Tetesi: Shule ya wasichana ya Huruma iliyopo Dodoma yazuia wanafunzi kurudi likizo

Mtoa mada atakuwa ni mwalimu aliyefukuzwa kazi hapo shuleni. Kwa hiyo ameleta shutuma zake, huku akiwa na chuki kubwa moyoni mwake.
Bwana Tate , wewe unajua wazi aliyeondoka shuleni ni mkuu wa shule sister aliyekua bora sana , mlimuondoa kwa sababu zipi mnajua wenyewe , waalimu walio fuata kuondoka mnajua wameondoka kwa sababu zipi , walimu wapya walioajiriwa mnajua wenyewe sifa zao ni zipi akiwemo na mkuu wa shule mpya wa kiume. Semeni wazi tetesi za usagaji zilifanya waalimu muwaondoe waliokuwepo , mkihisi hawajasimamia vyema maadili , lakini pia bahati mbaya sana waliokuja kuziba mapengo ni ma payoyo. shule inashuka kitaaluma na kimaadili period. Endeleeni kuruka ruka tu , jana kuna mwenzenu kapigiwa simu usiku amewaeleza waliongea nini na kiongozi mmoja toka wizra ya elimu? kuweni wapole tunawasaidia mrudi
 
bwana Deno
Mkuu wa shule aliyepita alikua sister , shule ilimuondoa unaweza kuniambia sababu? walimu wengine kadhaa waliondolewa baada wa mkuu wa shule kufukuzwa yaan sister unajua sababu? hujui kitu nyamaza kula maandazi .
Watu hatukurupuki kuja kuongea vitu hapa , tuna hofu ya Mungu na weledi mkubwa , nimeacha makusudi kutaja baadhi ya details maana shule ingefungwa within a day na serikali .
Taaluma imeshuka shuleni acha kuchangia kishabiki waulize si masister wanaongoza shule hio au huna salio la kupiga pale DODOMA na kuuliza?
 
Kiongozi naheshimu sana mawazo yako, infact nimegundua kitu kimoja kwamba upo concerned sana na brand ya kanisa kuharibika kuliko watoto wale kuharibika.
Kwa taarifa yako kama hujui basi unafichwa ni kuwa , kulikua na mkuu wa shule sister walimfukuza baada ya tetesi za kimaadali kuibuka shuleni hapo.
Alipofukuzwa akaletwa mkuu wa shule wa kiume check bob mmoja ambaye hajui kazi na shule ikaanza kuporomoka kitaaluma.
Shule imeona inaporomoka kitaaluma inaanza kustress watoto wasipumzike wabaki kufanya tuition
Na kwa taarifa yako fee ya 50k kwa shule binafsi sio kubwa kwa kua wazaz wengi wanajiweza kwa hio ondoa suala la gharama kwenye hoja yako.
mambo ni mawili shule ilifukuza walimu akiwemo sister aliyekuwa mkuu wa shule kwa tetesi za kimaadili yaan usgaji kuanza kuenea shuleni hapo.
Shule ikaleta walimu wapya mapoyoyo hawajui vitu , watoto wanashuka kielimu
 
Kiongozi naheshimu sana mawazo yako, infact nimegundua kitu kimoja kwamba upo concerned sana na brand ya kanisa kuharibika kuliko watoto wale kuharibika.
Kwa taarifa yako kama hujui basi unafichwa ni kuwa , kulikua na mkuu wa shule sister walimfukuza baada ya tetesi za kimaadali kuibuka shuleni hapo.
Alipofukuzwa akaletwa mkuu wa shule wa kiume check bob mmoja ambaye hajui kazi na shule ikaanza kuporomoka kitaaluma.
Shule imeona inaporomoka kitaaluma inaanza kustress watoto wasipumzike wabaki kufanya tuition
Na kwa taarifa yako fee ya 50k kwa shule binafsi sio kubwa kwa kua wazaz wengi wanajiweza kwa hio ondoa suala la gharama kwenye hoja yako.
mambo ni mawili shule ilifukuza walimu akiwemo sister aliyekuwa mkuu wa shule kwa tetesi za kimaadili yaan usgaji kuanza kuenea shuleni hapo.
Shule ikaleta walimu wapya mapoyoyo hawajui vitu , watoto wanashuka kielimu
 
Kiongozi naheshimu sana mawazo yako, infact nimegundua kitu kimoja kwamba upo concerned sana na brand ya kanisa kuharibika kuliko watoto wale kuharibika.
Kwa taarifa yako kama hujui basi unafichwa ni kuwa , kulikua na mkuu wa shule sister walimfukuza baada ya tetesi za kimaadali kuibuka shuleni hapo.
Alipofukuzwa akaletwa mkuu wa shule wa kiume check bob mmoja ambaye hajui kazi na shule ikaanza kuporomoka kitaaluma.
Shule imeona inaporomoka kitaaluma inaanza kustress watoto wasipumzike wabaki kufanya tuition
Na kwa taarifa yako fee ya 50k kwa shule binafsi sio kubwa kwa kua wazaz wengi wanajiweza kwa hio ondoa suala la gharama kwenye hoja yako.
mambo ni mawili shule ilifukuza walimu akiwemo sister aliyekuwa mkuu wa shule kwa tetesi za kimaadili yaan usgaji kuanza kuenea shuleni hapo.
Shule ikaleta walimu wapya mapoyoyo hawajui vitu , watoto wanashuka kielimu
 
Shule unawezaje kumkatalia mtoto wako kipindi cha likizo na wewe mzazi ukakubali halafu unakuja kulalamika humu?

Kipindi cha likizo ni maamuzi yangu mzazi, shule haiwezi kuniamulia.
 
Shule unawezaje kumkatalia mtoto wako kipindi cha likizo na wewe mzazi ukakubali halafu unakuja kulalamika humu?

Kipindi cha likizo ni maamuzi yangu mzazi, shule haiwezi kuniamulia.
Wewe ni genius wa ukweli sana kudos
 
Video sikuona, ila naomba unieleze wewe ni lini ilisimama. Nasikia wengine jamaa akikukojolea na wewe kwa mbali vitone vinadondoka. Wewe huwa kanasimama (kwa vile najua kashakuwa kama ukucha baada ya kuanza kufilimbwa)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] si ukafanye utafiti, tena nimekupa urahisi wa video ya afande rama.

Sasa hutaki nn?? Uwiiiiiih
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] makubwaaaa, nimecheka had bas, vipi wee mama mtumishi ulisalimika kweli??
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] makubwaaaa, nimecheka had bas, vipi wee mama mtumishi ulisalimika kweli??
Shougaaa nilisalimika kwakweli..
Nilikuwa hata sijui mpk hiyo siku!🀣🀣🀣
 
Duhh..huyo mwalimu lazima atakua anaeasaga wanafunzi wakike! Inasikitisha sana
 
Unamiliki shule gani Dodoma we dada?
Maana inaonekana umetumwa kuichafua huruma girls coz ni kama ni mshindani mkubwa wa shule yako
 
Kwahiyo wew nia yako ni kuharibu kabx an make kwa maelezo yako mtu akisom sidhan kama atampeleka mwanae kwny hio shule
 
Tutake radhi wakatoliki kabla hatujaanza novena ya roho mtakatifu kwa ajili yako wewe na kizazi chako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…