Shehe: Hawa waarabu wamekuja kuchukua bandari yao waliyoijenga mwaka 1896 kinawauma nini?

huyo mzee ni kama sio magomeni au tandika sikosei ndi hawa wakina abdul rogo akili visoda
 
Huo mwaka tayari Sultan wa Zanzibar alikuwa ameuza claim yake ya pwani ya Tanganyika kwa Wajerumani. Sasa waarabu gani hao walijenga bandari kwenye eneo la wadachi?
Inawezekana huyu shehe hata historia hajui.
 


Mwaka 1896 tayari Mjerumani alikuwa nchini kwa miaka zaidi ya 12 hakuna jinsi angelimruhusu mwarabu ajenge bandari. Sheikh akajipange upye na aache kuwa kilaza pro max.
 
Huo mwaka tayari Sultan wa Zanzibar alikuwa ameuza claim yake ya pwani ya Tanganyika kwa Wajerumani. Sasa waarabu gani hao walijenga bandari kwenye eneo la wadachi?
Na sijui mamlaka ya kuuza alipata wapi..Inabidi huyo Sultan mwarabu aliyepokea mpunga wa Mjerumani arudishe kwa Tanganyika wote na riba juu
 
Huko BAKWATA hawana kitengo cha nidhamu, dah mtu mzima anawezaje tukana vile ndani ya nyumba mungu, mbele ya watu wazima wenzake, watoto na wamama.

BAKWATA inahitaji reforms kama inaweza wakalia kimya watu wa sampuli hiyo kuna tatizo.

Sawa atete anachoamini lakini ndio afikishe ujumbe kwa kutumia lugha chafu vile sio good representation kabisa kwa waumini, taasisi na sifa ya uongozi.
 
Ni tatizo la kisaikolojia mtu kuwa Africa, halafu ni mwafrika mweusi, then ukaanza kujinasibu au kujifananisha na race nyingine yaani waarabu, ukaanza jiona ni mojawapo na ukajiskia ufahari kabisa kuforce kufanana nao na ukaona ufahari kubagua waafrika wenzako na kuwadharau kwa namna yoyote na kuwaweka juu hao waarabu.

Huu ni ukosaji wa akili na utumwa wa kiakili mkubwa na ni tatizo la kiakili. Niseme tu hii tabia ifike hatua ikome na iachwe.
 
Na sijui mamlaka ha kuuza alipata wapi..Inabidi huyo mwarabu aliyepokea mpunga wa Mjerumani arudishe kwa Tanganyika wote na riba juu
Kweli kabisa. Kama ni hivyo basi mwarabu aporwe bandari apewe mjerumani kwa kuwa kipindi alichosema shehe nchi ilikuwa chini ya mjerumani.
 
👍
 
Naungo mkono hoja na nakazia umaskini,ujinga,ubaguzi,udini,elimu duni ni sehemu ya uislamu
 
Na pia mtu akipata ilmu akhera akakosa ilmu dunia lazima aonekane kama punguani fulani hivi.

Kama wanaona uarabu ndio deal kwanini shule zao wanaziita Islamic SMINARY kwa kuzifananisha na seminari za kikristo?
 
Huyu kweli hana akili wazazi wake ndio wamemleta duniani lakini yeye anasema Allah ndio amemleta duniani kumbe ukizama zaidi kwenye hii dini ndivyo akili zinavyotoweka
 
Duh aiseee
Masikitiko makubwa sana! Huyu shekhe ubwabwa anaona hata kama tukirudi kwenye utawala wa kisultani ni sawa tu! Anaona kabisa kuwa wanaokosoa wote wa Machoko ina maana Wakristo kama wakosoaji wakuu ni Mashoga na akiwepo Mwarabu hapo bandarini hakutakuwa na ushoga maana Mwarabu na ushoga ni mbigu na ardhi! Hakika hawa jamaa nimeamini akili zao ni kisoda sana!
 
Ndo maana tunasema Hawa wenzetu hawwapo na sisi. Wanapeleka dini mbele.
 
Huyu Shei
Huyu Sheikh ndo aliwahi kusema akienda Saudi Arabia huwa anapenda kwenda kuswali Kwenye Msikiti wanaoswali Majini!?
 
Shehe akapimwe akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…