Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hata sahivi ni hivyoKwa muonekano wake angekuwa mchawi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata sahivi ni hivyoKwa muonekano wake angekuwa mchawi
Wanatuchanganya ubongo🤣 kwa kweli mtu unaweza ukashindwa kuelewa which is which !!
Ukiwa kiongozi kusemwa vibaya ni kawaida,cha msingi unahitajika uvumilivu mkubwaWakuu nawaletea kideo, spika wa bunge akiwataka vijana kushughulika na yeyote anayemsema vibaya Rais, Mbunge, Diwani au Mwenyekiti wa mtaa kwa tiketi ya CCM...
Maoni ya ki ibirisi kabisa, hafu j.pili utakutana naye kanisani🤣🤣🤣Fine, lakini Maoni maovu, ushetani , ibilisi ......
Kinga walomwekea SPIKA ya kutoshtakiwa iondolewe,Wakuu nawaletea kideo, spika wa bunge akiwataka vijana kushughulika na yeyote anayemsema vibaya Rais, Mbunge, Diwani au Mwenyekiti wa mtaa kwa tiketi ya CCM...
Vimaneno maneno hutu hutu huwa nichanzo cha machafuko..! Shetani naye alianza hivi hivi, nitakiinua kiti changu nk nk, mala pah! Ikatokea vita mbinguni , huyu mama sikutegea atoe kauri kama za mdude chadema.Maoni ya ki ibirisi kabisa, hafu j.pili utakutana naye kanisani🤣🤣🤣
Tatizo ni kuwa, kwann mabalozi wamepuuza na kwenda kuongea na SUGU😃😃😃😃Huwa najiuliza asingesoma angekuwa wapi?
Kinga walomwekea SPIKA ya kutoshtakiwa iondolewe,
Iliwekwa kihuni, iondolewe kihuni.
Kinga walomwekea SPIKA ya kutoshtakiwa iondolewe,
Iliwekwa kihuni, iondolewe kihuni.
Kwamba imebidi Tulia atoke nduki kumkimbiza mdude alosepa na nguo zake?Wakuu nawaletea kideo, spika wa bunge akiwataka vijana kushughulika na yeyote anayemsema vibaya Rais, Mbunge, Diwani au Mwenyekiti wa mtaa kwa tiketi ya CCM...