Shambulizi la Lissu: Wanaomdhania dereva anahusika sio wajinga, Wana hoja za msingi. Je, anahusika?

Hivi unajua hoja maana hoja? Unaleta uzero brain wako wa Lumumba huku shenziiiii kweli kwelii
 
Pascal Mayalla pamoja na kwamba maandiko yako huwa yanafikirisha ila hili la leo umezinguaaa! Where did you learn those 1-5 principles, dumb you!

Yaani unadhani kila anayehisi kifuatliwa ni lazima afanye hivyo unavyodhani!!

Huyo Lissu aliwahi kuripoti polisi kuwa kuna gari ilimfuatilia.... Mbona haufanyi hiyo reference? Waandishi sometimes "mnafelisha" sana hii nchi!
 
 
September 8, 2017
Tundu Lissu alipotaja namba ya gari inayowafuatilia kwa wiki tatu mfululizo na kuripoti kwa vyombo vya usalama na media.
c.c Pascal Mayalla
 
Hapo ufipa ndio utakapowaona wakitokwa povu, siku zote paskali akiiponda serikali anaitendea haki tasnia ya habari. Leo ameandika sintofahamu yenye ukweli mmecharuka haitendei haki tasnia ya habari. Hahahahahahaaaa chaaaaa
 
Hata haya uliyouliza yapate majibu vipi lkn bado maswali ya Pascal ni valid.Inawezekana vipi bunduki ya kivita imuache salama dereva huku ikimjeruhi lisu tena risasi 38?
Bunduki ya kivita umbali wa mita 450 tu risasi haikai mwilini inatoka na kuendelea na safari. Hata huyo dereva asingesalimika
 
Ndio shida yao.Yani wao Uhuru wa kujieleza ni kuongea mazuri dhidi yao na mabaya dhidi ya serikali. Ukitaka uonekane unaakili jenga hoja za kuwapendeza bavicha.
 
Hivi unajua hoja maana hoja? Unaleta uzero brain wako wa Lumumba huku shenziiiii kweli kwelii
Unajiona sasa ulivyo na akili ndogo, huyo si mnataka uhuru wa kuhoji nyinyi na demokrasia. Mbona mkihojiwa mnakuwa wakali?

Bora hata zero brain, wewe ni negative brain. Zero ina afadhali
 
Master kuna saa nakuelewagaaaa
Ila ukishapitia kwa masela zako wa zamaniiiii kuna kimoshi kinakupaga taabu
 
Shameless.

Hawa ndiyo Great Thinkers wa hii nchi. Tutaendelea kuwa nyuma mpaka mwisho wa dunia.
 
September 8, 2017
Tundu Lissu alipotaja namba ya gari inayowafuatilia kwa wiki tatu mfululizo na kuripoti kwa vyombo vya usalama na media.
c.c Pascal Mayalla
Ungekuwa na hoja za msingi kama ungeandika Tundu Lisu alipoenda kuripoti kituo cha polisi kuhusu wanaomfuatilia.Sijawahi ona mwanasheria uchwara ka lisu.Hivi ni sheria au taratibu zipi zinasema ukitishiwa uhai na watu wasiojulikana unaitisha makamera na kutoa taarifa?Nini kazi ya RB?
 
He He! upelelezi ndo umeanza humu jf?
 
Polisi wapi aliripoti?Au kwenye yale makamera ndio polisi?
 
pasco
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…