[emoji38][emoji38][emoji38], wanajeshi wapo everywhere..Hivi siku zimeisha? Mie Nina pens huwa navaaga shambani, sasa kupeleka ni chakavu Sana. Nimelitunza Tu hadi maduka nitinge nikiwa shamba. Wakinifumua poa tu lkn huku kwetu wajeda hawapo
Sent from my SM-G977B using JamiiForums mobile app
[emoji20][emoji1783][emoji1]Vipi mtu akivaa mavazi ya madaktari.
Mbona hata wavaa suti wanatapeli? Nenda Nairobi ukimwona mtu amevaa suti mambo ni mawili:Lakini kwanini wavae. Hebu fikiria mtu kavaa full uniform kama mjeda au polisi huoni Kwa nchi kama yetu anaweza tumia huo mwanya kutapeli/kunyanyasa watu?
Huyu Khantwe wa kwenye pp ndiye ninayemfahamu mimi sasa, si yule wa Babu na Bibi harusi.Nguo zimejaa huko madukani za kila sample, kila rangi na kabila wewe ulilie kuvaa nguo ya jeshi.... Una lako jambo sio bure
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Mkuu kwakuw umetoa Jasho ili uvae uniform za Jasho wengine wakivaa utaumiaKila nchi inaongozwa kwa utaratibu huwezi kuamka tu huko Umeshiba maharage unafikira kuvaa Combart za jeshi Watu wametoa machozi,jasho na damu kuzipata hizo.
Licha ya hivyo Tukumbuke kuwa kila mtu akianza kujiamria kutumia Mavazi ya Jeshi au taasisi yoyote kwa kuamua tu sidhani kama itakuwa sahihi.
Na hakuna nchi ambayo mtu anaamua tu kuvaa combart its Either ni msanii ama mwanamziki ambao kwa sheria hiyo hiyo ya Penal code 178 imeruhusu mtu yyte kutumia ila kwa kibali maalum cha kuzitumia kwa shughuli za kisanii
View attachment 2734897
Kwann avae,mbona awavai ya mavazi ya mapadre au masister,au wafungwa.Akili za kiafrika zinatusumbua.
Siku tukiliondoa hili ndiyo mwisho wa raia kuonewa na vyombo vya usalama wao (Walinzi wa raia au wanajeshi) yaani raia anateswa na mlinzi wake kisa kavaa mavazi kama yake 😄😄😄😄....only in Africa
Basi poa Kama nyinyi hamtaki tuvae nguo za mabakabaka,basi tutavaa kaunda suti za usalama wa Taifa tuone Kama nao usalama watatukataza!!Mtu unavaa nguo inayofanana na ya jeshi ili nini? Kwamba umekosa nguo nyingine kabisa?
Acha wapigwe tu ili akili iwakae sawa. Tz ukijifanya unaijua sheria kuliko sheria yenyewe ilihali umekosea utajua hujui. Huku sheria zipo kama ushahidi tu, ukileta ujuaji utabondwa tu na baada ya hapo hata hiyo sheria utakua umesahau.
Wakiwa eneo lao la kazi yaani buchani Ile ni uniform ya kazi.Mbona wauza Nyama wanavaa?
ELIMU.Kumbe tungejikita kuwaelimisha watu. Nguo za migambo waliotapakaa nchi nzima kila mtaa zinafanana na sare za polisi mbona haziongelewi?
Wanaotapeli kwa kofia ya kujifanya maafisa usalama wanatapeli mpk ofisini za serikali huko. Kwann hawaongelewi?
Kuna ka ujinga fulani ka wanajeshi kutaka kujiona wako tofauti kwa mavazi peke yake badala ya maarifa.
Ndio maana mwigulu nchemba ndiye mzalendo namba moja tzKukataza watu kutumia nembo zao za taifa kama bendera, wimbo wa taifa na tunu zingine ilikua ujinga wa kiwango cha lami ndo maana wabongo wengi hawana uzalendo na nchi yao. Leo hii mtu akimaliza shule ya msingi anasahau kabisa wimbo wa taifa, ukienda nchi zingine zinapigwa kila kona, kila mtu ana bendera ya nchi yake. Bongo unafundishwa kuichukia nchi yako.
Hata rangi ni nembo,Nguo za jeshi zina nembo bosi. Mabaka ya kwenye nguo hayajengi uhalali wa sare za jeshi bali nembo ya jeshi.
Kuzuia utapeli ni kisingizio tu. Mbona kila siku watu wanatapeliwa fedha kwa kutumia simu? TCRA wapo na jeshi lipo lkn hawana wanachofanya? Wanauona utapeli kwenye mavazi tu?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] aisee haya bwanaHuyu Khantwe wa kwenye pp ndiye ninayemfahamu mimi sasa, si yule wa Babu na Bibi harusi.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Zuchu na Diamond huwa wanavaa ya wafungwa.Kwann uvae mavazi ya kijeshi,mbona ya wafungwa hawavai.
Kwann uvae mavazi usiyohusika nayo.
Mbona hawavai maoveroli
WakiigizaZuchu na Diamond huwa wanavaa ya wafungwa.
Sikulaumu ndio matunda ya upe na shule za kanumba, mtaji mkubwa wa watawala wa nchi hii,upumbavu mkubwa kwa middle class, soma hii tena jwtz combatsMtu unavaa nguo inayofanana na ya jeshi ili nini? Kwamba umekosa nguo nyingine kabisa?
Acha wapigwe tu ili akili iwakae sawa. Tz ukijifanya unaijua sheria kuliko sheria yenyewe ilihali umekosea utajua hujui. Huku sheria zipo kama ushahidi tu, ukileta ujuaji utabondwa tu na baada ya hapo hata hiyo sheria utakua umesahau.
Mtu unavaa nguo inayofanana na ya jeshi ili nini? Kwamba umekosa nguo nyingine kabisa?
Acha wapigwe tu ili akili iwakae sawa. Tz ukijifanya unaijua sheria kuliko sheria yenyewe ilihali umekosea utajua hujui. Huku sheria zipo kama ushahidi tu, ukileta ujuaji utabondwa tu na baada ya hapo hata hiyo sheria utakua umesahau.
Ukiwa kwenye nchi ambayo mwanajeshi anapiga raia,elewa unaishi in a shithole countryMwanajeshi hana uwezo wa kupiga raia?
Unaongea ukiwa nchi gani
Acha kunililia. Mimi sio CDF. Kama vipi Vaa hizo sare zao kisha pita pale LugaloKwani hao wezi kwenye ripoti ya CAG wanavaa sare za jeshi? Mnaacha uhalifu wa maana, mnahangaika na mambo madogo madogo ya mavazi.
Umeona eeh! Ni ujinga na ushambat tuMambo ya Kishamba tu.... So Mtu akivaa Tshirt ama Pensi lake la Mabaka... akivunja dirisha nyumbani utamuangalia tu......