Ni hulka ya mtu asiyejiamini ndio maana anaamini katika kubadili badili watu na kuweka wake. Mbona kina condoleza rice, theresa may, madeline albright walishika nafasi kubwa za juu na walikuwa wakisimama kuongea wanaongea kama viongozi wa nchi hawaongei kama wanawake.Kama bado ana portion ya fikra yakinifu anatakiwa mambo ya kijinsia kuwaachia mazuzu wa mitandaoni.
Kama rais kujikita kwenye mambo hayo ni fedheha kwa taasisi ya urais
2025 .........Samia kila akisimama jukwaa lazima aanze harakati za kijinsia. Anakoelekea na harakati uchwara zake za kijinsia itakuwa ngumu kumtofautisha na wale mashangazi wa twita
Hapo kwenye kuchangia mbegu ndo kaniacha hoi, yaani wanaume wanavyo menyeka kwa ajili ya ku maintain familia kumbe wanaishia kutambulika kama wachangia mbegu tu.......kweli akutukanae hakuchagulii tusi.Soma hapo,mimi sina haja ya kumuonea mtu.View attachment 1956874
Hajatambua nafasi ya urais. Yawezekana keshaupenda urais ili unakuwa mzito kwake.Kuna siku nilisema hapa kuwa kuna kiongozi fulani wa nchi fulani ya Corona wa kwenye oil na mapapai anazurura kama yale Mapaka yasiyofugwa kisha nikala ban ya siku saba![emoji124][emoji124][emoji124]
Ni ngumu sana kuficha ukweli.Mapembe ya Ng'ombe huwa hayajifichi ndugu zangu.
Chief Hangaya ni inept leader ambae anaficha udhaifu wake kwenye mambo ya gender.Imagine Rais mzima wa nchi anasimama anadai kuwa wanaume ni sperm donor ambao hawana umuhimu wowote ule!
Na wanawake wenzake wanavyomkataa ni kwamba wanatuma message kuwa: "Sisi wanawake tunaweza kuongoza vizuri sana ila huyu mwanamke mwenzetu anatuangusha"!
Udibidhe wewe uliza wanawake wakioko jirani t'yaki utapata majibu mwenyeweJe unaweza ukaja na data kusupport your urgument kuwa wanawake wengi wamemchoka Rais. What you have said is what we call sweeping statement kujaribu kutoa hoja mfu.
Yaani mama anapiga hadi anamkufuru Mungu. Mwenyezi Mungu mwenyewe anatambua baba ndio kichwa cha familia.Hapo kwenye kuchangia mbegu ndo kaniacha hoi, yaani wanaume wanavyo menyeka kwa ajili ya ku maintain familia kumbe wanaishia kutambulika kama wachangia mbegu tu.......kweli akutukanae hakuchagulii tusi.
Huu ni upuuzi wa kiwango cha Juu sana, Wanaomshauri wamuelekeze na vitu vya Kuzungumza mbele ya Watu wenye akili timamu.Soma hapo,mimi sina haja ya kumuonea mtu.View attachment 1956874
Tupo standby kabisa kusikilizia ni wapi tutaitwa kwenda kuchangia mbegu....Mmeamkaje wachangia mbegu
I for one sitapiga kura kwake au kwa yeyote kwa vigezo vya jinsia zao.Yaani mama anapiga hadi anamkufuru Mungu. Mwenyezi Mungu mwenyewe anatambua baba ndio kichwa cha familia.
Hii njia anayotumia mama kutafuta urais inabidi ashauriwe. Ye anasahau kuwa yeye ni zao la usawa wa kijinsia. Yaani utadhani kaupata urais kwa kupambana kwa nguvu zake mwenyewe. She is planting the seeds of her own destruction. Wanaume wameanza kumchoka na wanawake hawatopiga kura za jinsia.
Mimi ninachokiona kuhusu Raisi wetu,kuna kikundi na si wanaume wote kama watu wanavyomchukulia,kilimpa shida au kinaendelea kumshutumu juu ya uongozi wake kama mwanamke,ndio maana kila mara amekuwa akionesha kuwa mwanamke ni mtu anayeweza.Kwa level yake usitegemee atamtaja au kuwataja kuwa wakina flani wanaongea kuhusu mimi kuwa raisi kama mwanamke,na lengo la kurudia hilo ni kuondoa hiyo notion kwenye jamii ambayo tokea ipate uhuru Raisi amekuwa ni mwanaume,otherwise mimi sioni shida sana,with time watu watamkubali na maisha yatasonga.....Kama bado ana portion ya fikra yakinifu anatakiwa mambo ya kijinsia kuwaachia mazuzu wa mitandaoni.
Kama rais kujikita kwenye mambo hayo ni fedheha kwa taasisi ya urais
Kifupi hutuba yake ya mbegu inatia aibu kuisikilizaI for one sitapiga kura kwake au kwa yeyote kwa vigezo vya jinsia zao.
Kama anaamini hii ni turufu, ajipange upya.
Awaprove wrong and awawajibishe kwa Mamlaka aliyonayo.Mimi ninachokiona kuhusu Raisi wetu,kuna kikundi na si wanaume wote kama watu wanavyomchukulia,kilimpa shida au kinaendelea kumshutumu juu ya uongozi wake kama mwanamke,ndio maana kila mara amekuwa akionesha kuwa mwanamke ni mtu anayeweza...
Ona sasa!Hivi anaelewa hutuba zake zinasikilizwa na kila lika watoto na wazee kwa nini anataja maumbile
Kifupi hutuba yake ya mbegu inatia aibu kuisikiliza
Image umekaa na watoto unaangalia taarifa ya habari ya Mama ana anza kuhutubia mbeguOna sasa!
Yani anakosa namna nyingine ya kuaddress Taifa zaidi ya hoja za Jinsi na jinsia?