Mbishi 4 real
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 640
- 651
Atamuenzi akiwa na njaa ?Tunajua alijua tarajio hili au la namna hii na alijiandaa. Asituangushe amuenzi Magufuli kwa dhati ya Mungu wake. Fedheha ni mbaya akatae.
Polepole huwa hayumbishwi na ufalme wa duniani chini ya jua. Hiari ni hiari tu tugange yajayo.
Ukimtegemea Mungu ufalme wa duniani hauna tija.
Malawi aende muhuni mwenzao.
Je, kaka atamuenzi Magufuli? Je hatagundua umakusudi huu na hasa wiki ya kuazimisha kifo cha Mwamba Magufuli?
Why now? Why this week? How?
Tusubiri kukuche!
Tunajua alijua tarajio hili au la namna hii na alijiandaa. Asituangushe amuenzi Magufuli kwa dhati ya Mungu wake. Fedheha ni mbaya akatae.
Polepole huwa hayumbishwi na ufalme wa duniani chini ya jua. Hiari ni hiari tu tugange yajayo.
Ukimtegemea Mungu ufalme wa duniani hauna tija.
Malawi aende muhuni mwenzao.
Je, kaka atamuenzi Magufuli? Je hatagundua umakusudi huu na hasa wiki ya kuazimisha kifo cha Mwamba Magufuli?
Why now? Why this week? How?
Tusubiri kukuche!
Note my words.
Mfano akikataa kuapishwa ubalozi wake wa kuteuliwa unaweza kutenguliwa??Ametegwa kuna mambo mawili hapa:
- Lengo ni kumwondoa kwenye ubunge kijanja, je anaondolewaje? Kama alishiriki mipango haramu ya kuwaumiza wenzake, basi ujanja huohuo unatumika kumwondoa yeye, hapa akikataa hatakuwa amemkomoa au kumuaibisha kiongozi ila hicho atakachofanya ndicho wenzake walikusudia kiwe, hawakutaka kumwondoa kwa aibu. (Tengua uteuzi)
- Amepelekwa ubalozi wa nchi inayochanja dhidi ya covid19 ambayo yeye si muumini wake, akienda atalazimika kuchanja na atakuwa amesaliti msimamo wake, asipokwenda ndiyo furaha ya wateuzi kwakuwa atachomoka kwenye mfumo, kwahiyo kilichofanyika ni kucheza na akili yake
Crisis24 Risk Alerts | Crisis24
Get timely risk intelligence on threats to your people and operations from Crisis24.crisis24.garda.com
Travel Advice | Malawi Tourism
Information and travel advice you may require for your trip to Malawi, including health and safety, food and drink advice, currency, language guide, and more.www.malawitourism.com
Hakuna tatizo, ila utakujuta.. ni sawa na wa dingi wa kikoloni akutume alafu uchomoeKn hatua zozote anachukuliwa mtu akigomea uteuzi wa rais?
Kwenye swala la uapisho nafasi nyeti huwa wanafanya vetting …Nadhani polepole alikua anajua kabla yetu unless otherwiseTunajua alijua tarajio hili au la namna hii na alijiandaa. Asituangushe amuenzi Magufuli kwa dhati ya Mungu wake. Fedheha ni mbaya akatae.
Polepole huwa hayumbishwi na ufalme wa duniani chini ya jua. Hiari ni hiari tu tugange yajayo.
Ukimtegemea Mungu ufalme wa duniani hauna tija.
Malawi aende muhuni mwenzao.
Je, kaka atamuenzi Magufuli? Je hatagundua umakusudi huu na hasa wiki ya kuazimisha kifo cha Mwamba Magufuli?
Why now? Why this week? How?
Tusubiri kukuche!
ccm uanachama wake sio shuruti anaweza akajivua uanachama kisha ndio akakataa au akagomea uapisho. Anaishi kwa kujiandaa na mbingu kuliko ufalme wa dunia. Mark my words, hata akiapa atajiuzulu kabla ya kwenda Malawi amini hilo polepole haendi Malawi. Wamemfanyia kebehi ya makusudi na yeye anajua na hakubali huo ujinga wao.haita tafsiriwa kuwa umedharau mamlaka ya rais na uteuzi? Ukaadhibiwa kwa hilo?
Polepole angeondoa mambo aliyofanya kwa mwendazake ni kiongozi mzuri lakini sasa yale aliyoyafanya enzi zile za V8 acha apate tu anastahili haya haitaji hurumaAmetegwa kuna mambo mawili hapa:
- Lengo ni kumwondoa kwenye ubunge kijanja, je anaondolewaje? Kama alishiriki mipango haramu ya kuwaumiza wenzake, basi ujanja huohuo unatumika kumwondoa yeye, hapa akikataa hatakuwa amemkomoa au kumuaibisha kiongozi ila hicho atakachofanya ndicho wenzake walikusudia kiwe, hawakutaka kumwondoa kwa aibu. (Tengua uteuzi)
- Amepelekwa ubalozi wa nchi inayochanja dhidi ya covid19 ambayo yeye si muumini wake, akienda atalazimika kuchanja na atakuwa amesaliti msimamo wake, asipokwenda ndiyo furaha ya wateuzi kwakuwa atachomoka kwenye mfumo, kwahiyo kilichofanyika ni kucheza na akili yake
Crisis24 Risk Alerts | Crisis24
Get timely risk intelligence on threats to your people and operations from Crisis24.crisis24.garda.com
Travel Advice | Malawi Tourism
Information and travel advice you may require for your trip to Malawi, including health and safety, food and drink advice, currency, language guide, and more.www.malawitourism.com
Uteuzi huu ni kebehi na dharau zenye hila fulani ambazo zitaenda kufuatanaKwenye swala la uapisho nafasi nyeti huwa wanafanya vetting …Nadhani polepole alikua anajua kabla yetu unless otherwise
hatari sana tena sana akili kubwa piaPolepole kumbe anaogopwa hivi
Huuu Uzi utaufuta kabla ya kuteuliwa kaitwa na kasaini agreement uteuzi haufanyikagi kwa kukurupuka Kila kiutu kinakuwa kimeandaliwaTunajua alijua tarajio hili au la namna hii na alijiandaa. Asituangushe amuenzi Magufuli kwa dhati ya Mungu wake. Fedheha ni mbaya akatae.
Polepole huwa hayumbishwi na ufalme wa duniani chini ya jua. Hiari ni hiari tu tugange yajayo.
Ukimtegemea Mungu ufalme wa duniani hauna tija.
Malawi aende muhuni mwenzao.
Je, kaka atamuenzi Magufuli? Je hatagundua umakusudi huu na hasa wiki ya kuazimisha kifo cha Mwamba Magufuli?
Why now? Why this week? How?
Tusubiri kukuche!
Hivi ukiteuliwa ukiwa na nafasi ya ubunge,mapochopocho ya kulitumikia binge inakuwajeKn hatua zozote anachukuliwa mtu akigomea uteuzi wa rais?
Aaahh wapNaamini watu wanafahamishwa kabla na wakikubali ndipo uteuzi hutangazwa.
hizi zama za upupu lolote vuluvululu tu hii yake ni mkomoo au mkomoeniHuuu Uzi utaufuta kabla ya kuteuliwa kaitwa na kasaini agreement uteuzi haufanyikagi kwa kukurupuka Kila kiutu kinakuwa kimeandaliwa