Sijawahi kuona nchini yenye amani na usalama kama Zambia

Ingekuwa hapa kwetu dem angelamba simu, hela, viatu, wallet na mpaka suruali. Yani ungemkuta jamaa yako yupo uchi chumbani.
 
kipindi naishi mpanda katavi niliwahi kukutana na wazambia walionekana kuwa ni watu wenye roho ngumu na mbaya...niliamini kuwa wazambia ni watu wenye roho mbaya........
Wazambia kwa sasa ni mchanganyiko wa watu kutoka mataifa mbali mbali. Kuna wanyarwanda, warundi, wakongo, wamalawi wazimbabwe nk ambao wamechukua uraia wa Zambia. Kwahiyo ukikutana labda na mnyarwanda ambae anatumia identity ya Zambia akakufanyia ushenzi, wewe utahisi kuwa wazambia wote wapo hivyo, kumbe..
 
Mkuu Tunduma bora upewe chenji na mzambia, ila akikupa mbongo kama haujui thamani na hauko makini lazima atakupiga tu.
 

Halafu kama una exposure na hao watu huwezi kua kibaka kibaka wa pesa za watu, kudumu na kuendelea kwenye biashara ni pamoja na kua straight. Udokozi na udhulumati lazima utakumbana na makubwa kwenye biashara yako
 
Uchumi wa Zambia ni mdogo sana kulinganisha NA Tanzania ila wazambia wengi wao ni waaminifu sana.
Vyumba na vyumba vya kupanga tanzania hasa dar ndiyo sababu ya mambo kuwa mabovu serikali itunge sheria ya upangaji yenye kuzingatia usalama ...unakuta vijana wanachukua kigeto wanafanya uovu tu bangi madawa ya kulevya nk ...watu wanatoka nchi jirani bila vibali wanakuja dar wanapangisha makazi ..hii ndiyo sababu kubwa
 
Kwa kweli hizo cases sizijui sababu si dereva. Pengine tufumbue macho zaidi tuone shida iko wapi? Maana isjie ikawa madereva wetu wanapeleka mambo ya " kitanzania" huko.
Kweli kuna clip niliona anapigwa dereva wa roli ila ukijiuliza mtu ataanzaje kukupiga bila kosa
 

Mimi naamini sana kwenye uaminifu kwa sababu nimeendelea kwa uaminifu wa hali ya juu
Siwezi kutapeli wala kudanganya hata siku moja
Na mambo yanaenda vizuri tu
Uaminifu unaamini wa kwa mengi sana iwe serikalini au mitaani au kwenye familia

Kuna watu wametajirika kwa uaminifu tena wengi sana nawajua
Halafu masikini wa akili na mali anakuambia eti huo ni utajiri wa ndagu

Sasa yeye Kwanini asitafute hiyo ndagu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…