Siri ambayo waombaji wengi wa Kikristo hawajaijua. Chukua hii uone matokeo katika maombi yako

Siri ambayo waombaji wengi wa Kikristo hawajaijua. Chukua hii uone matokeo katika maombi yako

Si vibaya kuomba Kwa mwili,

Changamoto yake ni kuwa adui atakuwa unachoomba na ni Rahisi kuzuia au kuchelewesha maombi yasiende au yakienda ni Rahisi kuzuia majibu kukurudia Kwa wakati.

Kuomba Kwa lugha ni Mungu anaomba kupitia kinywa chako, hakuna traffic au jam hapo.

Ukurusha kombora kupitia kuomba Kwa lugha, adui hawezi jua au kuzuia silaha hiyo maana hatojua anapigwa na nini, saa ngapi na wapi, hivyo hawezi kukwepa.

Ongeza kiu ya kufika viwango hivyo, omba tena na tena kupokea kipawa hicho, jitenge na dhambi, jitakase Kila mara. One day yes!!
Daniel mpaka majibu yake yalicheleweshwa ni kwamba alikuwa haombi katika roho?
 
HOJA inaeleweka, kuomba Kwa Roho ni FAIDA zaidi kuliko kuomba Kwa mwili.
umezungumzia habari ya kuzuia au kucheleweshwa kwa majibu na mfano mzuri wa aliyecheleweshewa majibu ni Daniel, ndio swali linakuja kwamba inamaana alikuwa haombi katika roho?
 
ULIVYOJIBU, unaonyesha wewe ni msomi mzuri wa theolojia, ila theolojia iliyokita mizizi yake kwenye mapokeo ya dini yako, sio Neno la Mungu linavyomaanisha, na hamtataka kuelewa vingine vyovyote kama vinapinga mapokeo ya dini yenu nzuri. ni huzuni kubwa sana kwamba watu huwa wanasoma theolojia kwa miaka mingi, ila hawajamjua Mungu na wataenda motoni kwa kumkosa Mungu.

kwa kukusaidia, KUOMBA KWA ROHO ni kunena kwa lugha, ni pale unapojazwa Roho Mtakatifu akatumia kinywa chako kikinena/kikiomba kwa lugha nyingine kadiri Roho alivyoamua na akili yako inakuwa haina matunda/haihusiki. Roho Mtakatifu anakuwa ame-take over na kutumia kinywa chako kunena katika maombi. hivyo ndivyo ilivyokuwa wakati ule wa Pentecost, na maeneo yote wanafunzi wa Yesu walipopita kuhubiri waliwekea watu mikono ili wapate kipawa hiki.

Yesu alisema, Na ishara hizi zitaambatana na wote waaminio, kwa Jina langu watatoa pepo, wataweka mikono yao juu ya wagonjwa nao watapata afya, watasema kwa lugha mpya (meaning watanena kwa lugha)....., hicho umeandika hapo juu hakieleweki kabisa, digrii zako ulipoteza miaka yote bure kabisa. ungejua ungebaki tu nyumbani na kama hiki ndicho mnafundisha waumini wenu, ni hasara kubwa sana.

1Korinto 14:14 inasema; Maana nikiomba kwa lugha, roho yangu huomba, lakini akili zangu hazina matunda.
MATENDO 10:44 INASEMA:
44 Petro alipokuwa akisema maneno hayo Roho Mtakatifu akawashukia wote waliolisikia lile neno. 45 Na wale waliotahiriwa, walioamini, wakashangaa, watu wote waliokuja pamoja na Petro, kwa sababu Mataifa nao wamemwagiwa kipawa cha Roho Mtakatifu. 46 Kwa maana waliwasikia wakisema kwa lugha, na kumwadhimisha Mungu.
Mtumishi ubarikiwe.
Umetumia muda wako vizuri kuwafungua watu.
Wapo watu watasoma post yako na watajifunza kitu cha kuwafaidia
 
umezungumzia habari ya kuzuia au kucheleweshwa kwa majibu na mfano mzuri wa aliyecheleweshewa majibu ni Daniel, ndio swali linakuja kwamba inamaana alikuwa haombi katika roho?
Possibly.
 
Wanahitaji ukweli ili wafunguliwe.
Bahati mbaya huo ukweli hawautaki.
Mchungaji mmoja wa kkkt alikuwa anapinga ubatizo wa maji mengi kwa hoja mfu kabisa.
Kwakuwa yeye hakubatizwa kwa maji mengi na kwenye shule yao miaka yote 3 somo la ubatizo wa maji mengi wanalipiga chenga
Mafundisho manyonge
 
Yes alikuwaga na ROHO MAKATIFU Ila hakuwahi kuomba kwa KUNENA nyie mmeitoa wapi bhandugu?

Au ndio mashetani ya kigalatia yanapandishwa hivyo

Nauliza tu
Yesu alinena kwa lugha na ushahidi upo akipokuwa msalabani alitamka kwa kunena kwa lugha Ekoi Eloi lamasabakthani .Wengi walishindwa kuelewa anasema nini wengine.wakasema anamwita Eliya wengine wakasema anasema.Mungu wangu mbona umeiniacha hakuna aliyejua tafsiri ya alichoongea

Pili kuna kunena kwa lugha na kusoma na kuandika kwa Lugha.Daniel kwenye kitabu Cha Daniel alikuwa anajua kusoma na kuandika kwa Lugha.Maneno yalikuja yaneandikwa kwa lugha Mene Mene Tekeli na Pèresi Daniel aliwexa kuyasoma na kujua tafsiri ya kilichoandikwa akamtafsiria mfalme
 
Siku ya pentekoste mitume alinena kwa lugha gan? Walizitoa wapi hizo lugha?
Lugha ziko nyingi moja ni.lugha ya kuhubiria hiyo inatakiwa mtu ajue unachoongea .Siku ya Pentecoste lugha iliyoshuka pale ni ya kuhubiria watu
Lakina kuna nyingine ya Lugha ni mtu.binafsi anaongea diri zake au mambo yakebya rohoni na Mungu Yanatoka rohoni mwake yanaenda kwa Mungu.Hayo.ni.maombi binafsi ambayo hayahitaji mtu.mwingine are anaomba nini ni masuala binafsi sio mahubiri wala hayahusu mtu mwingine ni siri ya Mungu na anayeomba
 
Hello
Shalom!
Naongea na wakomavu ambao wanahitaji chakula kigumu na si uji tena.

Uhai wa Mkristo uko katika maombi, mkristo ambaye haombi huyo ni mkavu, aidha amekufa kiroho au anakaribia kufa kiroho.

Hivyo ni wajibu wa kila mkristo kuhakikisha mito ya uzima ndani yake haikauki. Na kuifanya mito kuwa rejuvenating ni kuwa mwanamaombi.

Ila jambo kuu ni kuwa mwanamaombi katika roho.

Ni heri mtu anayeomba dakika 5 katika roho kuliko mtu anayekesha kwa ombi lakini anaomba kibinadamu.

Mtu ambaye anaomba kibinadamu ni kama bubu tu, anatumia nguvu nyingi na muda mwingine mpaka sauti inaanza kubadilika.

Kila Ijumaa Walokole wengi tunafanya mikesha kuliombea taifa lakini umaskini ndani ya taifa hauishi, ujinga hauishi, na matatizo sugu katika jamii bado yanaendelea.

Nini sababu?

Sababu kuu ni kwamba maombi yanafanyika katika mwili.

Kuomba katika roho kwa mujibu wa Mtume Paul ni kuomba katika lugha ya MBINGUNI (lugha za malaika, lugha za Kimungu) , lugha ambazo wakuu wa anga kama waliomzuia Gabriel kumpa majibu Nabii Daniel hawazijui

View attachment 2948811
What good is that MUNGU anatupa lugha ambazo pepo wachafu hawazijui au tuseme hawazisikii lakini bado tunang'ang'ania kuomba kwa Kiswahili na Kiingereza.

Mtu anayeweza kuomba katika roho lisaa limoja non stop huyo ana uwezo wa kushinda jaribu lolote lililo mbele yake.

View attachment 2948813

Na kama ataweza kuomba masaa 2 katika roho non stop mtu huyo ataweza kuuvuta muujiza wowote mbele yake.

NOTE: Yesu alikufa msalabani ili watu wote hasa wanaomwamini waokolewe na wataishi maisha mazuri MBINGUNI na si hapa duniani.

Kwahiyo mahitaji ya duniani Mungu anakupa kwa kipimo chake. Ingawa ni haki ya kila muamini kupata mahitaji yake muhimu lakini ni vyema akilini mwako ulitambue hili kuwa ujio wa Yesu na kifo chake ni kwaajili ya maisha yajayo (Eternal life).

USINENE wa kukariri au kwa kuiga, wapo wanaonena kwa kukariri na kuiga, ni wengi, wengine hunena kwa roho chafu.

Natamani nielezee hapa kunena kwa lugha kukoje, kuhutubu (kutabiri) kukoje.

Maana wengine huchanganya hivi vitu 2.

Kinachotakiwa kifasiriwe ni kuhutubu (kutabiri) sio kila mtu anaponena panahitajika mtafsiri.
Umeanza vizuri, umenukuu vifungu sahihi kuendana na utangulizi wako

Ila nachelea kusema umemaliza andiko huku umetuacha njia panda na ulichokikisidia sidhani kama umekiwasilisha


Kwa kifupi umezunguka mpaka umepotea mwenyewe

Mwisho kabisa ukitaka kutoa maarifa, usizunguke sana elezea kwa ufasaha ili ueleweke ili hata ikitokea mapokeona mitazamo ikitofautiana, tueleweshane kwa ajili ya kujenga zaidi.

Amani ya Bwana iwe nanyi
 
Kwa nchi yetu siyo kuombea tena! Huwa nawaza ni kumwomba Mungu aachilie mapigo 10 kama yale aliyoyachilia kwa Farao mpaka akawaachilia Wana wa Israel.
Umasikini hauwezi kuondoka kwa maombi peke yake!
 
Hello
Shalom!
Naongea na wakomavu ambao wanahitaji chakula kigumu na si uji tena.

Uhai wa Mkristo uko katika maombi, mkristo ambaye haombi huyo ni mkavu, aidha amekufa kiroho au anakaribia kufa kiroho.

Hivyo ni wajibu wa kila mkristo kuhakikisha mito ya uzima ndani yake haikauki. Na kuifanya mito kuwa rejuvenating ni kuwa mwanamaombi.

Ila jambo kuu ni kuwa mwanamaombi katika roho.

Ni heri mtu anayeomba dakika 5 katika roho kuliko mtu anayekesha kwa ombi lakini anaomba kibinadamu.

Mtu ambaye anaomba kibinadamu ni kama bubu tu, anatumia nguvu nyingi na muda mwingine mpaka sauti inaanza kubadilika.

Kila Ijumaa Walokole wengi tunafanya mikesha kuliombea taifa lakini umaskini ndani ya taifa hauishi, ujinga hauishi, na matatizo sugu katika jamii bado yanaendelea.

Nini sababu?

Sababu kuu ni kwamba maombi yanafanyika katika mwili.

Kuomba katika roho kwa mujibu wa Mtume Paul ni kuomba katika lugha ya MBINGUNI (lugha za malaika, lugha za Kimungu) , lugha ambazo wakuu wa anga kama waliomzuia Gabriel kumpa majibu Nabii Daniel hawazijui

View attachment 2948811
What good is that MUNGU anatupa lugha ambazo pepo wachafu hawazijui au tuseme hawazisikii lakini bado tunang'ang'ania kuomba kwa Kiswahili na Kiingereza.

Mtu anayeweza kuomba katika roho lisaa limoja non stop huyo ana uwezo wa kushinda jaribu lolote lililo mbele yake.

View attachment 2948813

Na kama ataweza kuomba masaa 2 katika roho non stop mtu huyo ataweza kuuvuta muujiza wowote mbele yake.

NOTE: Yesu alikufa msalabani ili watu wote hasa wanaomwamini waokolewe na wataishi maisha mazuri MBINGUNI na si hapa duniani.

Kwahiyo mahitaji ya duniani Mungu anakupa kwa kipimo chake. Ingawa ni haki ya kila muamini kupata mahitaji yake muhimu lakini ni vyema akilini mwako ulitambue hili kuwa ujio wa Yesu na kifo chake ni kwaajili ya maisha yajayo (Eternal life).

USINENE wa kukariri au kwa kuiga, wapo wanaonena kwa kukariri na kuiga, ni wengi, wengine hunena kwa roho chafu.

Natamani nielezee hapa kunena kwa lugha kukoje, kuhutubu (kutabiri) kukoje.

Maana wengine huchanganya hivi vitu 2.

Kinachotakiwa kifasiriwe ni kuhutubu (kutabiri) sio kila mtu anaponena panahitajika mtafsiri.
Kuna madhehebu yanawafundisha waumini wao kwamba kama mtu haneni kwa Lugha basi hana Roho Mtakatifu. Na hili wamelikomalia kweli kweli kana kwamba kunena Kwa Lugha ndiyo ishara pekee. Matokeo yake wengine wanajaribiwa kuforce kutamka maneno yasiyoeleweka ili tu wajione kwamba wananena Kwa lugha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Yesu alinena kwa lugha na ushahidi upo akipokuwa msalabani alitamka kwa kunena kwa lugha Ekoi Eloi lamasabakthani .Wengi walishindwa kuelewa anasema nini wengine.wakasema anamwita Eliya wengine wakasema anasema.Mungu wangu mbona umeiniacha hakuna aliyejua tafsiri ya alichoongea

Pili kuna kunena kwa lugha na kusoma na kuandika kwa Lugha.Daniel kwenye kitabu Cha Daniel alikuwa anajua kusoma na kuandika kwa Lugha.Maneno yalikuja yaneandikwa kwa lugha Mene Mene Tekeli na Pèresi Daniel aliwexa kuyasoma na kujua tafsiri ya kilichoandikwa akamtafsiria mfalme
WAKRISTO ni vichekesho sana 😁😁😁😁


Usibebe Imani bila AKILI unakuwa kama katuni..😔😔😔


(Eloi Eloi) maana yake ni MUNGU WANGU! MUNGU WANGU!

(Lama sabachtan) maana yake kwanini umeniacha.

Hiyo juu☝️ ni lugha ya ARAMIC lugha mama ya Yesu umesikia we POPOMA.....

Unasema eti KUNENA kwa LUGHA hivi wakeisto mnaakili nyie
 
Mkuu ni ukweli sana kuomba kuna majibu chanya. Pia ukiomba rohoni unaweza kuomba muda mrefu sana maana unakuwa rohoni.
 
Amina mtumishi,
Mafundisho Yana ujazo,na Mimi niwakumbushe tu watu wa Mungu,katika kunena kwao Kwa lugha kuambatane na Upendo ndani yao,maana upendo ni amri mpya na ni amri kuu...Maana neno la Mungu kwenye,kitabu Cha Wakoritho kinatukumbusha Hilo

1 Wakoritho 13:1
Nijaponena Kwa lugha,za wanadamu na za malaika kama sinao upendo Mimi si kitu kabisa.

Ni hayo tu.
Happy Easter to you na mwanangu wa kiroho Tlaatlaah
 
Amina mtumishi,
Mafundisho Yana ujazo,na Mimi niwakumbushe tu watu wa Mungu,katika kunena kwao Kwa lugha kuambatane na Upendo ndani yao,maana upendo ni amri mpya na ni amri kuu...Maana neno la Mungu kwenye,kitabu Cha Wakoritho kinatukumbusha Hilo

1 Wakoritho 13:1
Nijaponena Kwa lugha,za wanadamu na za malaika kama sinao upendo Mimi si kitu kabisa.

Ni hayo tu.
Happy Easter to you na mwanangu wa kiroho Tlaatlaah
Asanti kwa neno la Baraka sana kwa watumishi wa Mungu, mama yangu Joannah

Ni hakika Bwana amefufuka kweli kweli hallelujah,
utukufu na ukuu, u-nayeye hata Milele,
Hallelujah ..
Na uwe na Pasaka ya Baraka sana Mama...
 
Asanti kwa neno la Baraka sana kwa watumishi wa Mungu, mama yangu Joannah

Ni hakika Bwana amefufuka kweli kweli hallelujah,
utukufu na ukuu, u-nayeye hata Milele,
Hallelujah ..
Na uwe na Pasaka ya Baraka sana Mama...
Amefufuka kwelikweli..
Hallelujah!
 
Amina mtumishi,
Mafundisho Yana ujazo,na Mimi niwakumbushe tu watu wa Mungu,katika kunena kwao Kwa lugha kuambatane na Upendo ndani yao,maana upendo ni amri mpya na ni amri kuu...Maana neno la Mungu kwenye,kitabu Cha Wakoritho kinatukumbusha Hilo

1 Wakoritho 13:1
Nijaponena Kwa lugha,za wanadamu na za malaika kama sinao upendo Mimi si kitu kabisa.

Ni hayo tu.
Happy Easter to you na mwanangu wa kiroho Tlaatlaah
Nakuongezea Kingine Joannah
Kwa wale wakristo na wale wanaoendelea Kuamini..
Ongeza na hili Sio kuomba ,Kunena kwa lugha na Upendo tu..

Hata unapoomba kitu unatakiwa usiombe kwa Tamaa zako mwenyewe za Mwili au Za kiroho..

Yakobo 4:3

Hata mwaomba, wala hampati kwa sababu mwaomba vibaya, ili mvitumie kwa tamaa zenu.
 
WAKRISTO ni vichekesho sana 😁😁😁😁


Usibebe Imani bila AKILI unakuwa kama katuni..😔😔😔


(Eloi Eloi) maana yake ni MUNGU WANGU! MUNGU WANGU!

(Lama sabachtan) maana yake kwanini umeniacha.

Hiyo juu☝️ ni lugha ya ARAMIC lugha mama ya Yesu umesikia we POPOMA.....
Sio.kweli.uongo.mtupu hilo nrno.linadumbus wanaxuoni hadi kesho hakuna mwenyenuhakika na hiyo tafsiri ya alichoongea Yesu

Katika Mathayo 27:46 (Marko 15:34), Yesu anasema “Eli, Eli, lama sabakthani (σαβαχθανί)”, ambayo inatafsiriwa “ Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha? Kwa nini neno hili linalodaiwa kuwa la Kiaramu limetafsiriwa kwa Kigiriki kama σαβαχθανί, pamoja na Chi (χ), badala ya kama σαβακθανι na Kappa (κ)?

Yesu akinena kwa Lugha ndio maana hadi leo hakuna mwenye uhakika kusema Yesu aliongea nini pale.Kuna vitu aliongea kibinafsi yeye na Mungu tu ndio maana watu walihangaika kupata tafsiri ambao walikuwepo hapo hapo msalabani wayahudi wahua hixo lugha Wengine wakasema anamwita Eliya wengine wakasena anasema Mungu wangu mbona umeniacha.Hizo zilikuwa tafsiri za watu pale wakihangaika kivyao

Kuna ubishi mkubwa hadi.leo wa nini aliongea Yesu pale msalabani
 
Yaani wewe ufanye maovu yako usipewe hukumu eti kisa Yesu kafa Kwa ajili ya dhambi zako?,hizo ni ndoto za alinacha.

Acheni fiksi
 
Back
Top Bottom