Wewe ni KATAA NDOA,FIKA MAKAO MAKUU UCHUKUE KADI YA UANACHAMA.UNAELEMENT ZOTE ZA KATAA NDOA.Daaah ujue ipo hvi.
Kwa upande wangu mi mambo ya kuoa oa hayo hata siyafatilii yaan ntajuaga huko huko kama taoa au laa..
Ila hata nikitaka kuoa huyo ambaye anataka aolewe basi awe chizi kweli kweli maana huki kichwa kwa kweli sijui.
Mi ambacho napiga marufuku mpaka kesho ni mtoto ...
Yaani mimi sitaki mtoto kabla sijamwandalia mazingira
Uko sahihi kabisa watoto bilaa kujiandaa ni kutengeneza tatizo maana uamuz wa kuwaleta duniani ni wakoDaaah ujue ipo hvi.
Kwa upande wangu mi mambo ya kuoa oa hayo hata siyafatilii yaan ntajuaga huko huko kama taoa au laa..
Ila hata nikitaka kuoa huyo ambaye anataka aolewe basi awe chizi kweli kweli maana huki kichwa kwa kweli sijui.
Mi ambacho napiga marufuku mpaka kesho ni mtoto ...
Yaani mimi sitaki mtoto kabla sijamwandalia mazingira
Nakumbuka kwenye prison break T bag alikuwa anamsikiliza Fernando Sucre(lover boy) Anatoa maelezoo mengi, T bag akamkatisha kwa kumwambia "CASANOVA WRAP IT UP" ππππ Ma SIMP bwana maelekezo mengi...SIMPS MUST PERISH!!!
WOMEN SHOULD KILL ALL SIMPSππ
ππKATAA NDOA,NDOA NI UTAPELI!!!
Kazi kweli kweliKupenda ni kwenu wanaume
But mwanamke unatakiwa kuwa na upendo by nature na uzuri tunafundishwa kupenda na wanaume maranying ndio maana mkitutongoza tunawajibu jeuri then badae tunaanza kuwapenda sijasema ukiwa hauna ela usioe kabisa hapana ila uwe na uhakika na sautiyako huko ndani
Mwisho kaka sisi tunaatakaga vyote πππ
So uwe provider
Bado uniipende
Bado unitunze na kubembelezwa juu
Never ever kataa ndoa ni kwa watu timamu wa akili.Mamluki wapo ila tumekuwa tukiwafichua na kuwafukuza chamani.Mmh, hapa sasa nina nyumba tayari, kazi/biashara yangu sio haba, sasa nimtulize huyu Abdallah kichwa wazi nitafute Pisi (piece) moja iliyonyooka niweke ndani.
Safi kabisaβ¦.Utanyooka nayoπ
βAlisikika kataa NDOA mmoja baada ya kujipataβ
Nakubali hawa SIMPS wamechanganyikiwa nina ndugu kibao na washkaji kila day wanaachana na wake zao. Na wengine wanajilaumu kwa kuchafua clean sheet zao za kuingia kwenye ndoa.NDOA NDOANOπππNakumbuka kwenye prison break T bag alikuwa anamsikiliza Fernando Sucre(lover boy) Anatoa maelezoo mengi, T bag akamkatisha kwa kumwambia "CASANOVA WRAP IT UP" ππππ Ma SIMP bwana maelekezo mengi...
Bill Gates nae anajitafutaUmesema kweli.... wakijipata wataoa.
Ndoa ni muhimu kwa ustaw wa familia haijalishi mapunngufu ni mengi kiasi gani lakin Bado ndio ishakuwa ndoa Muombe Mungu akupe mtu sahihiKazi kweli kweli
BORA SHETANI ILA NYIE WAOMBA UNYUMBA NDIO MABALADHULI MAIBILISI NA WAARIBIFU WA JAMII KABISA. NYIE NDIO WAZEE WA NYUMBA NDOGO,NYIE NDIO MNARUBUNI MABINTI WA SHULE NA KUWAHARIBIA MAISHA NYIE NDIO MNAONGOZA KWA KUSAMBAZA UKIMWI.YOTE HIYO NI SABABU YA KUNYIMWA UNYUMBA HUKO MAJUMBANI MWENU.endeleeni kumsaidia Shetani kwenye mpango wake. Mtajutraaaa
Clean sheet πππππ , me mpaka niingie kwenye huo mtego ni sijui hata, nna jamaangu kawa pressurized na familia na kapata older women ila ana mizigo tukaenda kula wali keshokutwa tu lakini akitoboa hata mwaka me ntamwekea sababu posta, sababu jamaa ni anaupiga vitoto vya 2000 mpaka nomaaaNakubali hawa SIMPS wamechanganyikiwa nina ndugu kibao na washkaji kila day wanaachana na wake zao. Na wengine wanajilaumu kwa kuchafua clean sheet zao za kuingia kwenye ndoa.NDOA NDOANOπππ
Wakija kwangu wanaona nastrieve tu muhuni nipo soo focus na mambo yangu sina stress wao wanazweka kwq stress na bado wanaichapa kwa tabuππππ
πππKATAA NDOA,NDOA NI UTAPELI!!!
ππBORA SHETANI ILA NYIE WAOMBA UNYUMBA NDIO MABALADHULI MAIBILISI WAARIBU WA JAMII KABISA NYIE NDIO WAZEE WA NYUMBA NDOGO,NYIE NDIO MNARUBUNI MABINTI WQ SHULE NA KUWAHARIBIA MAISHA NYIE NDIO MNAONGOZA KWA USAMBAZA UKIMWI.YOTE HIYO NI SABABU YA KUNYIMWA UNYUMBA HUKO MAJUMBANI MWENU.
ππKATAA NDOA,NDOA NI UTAPELI!!!
Kuliko kuishi na kulala na gaidi anayeniwazia nife arithi mali.Bora nikafungwe Gwantanamo!!!Ndoa ni muhimu kwa ustaw wa familia haijalishi mapunngufu ni mengi kiasi gani lakin Bado ndio ishakuwa ndoa Muombe Mungu akupe mtu sahihi
Hata maisha yanachaangamoto nyingi lakin haituzuii Kuishi na tunapambana wengine wanatoboa japo wapo wanaojiua pia so kilakitu kina nafas na muhimu kwenye maisha
Na wewe utakuwa hivo πClean sheet πππππ , me mpaka niingie kwenye huo mtego ni sijui hata, nna jamaangu kawa pressurized na familia na kapata older women ila ana mizigo tukaenda kula wali keshokutwa tu lakini akitoboa hata mwaka me ntamwekea sababu posta, sababu jamaa ni anaupiga vitoto vya 2000 mpaka nomaaa
Never ever kataa ndoa ni kwa watu timamu wa akili.Mamluki wapo ila tumekuwa tukiwafichua na kuwafukuza chamani.
Karibu chama la wana kataa ndoa huku hatuombi unyumba wala kupewa kwa masharti.
πππKataa ndoa,ujilie mema ya dunia bila vificho, bila vipimo na bila masharti!!!
Okay basi fanyeni kuoa au kuelewa iwe kama mtu kaamua kubaki na govi au kulikata haina impact ya moja kwa moja kwenye maisha ya mtu, waacheni watu Waishi maisha Yao.. .Ndoa ni muhimu kwa ustaw wa familia haijalishi mapunngufu ni mengi kiasi gani lakin Bado ndio ishakuwa ndoa Muombe Mungu akupe mtu sahihi
Hata maisha yanachaangamoto nyingi lakin haituzuii Kuishi na tunapambana wengine wanatoboa japo wapo wanaojiua pia so kilakitu kina nafas na muhimu kwenye maisha
Poleni sana mnakutana na mifano mibay sana lakin after Ten yrs utakuja kuyalamba matpshi YakoKuliko kuishi na kulala na gaidi anayeniwazia nife arithi mali.Bora nikafungwe Gwantanamo!!!
πππKAMA UNAAKILI TIMAMU,KATAA NDOA!!!
Hakuna kataa ndoa fala mimi huwa nawaamibia humu JF kataa ndoa wote tunaaakili huwa tunaona yajayo na kuyaepuka.Yaani huko mtaani ni paranganyika ila bado kuna mafala yanaoa alafu vilio vyao wanatuletea sisi BIG BRAIN KATAA NDOAππππππClean sheet πππππ , me mpaka niingie kwenye huo mtego ni sijui hata, nna jamaangu kawa pressurized na familia na kapata older women ila ana mizigo tukaenda kula wali keshokutwa tu lakini akitoboa hata mwaka me ntamwekea sababu posta, sababu jamaa ni anaupiga vitoto vya 2000 mpaka nomaaa
Hili nalo tatizo mkuu Tena kubwa Kuishi n wazazi kupendwa na wazazi huwez kutamni et nizae nisioe labda uwe kichaa maybe wale waliofiwa naweza kuwaelewaUnaweza kunipatia experience ndogo tangu ulivyokuwa mdogo mwenye utambuzi jinsi ulivyokuwa ukiwaona wazazi wako wanaishi, wanawalea na kufurahi kwa pamoja kama familia
Hakuna mifano mibaya au mizuri ningerudishwa karne ya 17 au 18 ningeoa ila haya magumegume yaliopo saivi mtu kaanza kuchezea paipu tangu primary,sekondary, chuo,mtaani.Na bado unanishauri nioe, never ever!!!Poleni sana mnakutana na mifano mibay sana lakin after Ten yrs utakuja kuyalamba matpshi Yako
Chimbuko kubwa huwa ni hili likiambatana na mengine mengi.Hili nalo tatizo mkuu Tena kubwa Kuishi n wazazi kupendwa na wazazi huwez kutamni et nizae nisioe labda uwe kichaa maybe wale waliofiwa naweza kuwaelewa