Sidhani kama watoto wa MO au Bakhresa wanajuta kuzaliwa kwenye familia zao πŸ€”

Wewe ambaye sio coward ulifanyaje mpaka ukawa jasiiri pro max
Sifa kubwa ya mwanaume ni kuwa na pride rega
ukiwa unalialia kwa wanaume wenzako unatofauti gani na mwanamke
 
hapendi kutaman taman maisha ya wanaume wengine ana focus kwenye malengo yake
Sasa usipotamani maisha ya matajiri utawezaje kuwa na hard working aura kwenye nafsi yako ili hali

Ukimuuliza mtu kwann unataka kuwa tajiri utasikia ninunue nyumba nzuri kama ya Mo au nile watoto wazuri kama mond au ninunue gari zuri kama la cr7

Sasa hiyo ni nn si tamaa hamna mtu anayetafuta utajiri ambaye hakuwahi kutamani utajiri wa mwenzake au mafanikio ya mwenzake

Dunia ya sasa lazima ujilinganishe na watu mkuuu ili upate moyo wa kufight maana hij ni competition mkuuuu


Huishi pekeako duniani lazima utake kuwa best of the best tu
 
Sifa kubwa ya mwanaume ni kuwa na pride rega

ukiwa unalialia kwa wanaume wenzako unatofauti gani na mwanamke
Hiyo pride rega ni nn kwani nieleweshe

mi sijalialia nimetoa dukuduku langu linalonitesa moyoni au unataka nife na tai shingoni πŸ€”
 
Huwezi kaa mbele ya wanaume wenzako unawaambia unataman ungezaliwa kwenye familia ya dewji au bakheresa

Mwanaume ni problem solver means ni solution sawa kwenye familia yenye kipato kidogo ikwamue familia yako na sio kulia kulia mbele ya wanaume

Hata hizo familia za kitajiri unazoziona kuna mtu alijitoa mpaka wakafika hapo hawakufika hapo kimuijiza
Usipende kudandia mafanikio ya watu wengine wewe ni wa kiume
 
Duuh sawasawa point noted πŸ‘
 
Hiyo pride rega ni nn kwani nieleweshe

mi sijalialia nimetoa dukuduku langu linalonitesa moyoni au unataka nife na tai shingoni πŸ€”
Kila mtu ana matatizo yake na changamoto zake usifikiri wewe ndo unashida pekee yako
Kuna matajiri usiku hawalali mpaka wanywe dawa, wengine simu ikiita hata kupokea wanaogopa
 
Kazi kubwa na ya muhimu kwa wazazi wako ilikuwa ni kukuleta duniani tu na kukulinda usife wakati hujiwezi.

The rest ni jukumu lako mwenyewe tu.
 
Kazi kubwa na ya muhimu kwa wazazi wako ilikuwa ni kukuleta duniani tu na kukulinda usife wakati hujiwezi.

The rest ni jukumu lako mwenyewe tu.
😁😁😁😁😁😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…