RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Ila utainjoi zaidi ukiwa na gari zaidi ya moja.Tutapambana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila utainjoi zaidi ukiwa na gari zaidi ya moja.Tutapambana
Na hio nyengine iwe ToyotaIla utainjoi zaidi ukiwa na gari zaidi ya moja.
Itapendeza zaidi ikiwa Toyota ila yoyote sio mbaya ili mradi uwe na zaidi ya moja.Na hio nyengine iwe Toyota
Backup plan muhimu ili usiichoshe sana gari mojaItapendeza zaidi ikiwa Toyota ila yoyote sio mbaya ili mradi uwe na zaidi ya moja.
Haipendezi Unaendesha BMW shit happen unarukia daladala!Backup plan muhimu ili usiichoshe sana gari moja
Hahahah ni noma kweri kweriHaipendezi Unaendesha BMW shit happen unarukia daladala!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haipendezi Unaendesha BMW shit happen unarukia daladala!
Mkuu unaharibu biashara za watuKama unataka ugonjwa wa moyo nunua BWM au Land rover. Google is free unaweza search reviews za reliability ya haya magari.
Mkuu unaharibu biashara za watu
16.9 mpaka inafika mkononi au bandarini?
hiki ndo nnacho waza..miliki mjapenga mmoja na mjeru mmoko wa weekendIla utainjoi zaidi ukiwa na gari zaidi ya moja.
Nyie huko mnachukua kwa sh nga
Hiyo pichani gharama za kuinunua na kuisafirisha mpaka Bandari ya Dar es Salaam ni 8,700,000, gharama nyingine ni za Ushuru na Bandarini jumla ndio hiyo 16,950,000Nyie huko mnachukua kwa sh ngap
X5 inaanzia 26m gharama zote na XC90 imeshuka kutoka 30+m na sasa utaipata kati ya 20m mpaka 21mX5 na volvo xc90je?
Unadhan wanapata sana faid kaka..faida ya gar umepata sana 800k..hapo umempiga mnunuajj...wengne faida had 300kNyie huko mnachukua kwa sh ngap
Kuna moja ilinitamanisha..nikaambiwa maumeme yake yakianza utaisusa...najichanga nichkue miss tanzania rav4 ya 2009 isiyo na tyre nyumaHahahha humo anaishi mjerumani mweusi RRONDO mie asante njapani mie akah narizika tu! Staki presha za kununua shockup million 2
Kwa sisi Kimomwe Motors malengo ni kupata kidogo leo ili tupate ridhaa ya kuhudumia watanzania wengi zaidi kesho na kesho kutwa tutapata kikubwa kutoka kwa walio wengi. Kikubwa ni huduma bora yenye kuacha alama kuanzia kumsikiliza mteja na kumshauri kitakachomfaaUnadhan wanapata sana faid kaka..faida ya gar umepata sana 800k..hapo umempiga mnunuajj...wengne faida had 300k
Ungenunua tu mzee ili Jerry 255 awe msela wako mpya 😂😂😂Kuna moja ilinitamanisha..nikaambiwa maumeme yake yakianza utaisusa...najichanga nichkue miss tanzania rav4 ya 2009 isiyo na tyre nyuma