anakunywa konyagi kuistimulate, kwa sura ile husimamishiYaani hata aliyemuoa kazi anayo, huwezi kusimamisha kwa bibi kama huyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anakunywa konyagi kuistimulate, kwa sura ile husimamishiYaani hata aliyemuoa kazi anayo, huwezi kusimamisha kwa bibi kama huyo
Toa mfano wa kumsema vibaya ili tusijechanganya na kumkosoa.Ndivyo ilivyo huwezi kukubali boss wako asemwe vibaya all in all mkubwa lazima aheshimiwe kwa gharama yoyote na sio utamaduni wetu sisi watanzania kumsema rais vibaya japo kuna wachache miongoni mwetu wanakengeuka na kujitoa ufahamu
Lakini katoa maoni yake tuu. Wala sio amri
Kauli ya kijinga kabisa toka kwa mtu aliyelewa madaraka. Kauli hii ingetolewa na kiongozi wa Chadema tayari saa hizi angekuwa mikononi mwa polisiccmWakuu nawaletea kideo, spika wa bunge akiwataka vijana kushughulika na yeyote anayemsema vibaya Rais, Mbunge, Diwani au Mwenyekiti wa mtaa kwa tiketi ya CCM.
Hivi karibuni kuna ndugu wa Temeke alisema wao kazi yao ni kuwashugulikia wakosoaji na wazee watawaombea radhi kwa watanzania.
Sijui nataka niseme nini ila pateni kideo hapo.
View attachment 2375676
========
Akihutubia Vijana wa CCM katika Jimbo lake, Mbunge wa Jimbo ya Mbeya Mjini ambaye pia ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amewataka vijana wa Jimbo hilo kutoshiriki katika Kumsema vibaya, Rais na Viongozi wa Jimbo hilo
Amesema, “Isitokee Kijana yeyote anaungana na mtu yeyote anayemsema vibaya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Rais Samia ni Rais wa Nchi lakini pia ni mwenyekiti wa Chama chetu. Asitokee mtu yeyote wa Nje ya Chama, wa Ndani ya Chama akawa anamsema vibaya Rais halafu wewe ukamtazama, shughulika naye, CCM hoyeeeee”
Ameendelea, “hata mimi Mbunge wako akiwa ananisema vibaya nyooka naye, unajua sababu ni nini? Hata Diwani, Madiwani wote wa Mbeya Mjini sasa hivi ni CCM, hata akimsema vibaya Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa, na yeye ni CCM, nyooka naye’
Sikujua kuwa betina ni mpuuzi kiasi hikiDk tulia anasimamia mhimili mkubwa unao Tunga Sheria na kuisimamia serikali!! Kasema watakaomsema rais .
Washughulikiwe!! Mimi najua rais hajawa mungu kwamba asisemwe! Akiifanya vizuri tutampongeza ila akidemka tutamsema bila kuchoka Wala kuogopa kauli ya tulia!! Kama tulia amefikia Mahali pa kutaka rais asisemwe huku uraiani vipi bungeni nako wataruhusiwa kumsema rais akikosea? Rais sio mungu na kamwe hatakuwa mungu !! Kwa nini tulia anamuwekea kinga rais ! Kuna nini? Tutamsema ,tutamsema na tutamsema tena!!! Tulia anaona watanzania wote ni sawa na familia yake !! Asali imemlewesha anzeni kuwashughulikia !! Watanzania sio waoga ila ni wavumilivu!
Bunge la Tulia kamwe haliwezi kuikosoa na kuirekebisha serikali, ni rubber stamp na limepoteza credibility yakeDk tulia anasimamia mhimili mkubwa unao Tunga Sheria na kuisimamia serikali!! Kasema watakaomsema rais .
Washughulikiwe!! Mimi najua rais hajawa mungu kwamba asisemwe! Akiifanya vizuri tutampongeza ila akidemka tutamsema bila kuchoka Wala kuogopa kauli ya tulia!! Kama tulia amefikia Mahali pa kutaka rais asisemwe huku uraiani vipi bungeni nako wataruhusiwa kumsema rais akikosea? Rais sio mungu na kamwe hatakuwa mungu !! Kwa nini tulia anamuwekea kinga rais ! Kuna nini? Tutamsema ,tutamsema na tutamsema tena!!! Tulia anaona watanzania wote ni sawa na familia yake !! Asali imemlewesha anzeni kuwashughulikia !! Watanzania sio waoga ila ni wavumilivu!
Yule ni mpuuzi toka siku nyingi sanaSikujua kuwa betina ni mpuuzi kiasi hiki
Betina ndio wale wale hana jipyaDk tulia anasimamia mhimili mkubwa unao Tunga Sheria na kuisimamia serikali!! Kasema watakaomsema rais .
Washughulikiwe!! Mimi najua rais hajawa mungu kwamba asisemwe! Akiifanya vizuri tutampongeza ila akidemka tutamsema bila kuchoka Wala kuogopa kauli ya tulia!! Kama tulia amefikia Mahali pa kutaka rais asisemwe huku uraiani vipi bungeni nako wataruhusiwa kumsema rais akikosea? Rais sio mungu na kamwe hatakuwa mungu !! Kwa nini tulia anamuwekea kinga rais ! Kuna nini? Tutamsema ,tutamsema na tutamsema tena!!! Tulia anaona watanzania wote ni sawa na familia yake !! Asali imemlewesha anzeni kuwashughulikia !! Watanzania sio waoga ila ni wavumilivu!
PhD ya matamshiBongo hatuna wasomi,eti huyu ni PhD
Dk tulia anasimamia mhimili mkubwa unao Tunga Sheria na kuisimamia serikali!! Kasema watakaomsema rais .
Washughulikiwe!! Mimi najua rais hajawa mungu kwamba asisemwe! Akiifanya vizuri tutampongeza ila akidemka tutamsema bila kuchoka Wala kuogopa kauli ya tulia!! Kama tulia amefikia Mahali pa kutaka rais asisemwe huku uraiani vipi bungeni nako wataruhusiwa kumsema rais akikosea? Rais sio mungu na kamwe hatakuwa mungu !! Kwa nini tulia anamuwekea kinga rais ! Kuna nini? Tutamsema ,tutamsema na tutamsema tena!!! Tulia anaona watanzania wote ni sawa na familia yake !! Asali imemlewesha anzeni kuwashughulikia !! Watanzania sio waoga ila ni wavumilivu!
Ana kipaji cha tasnia hiyo.Yule ni mpuuzi toka siku nyingi sana
Speech ya namna ile ni kuonyesha dhahiri hajatumia ubongo wake vizuriFreedom of speech ni HAKI yetu.
Allah SW atusaidieDk tulia anasimamia mhimili mkubwa unao Tunga Sheria na kuisimamia serikali!! Kasema watakaomsema rais .
Washughulikiwe!! Mimi najua rais hajawa mungu kwamba asisemwe! Akiifanya vizuri tutampongeza ila akidemka tutamsema bila kuchoka Wala kuogopa kauli ya tulia!! Kama tulia amefikia Mahali pa kutaka rais asisemwe huku uraiani vipi bungeni nako wataruhusiwa kumsema rais akikosea? Rais sio mungu na kamwe hatakuwa mungu !! Kwa nini tulia anamuwekea kinga rais ! Kuna nini? Tutamsema ,tutamsema na tutamsema tena!!! Tulia anaona watanzania wote ni sawa na familia yake !! Asali imemlewesha anzeni kuwashughulikia !! Watanzania sio waoga ila ni wavumilivu!
Hakuwahi kusimamia bunge vile ipasavyo. Amekaa pale kwa maslahi yakeAna kipaji cha tasnia hiyo.
Hii ndio shida ya kuokoteza viongozi. Kuna vyeo watu wanalelewa, unasomeshwa,unafanyiwa vettting toka chuo. Sio kijitu kinaibuka spikaPhD ya matamshi
She is not credible at all.Hakuwahi kusimamia bunge vile ipasavyo. Amekaa pale kwa maslahi yake
Tanzania haina mfumo mzuri wa kuandaa viongozi, nafasi nyingi wanapewa wahuni na walafi huku watu wenye uwezo wanaachwaHii ndio shida ya kuokoteza viongozi. Kuna vyeo watu wanalelewa, unasomeshwa,unafanyiwa vettting toka chuo. Sio kijitu kinaibuka spika