Special thread: Kutana na waagizaji wa magari kutoka Japan
Hizi ni baadhi tu kutoka katika stock washirika. Gharama zimejumuisha Manunuzi, Usafiri, Ushuru na Gharama za Bandari.

Kimomwe Motors (T) Ltd waagizaji wa Magari kutoka Japan, Singapore, Ulaya Dubai na Korea tunaokoa Mda na Tunaokoa Pesa

View attachment 1308397View attachment 1308398View attachment 1308399View attachment 1308400View attachment 1308401View attachment 1308402View attachment 1308403View attachment 1308404View attachment 1308405View attachment 1308406View attachment 1308407View attachment 1308408

Zaidi piga 0746267740 Au tembelea Ofisi zetu za Dar es Salaam na Mbeya.

HERI YA MWAKA MPYA KWETU SOTE
gR
 
Salam hizi zatokea katika tawi letu la Mbeya

Jioni hii Makao Makuu ya Kimomwe Motors Tanzania Limited Jijini Dar es Salaam tumekabidhi gari hizi chache miongoni mwa zilizotakiwa kukabidhiwa leo.

Ahsante wote kwa kutuamini na kuagiza nasi. Tutawatumikia watanzania kwa uaminifu, nidhamu na ubunifu zaidi huku tukijikita kwenye kuokoa pesa yako katika namna itakayokuacha mdomo wazi.

Piga 0746267740 ujifunze kuhusu huduma zetu zaidi

8D329553-F22A-4DB3-BD4E-C0B2588EE8DD.jpeg
099ECB83-EE05-4482-9123-F27AEAAFF3AB.jpeg
4098C491-3EF7-4B69-86A8-9F0B3A609912.jpeg
DA1C381F-E8AB-424E-BD6F-6B4E2007657F.jpeg
8D329553-F22A-4DB3-BD4E-C0B2588EE8DD.jpeg
099ECB83-EE05-4482-9123-F27AEAAFF3AB.jpeg
4098C491-3EF7-4B69-86A8-9F0B3A609912.jpeg
DA1C381F-E8AB-424E-BD6F-6B4E2007657F.jpeg
4382BE23-6D8D-418C-8CED-39D7334BF40A.jpeg
69A9A4BC-8CFB-46F7-9EF1-48335C3BE4D6.jpeg
8475C445-A810-4522-A633-E687AFCB8559.jpeg
7317E5A0-0570-40FD-89DE-05B22A6F12F8.jpeg
B841C61D-1B6F-4A5F-B762-B0A2B042500C.jpeg
7062C47F-1956-4360-BD57-61ABD2FBB061.jpeg
 
[emoji848][emoji848][emoji848] [emoji848] Hao wateja wamekubali picha zao kuwekwa mitandaoni?

Maana sitaki nije kufanya biashara na nyie nikute taarifa zangu huku na picha.
Wameridhia kwa lengo la kuthamini huduma yetu boss ili wengine wapate kushuhudia na kuamini
 
Yaani mtu mwenye akili timamu akubali kuanikwa namna hii? Noway! Kwani mmempa baada ya kushinda bahati nasibu au kanunua?
Hajashinda kaagiza kupitia sisi boss. Kwa kuthamini huduma aliyoipata anaridhia kupiga picha na kuonesha wengine ili mpate kuamini haswa ikiwa utakua unamfahamu.

Kwa asiyependa hutueleza na wengi sana hatuwaweki hivi. Kununua gari sio dhambi boss haswa kama huna makando kando au kipato chako ni halali huwezi kuhofia jilani yako kujua gari hiyo umenunua wapi. Wengine kweli hatupendi kuwekwa kwa sbb zetu binafsi lakini wengine huona ni kitu cha kawaida. Kwa ufupi ni kua hatuwezi kufanana kwenye mitizamo ndio mana kila binadamu ana maamuzi na utashi wake😊
 

Ni kweli kabisa boss. Lakini pia tuheshim maoni ya watu. Hatuweki oicha ya mtu mpaka mwenyewe aridhie na lengo hua ni zuli la wengine wapate kushuhudia huduma yetu kwa vitendo.
 
Hizi ni baadhi ya gari za bei chini zaidi kwa sasa ambazo zina uhakika wa safari ndefu bila kumchosha dereva sababu ziko confortable lakini manunuzi yake na spare ni gharama za kawaida kabisa na mafuta pia ni kawaida.

2A306166-23ED-47CD-833A-F50CDA914B91.jpeg
37515864-BCB9-4F0E-87E5-78ED914F6A03.jpeg


Kwa msaada zaidi piga 0746267740 au tembelea ofisi zetu za Dar na Mbeya.

Kimomwe Motors Save Time Save Money
2A306166-23ED-47CD-833A-F50CDA914B91.jpeg
37515864-BCB9-4F0E-87E5-78ED914F6A03.jpeg
 
Hizi ni baadhi ya gari za bei chini zaidi kwa sasa ambazo zina uhakika wa safari ndefu bila kumchosha dereva sababu ziko confortable lakini manunuzi yake na spare ni gharama za kawaida kabisa na mafuta pia ni kawaida.

View attachment 1330539View attachment 1330540

Kwa msaada zaidi piga 0746267740 au tembelea ofisi zetu za Dar na Mbeya.

Kimomwe Motors Save Time Save MoneyView attachment 1330539View attachment 1330540
Hii outlander ni kampuni gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi ni baadhi tu kutoka katika stock washirika. Gharama zimejumuisha Manunuzi, Usafiri, Ushuru na Gharama za Bandari.

Kimomwe Motors (T) Ltd waagizaji wa Magari kutoka Japan, Singapore, Ulaya Dubai na Korea tunaokoa Mda na Tunaokoa Pesa

View attachment 1308397View attachment 1308398View attachment 1308399View attachment 1308400View attachment 1308401View attachment 1308402View attachment 1308403View attachment 1308404View attachment 1308405View attachment 1308406View attachment 1308407View attachment 1308408

Zaidi piga 0746267740 Au tembelea Ofisi zetu za Dar es Salaam na Mbeya.

HERI YA MWAKA MPYA KWETU SOTE
Mnafanya Engine downgrading pia?
 
Salam wana jukwaa. Gari aina ya Subaru Forester ya 2011 yenye kilomita 51,000 na Cc 2000 (15km/Lt) inauzwa 25,500,000

Gari hii ina miezi 2 tangu kuingizwa nchini. Iko vizuri sana, mnunuzi atapatiwa file la ukaguzi na nyaraka za TBS kuthibisha ubora wa gari.

Piga 0746267740

F80F90C3-2A13-4625-A91E-DD69E2B729F4.jpeg
67669F1E-F0F8-4558-8767-043F92FC0F12.jpeg
1BB39D6E-822D-42D2-ACBB-64B7256BF629.jpeg
F477EB9F-9CDB-420E-8E65-FAA3999ACDB9.jpeg
0FAC6C25-60E1-4BB8-90D6-55DF0221BD63.jpeg
 
Back
Top Bottom