kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Kipara kipya!Eti na wew unajiita GT[emoji23][emoji23][emoji23]!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipara kipya!Eti na wew unajiita GT[emoji23][emoji23][emoji23]!
Kigwangala bingwa la kuruka majaruba!!Huyu sijui walikua wanamdai pikipiki za wajumbe?View attachment 1561235
Mkuu naona kama umemleta huyu mama avuliwe nguo humu.Akiomba Dua na kumshukuru yeye atoaye.
Ni jambo jema na ishara ya unyenyekevu.
Safari inaendelea vizuri sana na ushindi ni dhahiri.
Hata Lissu anatumia mbinu hizi za kuongea jinsi gani anatembea kwa damu ya wakenya kwa sera hana!
Hahah naona hapo kapigwa tanganyika jeki.Kigwangala bingwa la kuruka majaruba!!
Hivi hawezi kuwatrace hawa manjagu akawaadabisha kwa kumpiga tanganyika jeki 'muheshimiwa' kama ambavyo Meko amedeal na wote waliowahi kumpa shit akiwa bado kidampa?Hahah naona hapo kapigwa tanganyika jeki.
Wadeni wa lissu wakaondoa ulinzi katika maeneo ya viongozi yanayolindwa 24/7?Wadeni wa Lissu wakazuia uchunguzi!Wadeni wa Lissu wakamnyima haki yake ya kugharamiwa matibabu!Wakampoka a ubunge!alisema ukweli askari wa tanzania hawezi kupiga risasi 30 mtu mmoja asife hao ni wahuni tu walikodiwa na wadeni wa lissu msimuone lissu kama mtu safi sana ana yake yanayomfanya kuwa na maadaui wengi kama hivyo waka mtwanga risasi
Professional vibakanaona mmekaba hadi kwa Mungu,
Sijui kama huwaga unazishirikisha akili zako kabla hujaandika huo upotolo wakoHata Lissu anatumia mbinu hizi za kuongea jinsi gani anatembea kwa damu ya wakenya kwa sera hana!
Wewe mwenyewe ni kikaragosi tuUsimlinganishe Magufuli na vikaragosi!
Kama yule Membe ni bure kabisa!
Aluzuzuka na maneno ya mtandaoni eti jasusi mbobevu
Ishitikishe akili angalau kidogo badala ya kulibeba tumboNaona leo umepewa kitengo cha kugawa bundle ubaya umejipendelea!
Namuangalia Membe ndio anamalizia kuingizwa ward ya watu wenye uangalizi maalumu (ICU)akiwa kwenye machela..
Mkiwa hamna hoja,kuweni wasomaji tu!Kwa utopolo huu hata mataga wenzako watapita kushoto!
Unaanzisha uzi kwa ajili ya mipasho utasema hili ni jukwaa la taarabu,shame!
Unajuaje kama ana njaa. Jibu hoja usijitoe ufahamuMasikini ya Mungu, yaani hapo na wewe unajiona umepandisha thread? Njaa mbaya sana
Hapa ilipo ndoo sahihiLianzishwe jukwaa na liitwe "hoza na hapa na pale pamoja na mipasho"!Nyuzi kama hizi zilistahili kuwa huko!
Watasema umetumwa!Hii ni uzi safi kabisa hadi raha
NaamWakipita pembeni kwa sababu wanaelewa nilichowasilisha ndio ukweli mtupu hakuna wa kupambana na magu!