Shambulizi la Lissu: Wanaomdhania dereva anahusika sio wajinga, Wana hoja za msingi. Je, anahusika?

Pascal Mayalla umelishemsha dude mchana wa leo na hii single ya singeli yako mpya, yaani hapa umeongea point tu na it's true kwa uyasemayo ila nasikitika tu kwa baadhi ya wabongo kuyapinga kwa kuwa walishajiaminisha ujinga bila kufikiri nje ya box. Yes, unaweza kuwa umetoka mbali na mtu ila katika hela Usishangae ukaja salitiwa kwani hata Yesu ilimtokea sembuse Lissu, who is he? Watanzania wengi (binadamu) si wa kuwaamini 100%, you'll be a fool to do so. Well said Pascal. Wewe ni kichwa. Subiri kuitwa tena Dodoma kwenye kamati ya ulinzi ukaulizwe ulifikiriaje. Keep it up.
 
Mm nakubali kuwa Dereva wa Lisu alihusika lakini swali langu ni kwa nini CCTV camera zote za Nyumba xajirani pale zilizimwa je zilizimwa na nani nakwa nini
Kama zilikua oni kwa nini police wasichukue mkanda wa video yake kutumia kama ushahidi
Jiulize hapo walio mtuma Dereva ni waupande gani
 
Huna hoja ya msingi hoja zako mfu kabisa!!! Hivi kama dereva kahusika ilikuaje msaidie baada tu ya wasiojulikana kuondoka? Kama kahusika si angemmalizia tu pale pale??
Je zile CCTV camera kwann kalemani aling'oa??
 

Au mimi ndiyo sijui kusoma? mbona jamaa kalenga hapo kwenye red na maswali hayo ni kile wazungu wanasema pomposity a.k.a mbwembwe. Mimi naona message iko clear sana kwenye hiyo red au mnataka wenzenu waandike tu mnadhani hivi vita ni vya kiroho? oooh wakuu hivi vita ni vya mwili na damu na watu wana watoto
 

There is fire behind the smoke, kama wanemuani NA hahusiki kwanini wanamkimbiza hivyo, mara Nairobi NA leo Belgium. Hivi wewe huoni hapo pana kitu kinafichwa.
 
Huenda hata wew uelewa wako mdogo zaid ndomana unafikiri kila MTU yupo km wew
 
Paskali Pascal Mayalla,
Ninavyofahamu vyombo vya usalama na intelejensia vya Belgium vilivyo makini wangeweza kweli kabisa kumpa viza dereva 'mtuhumiwa' kuingia Belgium na kumruhusu kukaa na Tundu Lissu nchini Ubelgiji? Bado sijagusia vyombo vya usalama Kenya nao vikose umakini kumruhusu dereva kuwa pamoja na Tundu Lissu!

Hoja zingine ni nyepesi sana tumsikilize Mh. Tundu Lissu akielezea serikali kushindwa kufanya uchunguzi makini ktk video clip hii kuanzia dakika ya 2 .

Tundu Lissu yupo na dereva wake kuanzia Dodoma akawa naye Nairobi wakati wa matibabu na sasa dereva huyo huyo yupo na Mh. Tundu Lissu nchini Ubelgiji. Hii maana yake ni kuwa vyombo vya usalama na intelejensia nchini Kenya na Ubelgiji baada ya kupitia, kuchambua, kuhoji mazingira ya shambulizi, wamejiridhisha dereva siyo mtuhumiwa.

Hivi kweli Paskali unaweza 'kumtuhumu' huyu dereva Kwa hoja nyepesi hivyo!
Source: BBC swahili
c.c. Pascal Mayalla
 
Huko Lumumba wanawatia sumu mbaya sana kiasi kwamba uwezo wenu wakufikiri unakuwa zero kabisaaa!!!! Dereva km kahusika je alishindwa kipi kummalizia tu pale pale? Hujui nini unaongea na huyo pasko!!!
 
Mayala bhana., watu wakivaa tshet zenye picha ya lisu wanakamatwa... Hebu habar ya risas tuiache jaman, . Watu tushachoka na stor tunataka maendeleo
 
Aisee jamii forum imeanza kuumwa ugonjwa wa magufuli na mpina.
 
Mkuu hao wanatumiwa vibaya!! Huyo pasko toka aitwe bungeni akakutana na timu Fulani ikiongozwa na mkuchika na hayo ndo matokeo yake
 
Hata haya uliyouliza yapate majibu vipi lkn bado maswali ya Pascal ni valid.Inawezekana vipi bunduki ya kivita imuache salama dereva huku ikimjeruhi lisu tena risasi 38?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…