Shambulizi la Lissu: Wanaomdhania dereva anahusika sio wajinga, Wana hoja za msingi. Je, anahusika?

Shambulizi la Lissu: Wanaomdhania dereva anahusika sio wajinga, Wana hoja za msingi. Je, anahusika?

Pascal Mayalla hapa huwezi jibiwa swali hata moja kati ya ulilouliza, nilichokiona hapa hawa wafuasi wa hicho chama wanapingana na wanachokipigania. Sasa tuwaelewe vipi?

Si wanataka uhuru wa kujieleza na kuhoji mambo, sasa mbona wao hawatoi huo uhuru wa kuhojiwa na wao. Wakiulizwa swali defense yao ni kushutumu mtu mara kachukue buku saba Lumumba, utasikia pia unataka uupate uteuzi.
MTU ANASHINDWA KUKIFANYA HICHO ANACHOKIPIGANIA ILI AWE MFANO BORA.... SI UNAFIKI HUU.


Hayo maswali uliyouliza, wengi wamehoji yanayofanana ila wanaambulia kashfa tu.
Hivi unajua hoja maana hoja? Unaleta uzero brain wako wa Lumumba huku shenziiiii kweli kwelii
 
Pascal Mayalla pamoja na kwamba maandiko yako huwa yanafikirisha ila hili la leo umezinguaaa! Where did you learn those 1-5 principles, dumb you!

Yaani unadhani kila anayehisi kifuatliwa ni lazima afanye hivyo unavyodhani!!

Huyo Lissu aliwahi kuripoti polisi kuwa kuna gari ilimfuatilia.... Mbona haufanyi hiyo reference? Waandishi sometimes "mnafelisha" sana hii nchi!
 
Kabla ya kutoa hio dhana yako ningekuomba ujibu Masuala 3 tu:-
1. Kwa nini siku ya tukio hapakua na Mlinzi Bungeni
2. Jee kwanini Picha za Camera ulinzi hazijuilikani zilipo?
3. Kwa nini Serikali ikatae uchunguzi huru ukishirikisha vyombo vya Kimataifa?
 
September 8, 2017
Tundu Lissu alipotaja namba ya gari inayowafuatilia kwa wiki tatu mfululizo na kuripoti kwa vyombo vya usalama na media.

c.c Pascal Mayalla
 
Hapo ufipa ndio utakapowaona wakitokwa povu, siku zote paskali akiiponda serikali anaitendea haki tasnia ya habari. Leo ameandika sintofahamu yenye ukweli mmecharuka haitendei haki tasnia ya habari. Hahahahahahaaaa chaaaaa
 
Hata haya uliyouliza yapate majibu vipi lkn bado maswali ya Pascal ni valid.Inawezekana vipi bunduki ya kivita imuache salama dereva huku ikimjeruhi lisu tena risasi 38?
Bunduki ya kivita umbali wa mita 450 tu risasi haikai mwilini inatoka na kuendelea na safari. Hata huyo dereva asingesalimika
 
Hahaha Bavicha huwa mna ujinga mwingi sana yani amefeli kwakuwa kaongea kisicho kupendeza? Sasa demokrasia na uhuru mnao ulilia kila leo huwa mna maanisha nini? Kulitaja neno demokrasia ni rahisi sana lakini kuishi demokrasia ni swala lingine...hahaha
Ndio shida yao.Yani wao Uhuru wa kujieleza ni kuongea mazuri dhidi yao na mabaya dhidi ya serikali. Ukitaka uonekane unaakili jenga hoja za kuwapendeza bavicha.
 
Hivi unajua hoja maana hoja? Unaleta uzero brain wako wa Lumumba huku shenziiiii kweli kwelii
Unajiona sasa ulivyo na akili ndogo, huyo si mnataka uhuru wa kuhoji nyinyi na demokrasia. Mbona mkihojiwa mnakuwa wakali?

Bora hata zero brain, wewe ni negative brain. Zero ina afadhali
 
Hili ni bandiko la maswali kwa Tundu Lissu na dereva wake, kufuatia shambulio la Lissu,
Shambulizi la Lissu, Wanaomdhania Dereva Anahusika, Sio Wajinga!, Wana Hoja za Msingi!. Jee Anahusika?.
Maswali haya ni kufuatia hoja za Lissu kwenye bandiko hili.
Mhe. Tundu Lissu,
Kwanza pole sana kwa yaliyokusibu.
Umezungumza mengi kuhusu kilichotokea mwaka mmoja uliopita, ila watu wanaohoji kuhusu dereva wako, nakuomba sana usiwaite wajinga, au wametumwa, kwa sababu mashaka yao ni very valid.

Kwa vile mashuhuda ni nyinyi wawili tuu, wewe na dereva wako, then kuna mambo tungependa kujua kutoka kwa Lissu mwemyewe na dereva wake.

Hoja kuwa tumetoka naye mbali hivyo tunaaminiana, hazina mashiko mbele ya watu na kazi zao. Lissu alipotoka na dereva wake, anaweza kujilinganisha Dr. Slaa na mlinzi wake Kagenzi walipotoka, halafu what happened?!.
Baadhi ya maswali ni haya...
  1. Baada kuona kuna gari linawafuatilia, mlichukua hatua gani?.
  2. The common sense ya kufuatiliwa inaelekeza, uki note you're followed, hatua ya kwanza ni kumpote anaye kufollow kwa makusudi, ili kwanza kujiridhisha kuwa anakufollow.
  3. Ukiisha jiridhisha you are followed, una change direction kumpoteza maboya.
  4. Ukimuona bado yupo, then kama uko fit, unamlengesha mahali kwenye kona ambapo hawezi kuchomoka, mnamalizana!.
  5. Kama hauko fit, unamlengesha kwenye safe area ,usually sehemu open kwenye makundi ya watu na kumripoti kunakohusika.
  6. Baada ya kuona mnafuatwa, kwa nini mliendelea kuelekea nyumbani?.
  7. Mlipofika mkasimama, mkawaona watu wawili wanashuka na AK 47, kitendo tuu cha kujua tuu bunduki zile ni AK 47, hii maana yake ni close proximity, kwenye shooting that close!, risasi 38!, dereva huyu amesalimikaje asipitiwe hata na moja?.
  8. Ametokaje kwenye gari na kujificha chini ya gari ya jirani bila kugundulika?!.
  9. Anafichwa nini kuhojiwa?, kuna nini kinafichwa?.
  10. Maswali yataendelea
Hitimisho.
The only defence ya Dereva wa Lissu has nothing to do na hiyo shooting, ni uzito tuu wa serikali kugoma kuita wachunguzi wa nje. Ingekuwa ni inside job ya Chadema, tungeshuhudia serikali fasta ingechunguza!.

Lakini kwa vile wasiojulikana ni hawa

Tusitegemee lolote jipya hapa.
Tundu Lissu, just get well soon, na sasa inakubidi uchangue kati ya uanaharakati na kuishi.

Pole.
P.
Master kuna saa nakuelewagaaaa
Ila ukishapitia kwa masela zako wa zamaniiiii kuna kimoshi kinakupaga taabu
 
September 8, 2017
Tundu Lissu alipotaja namba ya gari inayowafuatilia kwa wiki tatu mfululizo na kuripoti kwa vyombo vya usalama na media.

c.c Pascal Mayalla
Ungekuwa na hoja za msingi kama ungeandika Tundu Lisu alipoenda kuripoti kituo cha polisi kuhusu wanaomfuatilia.Sijawahi ona mwanasheria uchwara ka lisu.Hivi ni sheria au taratibu zipi zinasema ukitishiwa uhai na watu wasiojulikana unaitisha makamera na kutoa taarifa?Nini kazi ya RB?
 
He
Hili ni bandiko la maswali kwa Tundu Lissu na dereva wake, kufuatia shambulio la Lissu,
Shambulizi la Lissu, Wanaomdhania Dereva Anahusika, Sio Wajinga!, Wana Hoja za Msingi!. Jee Anahusika?.
Maswali haya ni kufuatia hoja za Lissu kwenye bandiko hili.
Mhe. Tundu Lissu,
Kwanza pole sana kwa yaliyokusibu.
Umezungumza mengi kuhusu kilichotokea mwaka mmoja uliopita, ila watu wanaohoji kuhusu dereva wako, nakuomba sana usiwaite wajinga, au wametumwa, kwa sababu mashaka yao ni very valid.

Kwa vile mashuhuda ni nyinyi wawili tuu, wewe na dereva wako, then kuna mambo tungependa kujua kutoka kwa Lissu mwemyewe na dereva wake.

Hoja kuwa tumetoka naye mbali hivyo tunaaminiana, hazina mashiko mbele ya watu na kazi zao. Lissu alipotoka na dereva wake, anaweza kujilinganisha Dr. Slaa na mlinzi wake Kagenzi walipotoka, halafu what happened?!.
Baadhi ya maswali ni haya...
  1. Baada kuona kuna gari linawafuatilia, mlichukua hatua gani?.
  2. The common sense ya kufuatiliwa inaelekeza, uki note you're followed, hatua ya kwanza ni kumpote anaye kufollow kwa makusudi, ili kwanza kujiridhisha kuwa anakufollow.
  3. Ukiisha jiridhisha you are followed, una change direction kumpoteza maboya.
  4. Ukimuona bado yupo, then kama uko fit, unamlengesha mahali kwenye kona ambapo hawezi kuchomoka, mnamalizana!.
  5. Kama hauko fit, unamlengesha kwenye safe area ,usually sehemu open kwenye makundi ya watu na kumripoti kunakohusika.
  6. Baada ya kuona mnafuatwa, kwa nini mliendelea kuelekea nyumbani?.
  7. Mlipofika mkasimama, mkawaona watu wawili wanashuka na AK 47, kitendo tuu cha kujua tuu bunduki zile ni AK 47, hii maana yake ni close proximity, kwenye shooting that close!, risasi 38!, dereva huyu amesalimikaje asipitiwe hata na moja?.
  8. Ametokaje kwenye gari na kujificha chini ya gari ya jirani bila kugundulika?!.
  9. Anafichwa nini kuhojiwa?, kuna nini kinafichwa?.
  10. Maswali yataendelea
Hitimisho.
The only defence ya Dereva wa Lissu has nothing to do na hiyo shooting, ni uzito tuu wa serikali kugoma kuita wachunguzi wa nje. Ingekuwa ni inside job ya Chadema, tungeshuhudia serikali fasta ingechunguza!.

Lakini kwa vile wasiojulikana ni hawa

Tusitegemee lolote jipya hapa.
Tundu Lissu, just get well soon, na sasa inakubidi uchangue kati ya uanaharakati na kuishi.

Pole.
P.
He! upelelezi ndo umeanza humu jf?
 
Pascal Mayalla pamoja na kwamba maandiko yako huwa yanafikirisha ila hili la leo umezinguaaa! Where did you learn those 1-5 principles, dumb you!

Yaani unadhani kila anayehisi kifuatliwa ni lazima afanye hivyo unavyodhani!!

Huyo Lissu aliwahi kuripoti polisi kuwa kuna gari ilimfuatilia.... Mbona haufanyi hiyo reference? Waandishi sometimes "mnafelisha" sana hii nchi!
Polisi wapi aliripoti?Au kwenye yale makamera ndio polisi?
 
pasco
Hahaha Bavicha huwa mna ujinga mwingi sana yani amefeli kwakuwa kaongea kisicho kupendeza? Sasa demokrasia na uhuru mnao ulilia kila leo huwa mna maanisha nini? Kulitaja neno demokrasia ni rahisi sana lakini kuishi demokrasia ni swala lingine...hahaha[/QUOT

Paskali Mayalla kweli leo umefeli kabisa mno.................. kama ulikuwa hujui kwa akili ya Dereva na Tundu Lissu walijua fika hao wanaowafuatilia pale geitini hawataruhusiwa kuingia................ kinyume na matarajio yao siku hiyo hakukuwa na ulinzi....... pole sana nadhani utachukua nafasi ya Jane Muro maana yeye ashafeli big time
 
Back
Top Bottom