Spika Tulia Ackson: Mtu akimsema vibaya Rais nyooka naye, akinisema vibaya Nyooka naye
Kwanini nchi za Kiafrika, tunamtukuza Raisi kama mungu mtu? Yeye ni kiongozi tu na wananchi ndiyo wenye nguvu. Huyu mama spika, naye angejionea huruma na kauli zake.

Wanasema utamuona mtu wa maana kabla hajafungua mdomo wake. Ndiyo huyu, acheni wanyooshe watanyooshwa wao. Hii kauli angeitoa mpinzani, leo yuko ndani. Polisiccm mko wapi?
 
Mbona wanachafua image ya mama ,sidhani kama Rais ana muda wa kunyooka na wale wanaomkosoa,ila wapambe uchwara wanajidai kumsemea.
Mama anahusika moja kwa moja ama sivyo angekemea huu utekaji, uteswaji na uuaji wa wanaomkosoa.
 
Kwa kauli hii ya Spika wa bunge na spika wa mabunge ya dunia inaonesha wazi kabisa maovu wanayo fanya kaamua kuweka hadharani.
Alichofanya spika wa bunge Tulia hana tofauti na alichosema Nape kwa suala ili Tanzania hatupo salama
View attachment 3072236
Weweunaelewa nini kuhusu "kunyooka naye" au "kushughulika naye" ?
Acha uchochezi!
 
Nyooka nae maana yake nini? Labda alimaanisha ukamshtaki panapo husika😂😂.
Kunaweza kusiwe na kesi hapo kwa akili zetu sisi wanasheria uchwara
 
Kisheria, ni nini maana ya maneno "nyoooka naye!" ?
Rais wa TLS alitakiwa awee tayari ameshalitolea ufafanuzi hili neno 'nyooka naye" lakini nae hadi sasa yuko kimya! Au kwa kua kalitamka Dada yake wa huko Mbeya!!??
 
Kamishna Awadhi uko wapi je huyu ajaleta taharuki?
Fucking kabisa hii fidodido yenye sura ngumu kama uvungu wa kende

Speaker anahamasisha violence na watu wamekaa kimya kabisa.

Watanzania sisi ni wapumbavu wa mwisho duniani.

Ingekuwa Kenya speaker kaongea huo upuuzi leo hii angekuwa amejificha kwenye migomba Tukuyu.
 
Kwa kauli hii ya Spika wa bunge na spika wa mabunge ya dunia inaonesha wazi kabisa maovu wanayo fanya kaamua kuweka hadharani.
Alichofanya spika wa bunge Tulia hana tofauti na alichosema Nape kwa suala ili Tanzania hatupo salama
View attachment 3072236
Huyu atakuwa ni Mwanafunzi wa Uisla. Uislam. Uislam hauna ukipigwa la kulia geuza na la kushoto.

Heko Tulia, shahadia rsmi tu mama.
 
Nimeipenda sana hii nyooka nae, hii hakuipata humu JF kweli? Maana kuna viineno vya kiajabu ajabu vinaibukia hapa JF.
 
Ndiyo mtegemee huyo alete usawa mjengoni huko!


Ova
 
Hapo walioelewa zaidi ni policcm,ambao kikawaida inatakiwa wasivae combati za jamhuri,Bali combati za greengurd.

Polisi imejaa vichwa maji.Mungu awasamehe.
Wachache wenye kujitambua,ila hawana sauti Wala maamuzi.
 
Wakuu nawaletea kideo, spika wa bunge akiwataka vijana kushughulika na yeyote anayemsema vibaya Rais, Mbunge, Diwani au Mwenyekiti wa mtaa kwa tiketi ya CCM.

Hivi karibuni kuna ndugu wa Temeke alisema wao kazi yao ni kuwashugulikia wakosoaji na wazee watawaombea radhi kwa watanzania.

Sijui nataka niseme nini ila pateni kideo hapo.
View attachment 2375676

========

Akihutubia Vijana wa CCM katika Jimbo lake, Mbunge wa Jimbo ya Mbeya Mjini ambaye pia ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amewataka vijana wa Jimbo hilo kutoshiriki katika Kumsema vibaya, Rais na Viongozi wa Jimbo hilo

Amesema, “Isitokee Kijana yeyote anaungana na mtu yeyote anayemsema vibaya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Rais Samia ni Rais wa Nchi lakini pia ni mwenyekiti wa Chama chetu. Asitokee mtu yeyote wa Nje ya Chama, wa Ndani ya Chama akawa anamsema vibaya Rais halafu wewe ukamtazama, shughulika naye, CCM hoyeeeee”

Ameendelea, “hata mimi Mbunge wako akiwa ananisema vibaya nyooka naye, unajua sababu ni nini? Hata Diwani, Madiwani wote wa Mbeya Mjini sasa hivi ni CCM, hata akimsema vibaya Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa, na yeye ni CCM, nyooka naye’
Huyu njiti mpimbavu sana
 
Back
Top Bottom