna evidence nzuri kama hii, hiyo kamati italeta majibu ya kisiasa tuu kama yale ya Twaweza..

HATUTAKI TOZO.
 
Kwenye Wodi ya Vichaa,, tahira alipewa ukiranja,,,Mwendawazimu aliporudi akakuta mwezi mchanga amesha danja...

Mazuzu hawana la kufanya wamebaki wanamshangaa tu Chizi aliyewaambia wahame nyumbani eti kisa redio inazingua...

Blame Society.
 
Ajabu sana watu wanajadili jambo ambalo limekataliwa tayari.
 
Si wameshaona mitanzania Ni midebweda ya kuchezea. Twist them the way you want
 
Tusitegemee lolote jipya toka kwa Too Madelu, yeye kila siku analia jinsi utoto wake kijijini ulivyokuwa wa shida akisahau anavyo ogelea kwenye utajiri siku hizi
 
posho ya lamati nayo inatoka kwenye tozo!
 
Back
Top Bottom