Songwe: Askari waliovuka mpaka kuingia Malawi kinyume cha sheria wafukuzwa kazi

PGO ni kielelezo (mfano) mmoja tu wa uozo ulioenea kila sehemu serikalini!
 
Mkuu hawa ni wale waliofeli O level hawajui hata PGOs wanayotakiwa kufanya kazi nazo kila siku sembuse mipaka ya nchi yetu.

kila kitu itaonekana chanzo ni elimu zao,mpaka tuje kushtuka kuna maprof wametukwamisha vya kutosha,tayari tuko shimoni.

na hii huwa ni mbinu ya haraka kujaribu kukwepa tatizo,yaani unalipa sababu ya haraka.
 
Kwanini usingeenda kupambania nchi over hao polisi?!
 
Hv hao jamaa hawasomagi hilo dubwasha linaitwa PGO!!??
Au limeandikwa kwa kithungu, jana kuna mtu nafanya nipo nae ofisini akawa ananiambia anahangaikia mdogo wake alikuwa jkt ili aingie polisi lakini wamemkataa eti ana dibision 3 wanataka 4 ya 28,nikasema kweli PGO itaendelea kuwa msamiati
 
Yaani SIRO ameharibu jeshi la polisi hadi ina fika mahali hata RPC hajui PGO ina mtaka askari kufanya kitu gani na ni kitu gani hstahili kufanya. Bado Mama Samia haoni huo uozo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…