Sofiane Boufal: Ushindi wa Morocco ni kwa ajili ya wananchi wa Morocco, Waarabu na Waislamu

Sofiane Boufal: Ushindi wa Morocco ni kwa ajili ya wananchi wa Morocco, Waarabu na Waislamu

Nimesahau source but coach wao alisema wapo pale kuwakirisha Africa sio arab world.
 
Vitu vingine fanya kama passion tu, havina impact yoyote kwa individual person. Imagine tuseme Tanzania imefanikiwa kuingia WC na ikafika final na ikachukua kombe, wewe km wewe una nufaika vp na ushindi huo? Je inaweza kukuza uchumi wa nchi? Achana na uchumi wako tu.
Ukifuatilia sana soccer utagundua tunapigia debe kazi za watu pasipo kujijua.

Wewe mwana simba, ubingwa mara nne mfulilizo ulikunufaishaje?
Je ubingwa wa yanga na hata wangekuwa unbeaten 100 games ww ingekuongezea nini?
Lakini utagundua inaposhinda simba/yanga kuna kundi flani la watu wanapata manufaa wewe utabaki mpiga kelele na kuchangia timu ya watu wa watu.

Kurudi kwenye mada hata anaeshabikia morroco hana tofauti na mtu wa mbeya anayeshabikia simba. Mpira utabaki kuwa burudani and it has nothing to do with uzalendo since ni biashara ya watu fulani.
Post kali. Hata Argentina ilishafanya mauji ya kimbali kwa watu weusi wote ndani ya nchi yao na still kuna waafrica hawajali wanaisupport.
 
Alikuja kuweka sawa kuwapoza Waafrika waliozani kutotajwa tu pale basi hawathaminiki. Watu walishindwa kuelewa kua wakati mwingine ni kusahau tu
Lakini kiujumla hakuna ngozi ya nguruwe inataka kuwekwa kundi moja na brown lala mkuu. Kuna siku mjamaika akaitwa mwafrika akamaindi kuwa mie am Jamaican and not African. Mpaka mghana mmoja akamaindi kuwa Sasa anakataa Jamaica Kuna Nini na huku inazidiwa na nchi nyingi mno kiuchumi za kiafrika. Halafu west Africa Wana Tambo Kama za baadhi ya ndugu zetu hapa hapa bongo mpaka na wao wanatambaga kuwa level zao Ni waasia sio blacks
 
Tufanye nakubaliana nawe, je msemaji yeye ana nafasi gani kwenye timu?

Je, yale ni mawazo yake binafsi au yanawakilisha timu na taifa zima la Waafrika wenzetu Morocco ?

Tukumbuke kila mmoja ana uhuru wa kujieleza, na Pengine bwana Boufal anajihisi Mwarabu na Muislam zaidi kuliko Mwafrika. Na hiyo si dhambi.
You are not mentioned, you are not there.
 
Morocco Egypt na Libya
Zilisha kataa kuwa wao siyo waAfrika na chochote wafanyacho hakihusiani na Afrika.
Na ni Morocco ndiyo walio pinga kwa nguvu zote kuwa Afrika ya Kusini wasiwe wenyeji wa kombe la dunia la FIFA 2010 kwa madai kuwa hakuna hata nchi moja ya Afrika yenye uwezo wa kuandaa kombe la dunia hata kama wakisaidiwa kuliandaa
#Poleni_Sana_Msio_Waarabu_Na_Wale_Wote_msio_waislam_Ila_Mlikesha_Na_Kuomba_Ili_Morocco_Ifuzu_
View attachment 2438715
Ameomba radhi kwa “Kusahau kuitaja Afrika ktk mahojiano..”

The standard, Kenya
 
Habari Wana jamvi.

Kocha wa Timu ya Taifa ya Morrocco Boufan amesema ushindi wao dhiya Hispania na kuingia robo fainali ya Kombe la Dunia Ni Dedication kwa Ulimwengu wa Waarabu..

Morocco imeikacha Africa huku Waafrika wakijipendekeza na kuishangilia Morocco kwa kujinasibu kwamba Ni Waafrika wenzao licha ya Morocco kuwakacha Waafrika.

Matamshi hayo ya Kocha wa Morocco yamezusha mjadala wa Utambulisho wa Taifa na jamii Yao HKama Ni Taifa/jamii la Kiafrika au la Kiarabu.

Kocha wa Morroco ameomba radhi kwa kulisahau Bara la Africa 😂😂
 

Attachments

  • Screenshot_20221208-063906.png
    Screenshot_20221208-063906.png
    131.1 KB · Views: 4
  • Screenshot_20221208-063944.png
    Screenshot_20221208-063944.png
    54.4 KB · Views: 3
MBONA MUDA SANA MOROCCO WALISHASEMA WAO SIO WAAFRIKA?? HIVI HATUWEZI WATOA KWENYE UMOJA WA AFRICA AU???

Au kama kuna uwezekano tuchimbe mpaka wao kama mfereji wa suez kisha unaujaza maji wabakie kule juu kama ka kisiwa tu wachague pa kwenda🤒🤒🤒
 
Aisee,hawa naona wamelewa ushindi mapema,mpaka wakasema na ushindi huu ni kwa muslims ina maana Morocco hakuna wakristo au hakuna waarabu wakristo,hawa ni wa kupuuzwa tu maana inaonekana ni hovyo tu.
 
Morocco Egypt na Libya
Zilisha kataa kuwa wao siyo waAfrika na chochote wafanyacho hakihusiani na Afrika.
Na ni Morocco ndiyo walio pinga kwa nguvu zote kuwa Afrika ya Kusini wasiwe wenyeji wa kombe la dunia la FIFA 2010 kwa madai kuwa hakuna hata nchi moja ya Afrika yenye uwezo wa kuandaa kombe la dunia hata kama wakisaidiwa kuliandaa
#Poleni_Sana_Msio_Waarabu_Na_Wale_Wote_msio_waislam_Ila_Mlikesha_Na_Kuomba_Ili_Morocco_Ifuzu_
View attachment 2438715

Na Morocco walifikia hatua ya kuomba kujiunga na Ulaya mwaka 1987. Kwamba wanajihisi kuwa wazungu zaidi ya Africa.

Wazungu waliwagomea ndo wakaanza kujileta Africa, hata hivyo, bado wanaegemea uarabu zaidi ya uafrika.
 
MBONA MUDA SANA MOROCCO WALISHASEMA WAO SIO WAAFRIKA?? HIVI HATUWEZI WATOA KWENYE UMOJA WA AFRICA AU???

Au kama kuna uwezekano tuchimbe mpaka wao kama mfereji wa suez kisha unaujaza maji wabakie kule juu kama ka kisiwa tu wachague pa kwenda[emoji855][emoji855][emoji855]
Wapo kwenye ardhi ya Afrika
 
Back
Top Bottom