Shuhudia Sensa Live Kupitia TBC, Nimeshuhudia Live Rais Samia Akihesabiwa. Let's Share Experiences za Sensa na Zoezi la Kuhesabiwa Toka Maeneo Tofauti


Kwenda zake kule mnafiki mkubwa wewe !
 
Nyie ndiyo Chawa per se, so what Rais kuhesabiwa? Unamuona Rais Kama Mungu Yesu kwa akili zako ninavyozisoma. Samia kahesabiwa, Basi la ajabu Ni lipi?
 
Saa hizi tuko live kwa Mzee wa Msoga, JK!. Looking shining and radiant.
P
 
Hivi nchi zilizoendelea wanahesabiwa hivi kama mifugo? Ukiwa na data za watu waliozaliwa, waliokufa, walioingia na kutoka nchini, siyo kwamba inabaki issue ya simple mathematics tu hapo?
Afrika ni asilimia 60 au 70 ndiyo uzalia hospitali na waliobaki uzalia majumbani huko.Kiafrika mambo ni tofauti sana mkuu.
 
Je Wazazi wa karani aliyemhesabu Samia walifunga ndoa ya aina ipi?

1. Ndoa ya kimila
2. Ndoa ya kiserikali
3. Ndoa ya Dini
4. Hawakufunga ndoa
5. walitoroshana

KAMA WALITOROSHANA NENDA SWALI LINALOFUATA
 
Sasa live imehamia Ruagwa Lindi nyumbani kwa PM, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa.
P.
 
Kwani kipi cha ajabu?
Katika umri ulionao kipi kimebadilika au ndiyo Mara yako ya Kwanza kuhesabiwa?
 
Saa hizi live ya sensa iko Zanzibar kwa Dr. Mwinyi...
P
 
Sasa live ya Sensa iko nyumbani kwa Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud.
P
 
πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜…πŸ˜†πŸ˜πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜ƒπŸ˜€πŸ˜€
Paskal Hawezi Kuacha Kudemka Wakati Wote Analipuka Tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…