Ni rahisi sana boss. Hii ni kazi yetu na tuna uzoefu mzuri wa kuwabaini Askari kwa sentesi zao chache na mwonekano. Lakini pia sio mbaya watanzania wengine wakinufaika na ofa hii iwapo watajiongeza na kuchangamkia fursa.
Hao utakao wafahamu ni majeshi kunoga
 
'Ungeweka elimu zaidi au sheria inayokataza kampuni kutotangaza ofa zake kwa watumishi kutoka tasisi kama hii.'

Wala hamna sheria yoyote ile inayo kukataza braza,endelea tu kutumia majina ya vyombo vya ulinzi kujitangaza kibiashara bila shida yoyote mkuu.

All the best.
 
Usd 300 ni mfano tu boss kutegemea na thamani ya gari. Inaweza kua pungufu ya hapo au ikazidi hapo boss. Kwa sasa hili punguzo ni maalumu kwa kundi hili, zaidi waweza kutupigia sim au kufika ofisini kwetu
Sio kila aliyeko hapa yuko Dar, weka maelezo yote muhimu hapa
 
TIMIZA NDOTO YAKO KWA PUNGUZO LA 40% MSIMU HUU WA SIKUKUU

Katika kujali na kuthamini pesa ya mteja, Kimomwe Motors (T) Limited tumeamua kutoa kama zawadi asilimia 40% ya punguzo tunalopewa na Makampuni washirika zaidi ya 15 kama vile Beforward, SBT, Tradecarview n.k. Changamkia fursa hii uweze kumiliki gari ya ndoto yako kwa gharama nafuu zaidi msimu huu wa sikukuu

Tunapatikana Magomeni Mapipa jijini Dar es Salaam, Mbeya tupo Soko Kuu la Mwanjelwa na Dodoma tutafungua tawi hivi karibuni.

Imetolewa na Idara ya Mauzo na Masoko- 0746 267740

 
Huwa nasikitika sana badala ya kufurahi kila napoona hizi discount za 40% off na nyinginezo nyingi.

Matazngazo haya ni maarufu sana kwenye maduka makubwaa na hasa ukipita pita mlimani city.

Confidently nina uhakika hii 40% mnaitoa kama sehem ya faida yenu mnayoiweka kwenye beid za mauzo ya kawaida.
Maana yake there is a high pissibility kuwa katika bidhaa au huduma zenu mnaweka MARK UP/ PROFIT MARGIN ya zaid ya 50% kuendelea mpaka 100%.

Maana yake kama bidhaa kama markup/ profit margin yako uliiweka 60% mfano toka juubya original price halaf ukanambia kuwa umetoa 40% bado ww unabaki na faida ya 20%.

Kwa kifupi hiz dicount zenu ni APPARENT SANAA.
 
Kwa punguzo hili IST ya 2004 au 2005 ya cc 1490 naweza kuipata kwa kiasi gani?
 
Salama wana bodi?

Gari aina ya Lexus RX 350 yenye injini ya Toyota Harrier aina ya 2AZ yenye Cc 2400 inauzwa kwa gharama nafuu ya Tsh 28.5 ambapo ukienda showroom gari kama hii ni 35m

Imetembea kilomita 65,000, haijasajiliwa na ukilipia tutakufanyia usajili. Gari iko vizuri sana na kila kitu kiko sawa.

Zaidi piga sim namba 0746267740
 
Gari aina ya Lexus RX 350 yenye injini ya Toyota Harrier aina ya 2AZ yenye Cc 2400 inauzwa kwa gharama nafuu ya Tsh 28.5M ambapo ukienda showroom gari kama hii ni 35M.

Imetembea kilomita 65,000, haijasajiliwa na ukilipia tutakufanyia usajili. Gari iko vizuri sana na kila kitu kiko sawa.

Zaidi piga simu namba 0746 267 740.

 
Toyota Premio 2004 inauzwa kwa 14,000,000
Ndio kwanza imeingia Tanzania. Ina Cc 1500, Injini 1NZ Vvti, imetembea kilomita 65,000.

Zaidi piga sim namba 0746267740.
 
Tunaaga mwaka 2019 na kukaribisha 2020 kwa kutoa Ofa Maalum kwa watakao agiza gari kama hizi pichani na nyingine nyingine kama ifuatavyo.


Toyota Coaster 1997, Injini 1HZ kwa 47m badala ya 53m


Mitsubishi Canter 1998, Dumper, Injini 4D33 kwa 27.8m badala ya 33m


Nissan Civillian, injini TD42 kwa 34m badala ya 38m


BMW X3 ya 2006, Kwa 21m badala ya 26m


Toyota Vanguard 2010, Cc 2400, seat 7 kwa 25.5m badala ya 29m


Nissan Xtrail 2001 kwa 11m badala ya 13.5m


Toyota LiteAce 1995 yenye Cc 1500 kwa 15.5m badala ya 17m


Toyota Hiace 1997 yenye Cc 2500 kwa 23m badala ya 27m


Toyota Rav 4 ya 2001 kwa 17.8m badala ya 19m


Toyota IST ya Mwaka 2005 yenye Cc 1500 kwa 10.8m badala ya 12m

Gharama hizo hujumlisha CIF yaani pesa ya manunuzi ya gari na usafiri, Ushuru na Gharama za Bandari. Hulipii pesa ya ziada.

Imetolewa na Uongozi wa Kampuni.

Fika ofisi zetu za Dar es Salaam, Mbeya na Dodoma tunafungua hivi Karibuni au piga 0746267740
 


Toyota Harrier 2.4G yenye Labels za Lexus RX350 😂😂 FOH
 
Kwanini usiuze bei ya showroom gar mpya hyo

Sent using Jamii Forums mobile app
Hatujataka kuuza bei ya showroom kwa sababu sisi ni Waagizaji na tunaridhika na discount tunayopewa na kampuni washirika wa Japan, hatujajikita kwenye kutengeneza faida kubwa kama wengine wanavyofanya.

Gari hii tulimuagizia mteja ambaye hakua amailipia chochote kwa sababu alikua nje ya nchi kwa wakati huo na tunafahamiana nae. gari ilipokaribia kufika alipatwa na matatizo yaliyosababishwa ashindwe kuilipia na uzuri alitueleza mapema hivyo tukawa hatujaifanyia usajili. Mwishowe alibariki na kuomba tuuze ili kutejesha kiasi tulichitumia kama Kampuni. Kuiagiza gari hii jumla iligharim 28.5 ndio sababu tukaitangaza kwa bei hiyo hiyo kwa kua hatukutaka ichukue mda kuuzika na pia haikua lengo gari hii itupatie faida kubwa zaidi.

Imekua heri kwa ndugu huyu hapa chini pichani ambae ameinunua gari hii kwa gharama ya kuagizia.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…