Urithi ni baada ya mtu kufa, wewe baba yako masikini unawaonea wengine wivuMkuu according to Forbes Tanzania tunao dollar billionaires wawili Mo Dewji na jambazi Rostam Aziz, by the way wakisema tajiri kijana basi hata Yusuf Bakhresa anatakiwa aingie kwenye hiyo list na siyo baba yake, sababu sasa hivi anaendesha Azam GoC ni Yusuf Bakhresa kama ambavyo Mo Dewji anaendesha MeTL GoC na wote hao wamerithi na kuendeleza biashara za baba zao siyo self made
Wengi wanamchukia MO ila kwa trading hakuna anayemfikia TzSiyo viwanda but correctly said ni kuwa ana zaidi ya 40 companies trading under METL group of companies. Those 40 plus companies zina biashara za kutosha.
Watu hawampendi ila yuko vizuri sanaAcha chuki za kifala hata serikali yako inamtambua Mo kama tajiri namba 1 Tz.
Sasa sijui ww unacho bisha ni nn?
Huyu mwamedi huwa hakui na mvi zinamkimbilia kila siku ni young bilionea tena wa kurisiMwamedi ni utajiri kwa vijana below 45 ndio anasimamiamo humo not overall
Tatizo lenu hamsomiTulishajiuliza hili swali miaka miaka sana.
Mimi na wenzangu tukakubaliana kuwa.
1. Mohamed amweka uchumi wake west wakati SSB yuko sana Uarabuni.
2. Wanakadiria uchumi wa SSB wako biased
3. Itakuwa wao wanaangalia pesa ya benk hawaangalii mali.
4. Mo ana mikopo ktk benk za wazungu. SSB sijui hata kama ana deni zaidi ya lile la Kodi kipindi Cha Magu.
5. Mo itakuwa biashara zake ziko ktk soko la hisa na SSB hana huo ujinga.
Tatizo lenu hamsomi, nenda tra uulizieHiz takwimu za akina mwamedi usiziamini kabisa ni mchongo tu mwamedi sio wa kumzidi ssb utajiri azam ana viwanda uganda malawi mozambique rwanda south africa na tanzania mwamedi kawekeza tanzania tu tena kimchongo mchongo wale forbes hawana tofauti na twaweza
Watu wanaongozwa na chuki kuliko uhalisiaWewe unaweza kutaja mali zote anazomiliki Bakhresa.
Tax payer mkubwa Tanzania ni Dewji sasa mabishano ya nini?
Zile pesa hazitolewi kwa mkupuo, zinatolewa kwa mwezi kwa miaka 10 ambapo kila mwaka bilioni 20, kwa mwezi bilioni 1.5Ni viazi tu,wakati MO anababaika kukata 20bln pale kwa makolo,mwenzake anakabidhi bilioni 200 kwa tenda ya kurusha matangazo.
Uzuri wa pesa sio maini ya mtu kwamba mpaka tumpasue ndio tuyaone.
Kama ni swala la assets basi hazimuingizii pesa inayoeleweka.
Mi nampenda mkojani ananifurahisha.Hajui kuigiza kabisa, anafosi tuu...
Mashamba ya serikali yale ya tanga na kule mufindi huyu mudi mjanjamjanja badala ya kuyaendeleza kaenda kuchukulia mikopo nadhani kipindi cha magu alinyanganywa.KunA siku nilisikia mwamedi anasema ana kiwanda kina uwezo wa kutengeneza kitambaa kinachoweza kuzunguka dunia nzima
Ngoja nikupe sababu zinazopelekea mwamedi kumzidi Mzee ni kwamba product karibia zote anazozalisha mzee, mwamedi nae anazalisha
Pia mwamedi ana mashamba ya kutosha ya mikonge,kiujumla mwamedi ana maasset mengi yasiyoshuka thamani kama ardhi
Bado mwamedi ni agent wa bidhaa mbali mbali za umeme na mapikipiki kutoka nje
Acha uongo. Mo anaongoza, kwa mujibu wa Forbes. Kama ni kweli mi sijui.Mwamedi ni utajiri kwa vijana below 45 ndio anasimamiamo humo not overall
Kumbe zile swaga za Mo kutupia picha n.k hua ana umiza watu umaskini shida hapana kwa kweliMzee SSB anawatoto wapo wanaendesha hzo company but hawanaga kabisa swaga kama za mo
Bilioni 20 za Mo zinatolewaje?Zile pesa hazitolewi kwa mkupuo, zinatolewa kwa mwezi kwa miaka 10 ambapo kila mwaka bilioni 20, kwa mwezi bilioni 1.5
Huyu mwamedi huwa hakui na mvi zinamkimbilia kila siku ni young bilionea tena wa kurisi
Zile pesa hazitolewi kwa mkupuo, zinatolewa kwa mwezi kwa miaka 10 ambapo kila mwaka bilioni 20, kwa mwezi bilioni 1.5
Sipungukiwi chochote lakini ukiona mtu anapingana mpaka na takwimu za kiserikali ni razima ujiulize maswali mengi juu yakeWewe unapungukiwa nini ukiambiwa Mo kazidiwa utajiri na Bakhresa?? [emoji12]