Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumerudi enzi za ushenziKwa kauli hii ya Spika wa bunge na spika wa mabunge ya dunia inaonesha wazi kabisa maovu wanayo fanya kaamua kuweka hadharani.
Alichofanya spika wa bunge Tulia hana tofauti na alichosema Nape kwa suala ili Tanzania hatupo salama
Huyu naye eti ni msomiKwa kauli hii ya Spika wa bunge na spika wa mabunge ya dunia inaonesha wazi kabisa maovu wanayo fanya kaamua kuweka hadharani.
Alichofanya spika wa bunge Tulia hana tofauti na alichosema Nape kwa suala ili Tanzania hatupo salama
Hata kama Ina miaka kumi, kwanini aongee hivi?Long time hii
Huyo Spika, Kwa maneno yake hayo, hastahili hata kuwa Mwenyekiti wa serikali ya mtaa😀Kamishna Awadhi uko wapi je huyu ajaleta taharuki?
Hapa tunaunganisha na tukio la kupigwa kwa Sugu na viongozi wengine wa CDM MbeyaKwa kauli hii ya Spika wa bunge na spika wa mabunge ya dunia inaonesha wazi kabisa maovu wanayo fanya kaamua kuweka hadharani.
Alichofanya spika wa bunge Tulia hana tofauti na alichosema Nape kwa suala ili Tanzania hatupo salama
View attachment 3072236
True MkuuKiburi cha madaraka humfanya mtu kujiona ni kijimungu ardhini.