Yaan badala uhangaike kunusuru kizazi na laana ambayo shule inatengeneza , wewe unahangaika kufunika uozo ,Tutake radhi wakatoliki kabla hatujaanza novena ya roho mtakatifu kwa ajili yako wewe na kizazi chako
Watanzania mnashida gani? yaan mtu anakwambia kwamba shati lako chafu , wewe badala usafishe shati lako unaanza kumtafutia reciprocal error mkosoaji wako kweli?Unamiliki shule gani Dodoma we dada?
Maana inaonekana umetumwa kuichafua huruma girls coz ni kama ni mshindani mkubwa wa shule yako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jaman ukute na wengine waliju uko kwa kundi kumbe walaaa.Shougaaa nilisalimika kwakweli..
Nilikuwa hata sijui mpk hiyo siku![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]
Yuko sinzaa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani ,sijui aliacha huwa nawaza!
Ngoja ipo siku nitamuuliza [emoji28]
Yuko dar shule Moja hivi sinza hapo
Kumbe tetesiKatika , hali ya kutatanisha , shule ya masister inayomilikiwa na Kanisa katoliki mkoani DODOMA iitwayo HURUMA secondary school, imezua vurugu miongoni mwa wazazi wa vijana wa kidato cha nne .
1. Shule hiyo inadaiwa kuondokewa na waalimu wao mahili katikati ya maandalizi ya NECTA ijayo , vijana hao wa kidato cha nne wengi wao hawawezi kubadilisha shule/ kuhama shule kwa sasa , hivyo wanalazimika kubaki shuleni hapo kulinda usajili wao.
Mkuu wa shule hio anadaiwa kuwazuia wanafunzi wote wa kidato cha nne na kuwataka walipe fedha za kufundishwa TUITION kipindi cha likizo ijayo JUNE 2023 kwa kua wanajua shule hio haijawafundisha watoto hao baada ya kuondokewa na waalimu .
Wazazi waliowengi wanatamani wanafunzi wapewe uhuru wa kuamua kurudi kwa wazazi likizo ili wapate masomo ya ziada binafsi kwa waalimu wenye uwezo kuepusha kufail kwenye mtihani ujao .
2.Wazazi wengine wamelalamika pia , tetesi za shule hio kuwa na wanafunzi wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja , hivyo wanaomba watoto wao warudi likizo kuepusha madhara zaidi ya kimaadali
RAI yangu kwa wizara ya ELIMU ,na TAMISEMI PIA, fuatilieni mienendo ya kimaadili kwenye shule hii ya masister iliyopo DODOMA kuna tabia za kimagharibi ambazo wazazi wanashindwa kuzisema waziwazi maana zinadharirisha utu wa watoto wao , ndio maana wengi wanataka watoto wao warudi likizo waongee nao .
==========UPDATES===========
Shule inagoma kuwaachia watoto kwa kuhofia tetesi hizo za usagaji zinaweza kuenea na kupelekea kufungwa au kuchunguzwa
Pumbavu!Katika , hali ya kutatanisha , shule ya masister inayomilikiwa na Kanisa katoliki mkoani DODOMA iitwayo HURUMA secondary school, imezua vurugu miongoni mwa wazazi wa vijana wa kidato cha nne .
1. Shule hiyo inadaiwa kuondokewa na waalimu wao mahili katikati ya maandalizi ya NECTA ijayo , vijana hao wa kidato cha nne wengi wao hawawezi kubadilisha shule/ kuhama shule kwa sasa , hivyo wanalazimika kubaki shuleni hapo kulinda usajili wao.
Mkuu wa shule hio anadaiwa kuwazuia wanafunzi wote wa kidato cha nne na kuwataka walipe fedha za kufundishwa TUITION kipindi cha likizo ijayo JUNE 2023 kwa kua wanajua shule hio haijawafundisha watoto hao baada ya kuondokewa na waalimu .
Wazazi waliowengi wanatamani wanafunzi wapewe uhuru wa kuamua kurudi kwa wazazi likizo ili wapate masomo ya ziada binafsi kwa waalimu wenye uwezo kuepusha kufail kwenye mtihani ujao .
2.Wazazi wengine wamelalamika pia , tetesi za shule hio kuwa na wanafunzi wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja , hivyo wanaomba watoto wao warudi likizo kuepusha madhara zaidi ya kimaadali
RAI yangu kwa wizara ya ELIMU ,na TAMISEMI PIA, fuatilieni mienendo ya kimaadili kwenye shule hii ya masister iliyopo DODOMA kuna tabia za kimagharibi ambazo wazazi wanashindwa kuzisema waziwazi maana zinadharirisha utu wa watoto wao , ndio maana wengi wanataka watoto wao warudi likizo waongee nao .
==========UPDATES===========
Shule inagoma kuwaachia watoto kwa kuhofia tetesi hizo za usagaji zinaweza kuenea na kupelekea kufungwa au kuchunguzwa
Mshenzi!Dunia imebadirika sana, kama ni uzushi masaa 48 mengi sana mtashangaa , vyombo vya habari nina uhakika kama havijafika basi viko njiani, serikali imeshapata taarifa , ukweli na uongo utajulikana huko
Mkuu wewe utakuwa either mpishi au mlinzi wa shule sio kwahasira hiziHuyu mtoa mada ana mambo ya kipumbavu sana. Hata shule za Kata zenyewe tu nyingi zimeshaitisha vikao na wazazi kwa ajili ya kuwachangisha michango ili wanafunzi wafundishwe wakati wa likizo!
Shule nyingi za ptivate nao zina utaratibu wa aina hii hii wa kuyabakisha madarasa ya mitihani wakati wa likizo kwa makubaliano na wazazi kuchangia gharama kidogo. Sasa huyu jamaa baada ya kufukuzwa kazi, hasira zake zote ameona azielekeze kwenye kuichafua shule.
Mtu kama ww huna mtoto hapo shuleni na umekaa subuleni kwa shemeji yako ipo siku dada ako akichokwa utafuatwa wwKatika , hali ya kutatanisha , shule ya masister inayomilikiwa na Kanisa katoliki mkoani DODOMA iitwayo HURUMA secondary school, imezua vurugu miongoni mwa wazazi wa vijana wa kidato cha nne .
1. Shule hiyo inadaiwa kuondokewa na waalimu wao mahili katikati ya maandalizi ya NECTA ijayo , vijana hao wa kidato cha nne wengi wao hawawezi kubadilisha shule/ kuhama shule kwa sasa , hivyo wanalazimika kubaki shuleni hapo kulinda usajili wao.
Mkuu wa shule hio anadaiwa kuwazuia wanafunzi wote wa kidato cha nne na kuwataka walipe fedha za kufundishwa TUITION kipindi cha likizo ijayo JUNE 2023 kwa kua wanajua shule hio haijawafundisha watoto hao baada ya kuondokewa na waalimu .
Wazazi waliowengi wanatamani wanafunzi wapewe uhuru wa kuamua kurudi kwa wazazi likizo ili wapate masomo ya ziada binafsi kwa waalimu wenye uwezo kuepusha kufail kwenye mtihani ujao .
2.Wazazi wengine wamelalamika pia , tetesi za shule hio kuwa na wanafunzi wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja , hivyo wanaomba watoto wao warudi likizo kuepusha madhara zaidi ya kimaadali
RAI yangu kwa wizara ya ELIMU ,na TAMISEMI PIA, fuatilieni mienendo ya kimaadili kwenye shule hii ya masister iliyopo DODOMA kuna tabia za kimagharibi ambazo wazazi wanashindwa kuzisema waziwazi maana zinadharirisha utu wa watoto wao , ndio maana wengi wanataka watoto wao warudi likizo waongee nao .
==========UPDATES===========
Shule inagoma kuwaachia watoto kwa kuhofia tetesi hizo za usagaji zinaweza kuenea na kupelekea kufungwa au kuchunguzwa
Huyo Jamaa atakuwa na lake Jambo.Mtoa mada hujasema una maslahi gani na hiyo shule, ili tuweze kufanya tathmini ya hizi shutuma zako.
Je, wewe ni mzazi mwenye mwanafunzi wa kidato cha nne, aliyezuiliwa na hiyo shule kurudi nyumbani?
Je, una uhakika shule inatumia ubabe, au imekubaliana na wazazi wenzako wenye watoto wa kidato cha nne!
Au wewe ni mmoja ya walimu waliotimuliwa kwenye hiyo shule, na sasa umeamua kuja kuisagia kunguni? Maana haileti mantiki shule kama Huruma Girls ikose walimu mahiri wa kuchukua nafasi ya hao wachache waliofukuzwa!
By the way, hiyo shule inafanya vizuri sana kwenye mitihani ya Kitaifa. Hivyo nitakuwa mtu wa mwisho kuamini hizi shutuma zako zote! Pamoja na hizo za usagaji.
Huna ishu wewe.Jambo moja nina uhakika nalo, you will never ever be safe for what is going on at HURUMA sec.
Ruka ruka tu na ramli zako hizo , time has reached everything to be unearthed .
Hayo maswali yako nakushauri utulie nayo wakati wa kuhojiwa uyatumie yanaweza kukusaidia kidogo kuliona jua.
Sali litania na sala ya mt Anthony wa padua , meza ishapinduka , save your energy
Nawewe umechotwa na fitina za mleta mada?Miaka ya zaman kumuoa mwanafunzi wa HURUMA GIRLS ilikuwa jumapili tuu english service misa ya pili kanisa paulo wa msalaba. Those gals were smart jaman kuanzia sare waliovaa hadi usomaji wa somo kwa english.
Kunani tena jamani huruma yetu imekuwaje????
Hao wazazi kama wanajitambua wanawafuata watoto shuleni likizo zinapoanza.Katika , hali ya kutatanisha , shule ya masister inayomilikiwa na Kanisa katoliki mkoani DODOMA iitwayo HURUMA secondary school, imezua vurugu miongoni mwa wazazi wa vijana wa kidato cha nne .
1. Shule hiyo inadaiwa kuondokewa na waalimu wao mahili katikati ya maandalizi ya NECTA ijayo , vijana hao wa kidato cha nne wengi wao hawawezi kubadilisha shule/ kuhama shule kwa sasa , hivyo wanalazimika kubaki shuleni hapo kulinda usajili wao.
Mkuu wa shule hio anadaiwa kuwazuia wanafunzi wote wa kidato cha nne na kuwataka walipe fedha za kufundishwa TUITION kipindi cha likizo ijayo JUNE 2023 kwa kua wanajua shule hio haijawafundisha watoto hao baada ya kuondokewa na waalimu .
Wazazi waliowengi wanatamani wanafunzi wapewe uhuru wa kuamua kurudi kwa wazazi likizo ili wapate masomo ya ziada binafsi kwa waalimu wenye uwezo kuepusha kufail kwenye mtihani ujao .
2.Wazazi wengine wamelalamika pia , tetesi za shule hio kuwa na wanafunzi wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja , hivyo wanaomba watoto wao warudi likizo kuepusha madhara zaidi ya kimaadali
RAI yangu kwa wizara ya ELIMU ,na TAMISEMI PIA, fuatilieni mienendo ya kimaadili kwenye shule hii ya masister iliyopo DODOMA kuna tabia za kimagharibi ambazo wazazi wanashindwa kuzisema waziwazi maana zinadharirisha utu wa watoto wao , ndio maana wengi wanataka watoto wao warudi likizo waongee nao .
==========UPDATES===========
Shule inagoma kuwaachia watoto kwa kuhofia tetesi hizo za usagaji zinaweza kuenea na kupelekea kufungwa au kuchunguzwa
Acha uchimvi usiokua na maana yoyote. Aliyekuambia kuwa shule za kike hazina walimu wa kiume ni nani? Mbona mnahemkwa na ushamba namna hii. Wazazi wa kidot.com taabu kwelikweli.Yaaa ina walimu wa kiume tena vijana tu hata mimi nilishangaa kwenye kikao cha mwisho nilienda kwa mdogo wangu
Acha kuchafua shule kwa sababu zako unazozijua.Bwana Tate , wewe unajua wazi aliyeondoka shuleni ni mkuu wa shule sister aliyekua bora sana , mlimuondoa kwa sababu zipi mnajua wenyewe , waalimu walio fuata kuondoka mnajua wameondoka kwa sababu zipi , walimu wapya walioajiriwa mnajua wenyewe sifa zao ni zipi akiwemo na mkuu wa shule mpya wa kiume. Semeni wazi tetesi za usagaji zilifanya waalimu muwaondoe waliokuwepo , mkihisi hawajasimamia vyema maadili , lakini pia bahati mbaya sana waliokuja kuziba mapengo ni ma payoyo. shule inashuka kitaaluma na kimaadili period. Endeleeni kuruka ruka tu , jana kuna mwenzenu kapigiwa simu usiku amewaeleza waliongea nini na kiongozi mmoja toka wizra ya elimu? kuweni wapole tunawasaidia mrudi
Wewe ni mfitini mkubwa. Unaandika kama vile shule inafundisha hivyo vitendo. Lazima kuna mahala mmekwaruzana na shule. Inawezekana umefukuzwa kazi au umeshindwa kulipa ada kwa wakati. Ni dhambi mbaya sana kuleta hadharani taarifa usizoweza kuthibitisha hasa kama hii inayoharibu image ya shule na kanisa.Yaan badala uhangaike kunusuru kizazi na laana ambayo shule inatengeneza , wewe unahangaika kufunika uozo ,
kwa taarifa yako sasa uliza mkuu wa shule sister afifukuzwa kwa sababu gani.
Pili nakusihi ukapige magoti na kusali litani ya mama bikira maria kuombea hio shule shetani aliye juu yake atoke .
usali na sala ya mtakatifu inyasi