SGR Mchakato wa Nauli ndiyo huu hapa, mtoto hadi Moro kulipa Tshs 12,400

Hawa tayari wamefeli hata kabla usafirishaji haujaanza
 
Kwenye sheria ya bara bara, kwa usafiri wa gari/basi mtoto chini ya miaka 5 halipi nauli. Ila kwenye treni mtoto wa miaka 4 analipa nauli na msimamizi ni yule yule LATRA 😂😂.
 
Yaani safi kabisa!.

Huwezi mwendokasi 750/- kapande daladala za 400/- leo iko wapi?.

Haya njoo kwenye DART ilikuwaje mwanzo na watu walisemaje hadi leo tumefika wapi?.
 
Kwenye sheria ya bara bara, kwa usafiri wa gari/basi mtoto chini ya miaka 5 halipi nauli. Ila kwenye treni mtoto wa miaka 4 analipa nauli na msimamizi ni yule yule LATRA 😂😂.
Mchawi ni umaskini wa Watanzania tu mkuu asikudanganye mtu.

Sisi ni mafukara wa kutupwa hata hizo nauli siyo kubwa ila Sisi ndio mafukara, na infantry kulipa nauli kwenye train ni sahihi.

Shida inaanzia kwenye vipato, hawa wanachukuwa sample ya maisha ambayo first world kibaruwa analipwa USD 20 Kwa saa, akifanya kazi masaa 10 kila siku anaingia USD 200kwa siku, Kwa wiki Monday to Saturday mshahara wake ni USD 1200, hapo hata ukimkata Kodi bado ana serving nzuri ndio sababu wenzetu wanajimudu kimaisha.

Sisi tunaishi Kwa kudra za Mungu tatizo liko hapo, mtazunguka Sana lakini hamtopata jibu, ukweli ni huo na hizo bei ziko Sawa ila si Sawa Kwa Watanzania wanaonuka ufukara.
 
Morogoro hapo haraka ya nini,abood linatosha
Hata ulaya wazungu wanafanya hizi option, kuna miji train inakwenda Kwa masaa mawili, couch ni masaa matano, mzungu anaopt kupanda couch.

Hata train London kwenda Paris France ni miles kama 220 hivi au kilometres 340 ukikata ticket ya kwenda na kurudi ni $60 na ukikata one way NI $100 ni mwendo masaa 2 na nusu, sasa chaguo ni lako upande ndege au train.
 
Mradi ungejiendesha kwa kusafirisha mizigo ila sasa huu unataka kujiendesha kwa kusafirisha abiria.

Anyway, serikali haziwezi kufanya biashara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…