Majeshi yote ya nchi hii. Amkeni kutoka katika lindi la usingizi mzito ambao kimfanano haupishani sana na kifo.Kwanza mtaan hakuna raia anaevaa nguo the same na geshi, ukiangalia nying ni mitumba ambazo hazifanan hata kdg.
Hata Marekani kuna wafuasi wa Trump walikuwa wamevaa mavazi mfano wa jeshi walipovamia bunge January 6, 2021 wakitaka Bunge na Mike Pence wasithibitishe matokeo ya Urais wa Joe Biden.Ni kweli usemayo lakini kwa Tanzania watu wanayatumia vibaya hayo mavazi, siyo kwa uzalendo wala fashion.
Ni sawa tu yapigwe marufuku, mpaka tufikie wakati wetu wa utayari.
Mwanajeshi hana uwezo wa kupiga raia?Acha upumbavu huu, combat za jwtz ni tofauti kabisa na camouflage clothes, uoga wako na kutojua sheria ndio unafanya nchi hii iwe kama police state, mwanajeshi hana uwezo wa kupiga raia au to arrest,kazi ya arresting ni police pekee, jwtz watimize wajibu wao wa kulinda our borders ambazo sasa ni porous borders, msomali anakatiza nchi yetu kutoka North hadi South bila ya kuonekana
Ukiona kwenye hii dunia ya vita vya drones bado askari wetu wanapasuliana matofali kichwani, hapo ujue tuna jeshi so outdated mno. Ndio maana unaona wanajikita kwenye mambo madogo madogo kama mavazi ya kufanana na jeshi. Jeshi linalofurahia kuogopwa na raia wasio na silaha hapo ni vituko vya karne.Nimemsikiliza askari aliyekuwa akihojiwa na CloudsTV anasema sheria ya mavazi ya jeshi unasema;-
"Ni marufuku raia kuvaa sare za jeshi ama mavazi yanayofanana na sare za jeshi". Ili iweje...
Amekosea, ilitakiwa aseme hana uhalaliMwanajeshi hana uwezo wa kupiga raia?
Unaongea ukiwa nchi gani
Kwa umri wako sishangai ukiwa na mtazamo huu. Wazee na watu wasiojitambua ndio wana mtazamo huu.Ni kweli usemayo lakini kwa Tanzania watu wanayatumia vibaya hayo mavazi, siyo kwa uzalendo wala fashion.
Ni sawa tu yapigwe marufuku, mpaka tufikie wakati wetu wa utayari.
Mkuuu umeongea the voice from within kabisaAcha upumbavu huu, combat za jwtz ni tofauti kabisa na camouflage clothes, uoga wako na kutojua sheria ndio unafanya nchi hii iwe kama police state, mwanajeshi hana uwezo wa kupiga raia au to arrest,kazi ya arresting ni police pekee, jwtz watimize wajibu wao wa kulinda our borders ambazo sasa ni porous borders, msomali anakatiza nchi yetu kutoka North hadi South bila ya kuonekana
Ni kifungu kipi kinachosema kuwa ni kosa kuvaa mavazi yanayofanana na ya jeshi.Nimemsikiliza askari aliyekuwa akihojiwa na CloudsTV anasema sheria ya mavazi ya jeshi unasema;-
"Ni marufuku raia kuvaa sare za jeshi ama mavazi yanayofanana na sare za jeshi". Ili iweje...
Reply number 17ni kifungu kipi kinachosema kuwa ni kosa kuvaa mavazi yanayofanana na ya jeshi.
Sheria gani ya nchi inayopinga uvaaji wa hayo mavazi yanayofanana na sare za jeshi au kaunda suti za usalama??Mleta uzi umeandika ujinga mtupu. Kama una hamu ya kuvaa mavazi ya jeshi fanya namna ujiunge nalo na sio kulazimisha kuvaa sare zao zinazoweza kutumika vibaya na watu kufanyia uhalifu. Watu imefikia hatua wanashona kaunda suti na kujifanya wanausalama. TII SHERIA BILA SHURUTI AU HAMA NCHI.
Kumuulize Profesa Shivji au Wakili Mwabukusi.Sheria gani ya nchi inayopinga uvaaji wa hayo mavazi yanayofanana na sare za jeshi au kaunda suti za usalama??
Wewe ndiyo umegonga mahala pake. "Jeshi siyo sare". Safi sanaWaambiwe ukweli.
SARE sio jeshi.
Jeshi ni mafunzo, teknolojia, akili, saikolojia, falsafa, vifaa, n.k
Ni ushamba wa kijinga sana.
Halafu pia nguo kuwa na mabaka mabaka, haiwi nguo ya jeshi.
Je, wanajeshi wasiovaa sare, wanakuwa raia au wanakoma kuwa wanajeshi?!
Ni ujinga wa kiwango cha karibu na upumbavu.
Tuna wanajeshi wasio na mafunzo. Wapo wapo tu. Kazi yao kujimwambafai kwa kuvaa sare. Bure kabisa.Ukiona kwenye hii dunia ya vita vya drones bado askari wetu wanapasuliana matofali kichwani, hapo ujue tuna jeshi so outdated mno. Ndio maana unaona wanajikita kwenye mambo madogo madogo kama mavazi ya kufanana na jeshi. Jeshi linalofurahia kuogopwa na raia wasio na silaha hapo ni vituko vya karne.
Nimemsikiliza askari aliyekuwa akihojiwa na CloudsTV anasema sheria ya mavazi ya jeshi unasema;-
"Ni marufuku raia kuvaa sare za jeshi ama mavazi yanayofanana na sare za jeshi". Ili iweje?
Yaani ktk zama hizi za sayansi na teknolojia bado jeshi letu linataka kujitofautisha na raia kwa mavazi? Mwanajeshi ajitofautishe kwa umahiri wa kung'amua na kuzima nia na jaribio la adui kutaka kuivamia nchi yetu. Baasi! Siyo hizi blah blah za kuwalingishia raia gwanda za jeshi.
Kule nchi za watu mpk walevi na mateja wanavaa mavazi yanayofanana na sare za majeshi ya nchi zao. Mbona hatujasikia wakipata shida ya kiusalama?
Tuachane na ushamba huu. Nakumbuka hata bendera ya taifa kabla ya Kikwete kuwa rais ilikuwa ni marufuku kukutwa hata na leso inayofanana na bendera yetu ya taifa. Mhe. Kikwete akaondoa ushamba huu.
Ni wakati wa kuondoa ushamba wa kuzuia raia mavazi yanayofanana na sare
Kama hawajakuelewa basi wanamatatizo kwny vichwa vyaoKila nchi inaongozwa kwa utaratibu huwezi kuamka tu huko Umeshiba maharage unafikira kuvaa Combart za jeshi Watu wametoa machozi,jasho na damu kuzipata hizo.
Licha ya hivyo Tukumbuke kuwa kila mtu akianza kujiamria kutumia Mavazi ya Jeshi au taasisi yoyote kwa kuamua tu sidhani kama itakuwa sahihi.
Na hakuna nchi ambayo mtu anaamua tu kuvaa combart its Either ni msanii ama mwanamziki ambao kwa sheria hiyo hiyo ya Penal code 178 imeruhusu mtu yyte kutumia ila kwa kibali maalum cha kuzitumia kwa shughuli za kisanii
View attachment 2734897
Kifungu hakukitaja mkuu. Hata mm sikifahamuNi kifungu kipi kinachosema kuwa ni kosa kuvaa mavazi yanayofanana na ya jeshi.
Huo uhalifu utakuwa unafanyika wakati majeshi yetu yamelala wapi?sio kulazimisha kuvaa sare zao zinazoweza kutumika vibaya na watu kufanyia uhalifu
Acha uwoga wewe. Mavazi ya jeshi siyo rangi bali ni nembo.Mleta uzi umeandika ujinga mtupu. Kama una hamu ya kuvaa mavazi ya jeshi fanya namna ujiunge nalo na sio kulazimisha kuvaa sare zao zinazoweza kutumika vibaya na watu kufanyia uhalifu. Watu imefikia hatua wanashona kaunda suti na kujifanya wanausalama. TII SHERIA BILA SHURUTI AU HAMA NCHI.