Special thread: Kutana na waagizaji wa magari kutoka Japan
Kuna moja ilinitamanisha..nikaambiwa maumeme yake yakianza utaisusa...najichanga nichkue miss tanzania rav4 ya 2009 isiyo na tyre nyuma
X3 ina injini aina 2 tofauti zenye Cc 2500. Injini bora inayoshauriwa isiyosumbua sana kwenye umeme ni ile ya code 256s....ukichukua ile ya Cc 2500 yenye code N52B25A ina uwezekano wa kusumbua umeme siku za badae
 
X3 ina injini aina 2 tofauti zenye Cc 2500. Injini bora inayoshauriwa isiyosumbua sana kwenye umeme ni ile ya code 256s....ukichukua ile ya Cc 2500 yenye code N52B25A ina uwezekano wa kusumbua umeme siku za badae
kiukweli product yoyote ya Mjerumani naikubali sana ataingekuwa na piston 16 na zaidi hakuna gari mbovu kwa uzoefu wangu sasa tangu nianze kumiliki magari nina uzoefu miaka 15 na nimekuwa na brand tofauti... gari ya kijapani ni nzuri sana kwasababu spear zake copy ni nyingi ila mjerumani hana copy... ila gari zake zimezingatia usalama barabarani ni gari ipo salama sana unapokuwa unasafiri inashika barabara...

Kizuri garama ndio gari ya mjerumani na mjapani nzuri pia ila haina guarantee.. utafunga spear leo kesho ikazingua ila sio kwa mjerumani na muingereza au mmarekani gari tamu ukiwa na pesa nankuzingatia service kwa wakati..

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu hebu weka picha zao tufananishe...
XT old model
0403257A30161230W00704.jpg
0403257A30161230W00705.jpg
f-3.jpg
BH929850_fefe13.JPG


XT Model mpya
40bb8a4eb6a61547049ef8619cf7df71--rigs-subaru-forester.jpg
48af966c085941d0627ba78290da478b--subaru-xt-subaru-forester.jpg
 
Hahahha humo anaishi mjerumani mweusi RRONDO mie asante njapani mie akah narizika tu! Staki presha za kununua shockup million 2
Mara unaambiwa kwenye shockup kuna sensa haiingiliani na mfumo wa umeme wa gari, inabidi ubadilishe sijui nini🤣
 
Mara unaambiwa kwenye shockup kuna sensa haiingiliani na mfumo wa umeme wa gari, inabidi ubadilishe sijui nini🤣
Vinataka hela za kama mchanga! Ukiwa unaogelea kwenye 100M au zaidi na mambo yako yanaenda unaweza miliki mjerumani yeyote tu anaekupendeza
 
Gari pichani ni ya kuagiza.

MITSUBISHI ROSA ya 1997

Ina Km 230,000
Injini 4M51
Automatic
Body refu
Viti 24 ila ina uwezo wa kubeba viti 29
Ipo katika hali nzuri

inafaa zaidi kwa kazi ya Daladala na Schoolbus

Gharama zote 26,600,000. Malipo ya awali 15,600,000

Tembelea ofisi zetu za Mbeya- Mwanjelwa Soko Jipya

Dar es Salaam- Magomeni Mapipa

Au piga 0746 267740 au 0719 989 222

IMG_20210518_120458_262.jpg
IMG_20210518_120458_262.jpg
 
Gari pichani ni ya kuagiza.

MITSUBISHI ROSA ya 2000

Ina Km 290,000
Injini 4M51
Automatic
Body refu
Viti 51 vya watoto lakini ina uwezo wa kubeba viti 29
Ipo katika hali nzuri

inafaa zaidi kwa kazi ya Daladala au School Bus

Gharama zote 26,900,000. Malipo ya awali 15,000,000

Tembelea ofisi zetu za Mbeya- Mwanjelwa Soko Jipya

Dar es Salaam- Magomeni Mapipa

Au piga 0746 267740 au 0719 989 222

IMG_20210518_121115_206.jpg
 
Hebu orodhesha gharama za ziada za kuanza kuifanyia hiyo biashara ya kuingiza TZS 100K kwa siku i.e. kodi na vibali, kubadili seat
 
Back
Top Bottom