Simba yamtimua kocha Roberto Oliveira Goncalves Do Carmo (Robetinho)

Dj naomba uniletee makolo wakisindikizwa na kibao cha jenifer mgeni_naliaa polee
 
Hizi timu zinaendeshwa na waswahili unategemea nini

Mpira wa Simba na Yanga ni wa kiswahili swahili tu 😇
 
Mb
Mbona hata coaches wanajua hilo kuwa TZ unaenda kuchukua fedha baada ya kuvunjiwa mkataba unaendelea na mishe zako. Fresh tu.
 
Kiongozi anapanga nani aanze kucheza na sio kocha 😇😇😇

Kazi mnayo,tuendelee kuangalia EPL tu
 
Waswahili wa msimbazi sio wavumilivu
 
Jamaa ni kocha mzuri, sema tu presha ilimzidi akaachana na falsafa yake. Azam kocha huyo kazi kwenu. Uzuri mna mawinga wazuri wa kutosha na wachezaji wenye Kasi, achana na mifaza ya Simba ile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…