Spika Tulia Ackson: Mtu akimsema vibaya Rais nyooka naye, akinisema vibaya Nyooka naye
Ndivyo ilivyo huwezi kukubali boss wako asemwe vibaya all in all mkubwa lazima aheshimiwe kwa gharama yoyote na sio utamaduni wetu sisi watanzania kumsema rais vibaya japo kuna wachache miongoni mwetu wanakengeuka na kujitoa ufahamu
Toa mfano wa kumsema vibaya ili tusijechanganya na kumkosoa.
 
Wakuu nawaletea kideo, spika wa bunge akiwataka vijana kushughulika na yeyote anayemsema vibaya Rais, Mbunge, Diwani au Mwenyekiti wa mtaa kwa tiketi ya CCM.

Hivi karibuni kuna ndugu wa Temeke alisema wao kazi yao ni kuwashugulikia wakosoaji na wazee watawaombea radhi kwa watanzania.

Sijui nataka niseme nini ila pateni kideo hapo.
View attachment 2375676

========

Akihutubia Vijana wa CCM katika Jimbo lake, Mbunge wa Jimbo ya Mbeya Mjini ambaye pia ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amewataka vijana wa Jimbo hilo kutoshiriki katika Kumsema vibaya, Rais na Viongozi wa Jimbo hilo

Amesema, “Isitokee Kijana yeyote anaungana na mtu yeyote anayemsema vibaya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Rais Samia ni Rais wa Nchi lakini pia ni mwenyekiti wa Chama chetu. Asitokee mtu yeyote wa Nje ya Chama, wa Ndani ya Chama akawa anamsema vibaya Rais halafu wewe ukamtazama, shughulika naye, CCM hoyeeeee”

Ameendelea, “hata mimi Mbunge wako akiwa ananisema vibaya nyooka naye, unajua sababu ni nini? Hata Diwani, Madiwani wote wa Mbeya Mjini sasa hivi ni CCM, hata akimsema vibaya Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa, na yeye ni CCM, nyooka naye’
Kauli ya kijinga kabisa toka kwa mtu aliyelewa madaraka. Kauli hii ingetolewa na kiongozi wa Chadema tayari saa hizi angekuwa mikononi mwa polisiccm
 
Dk tulia anasimamia mhimili mkubwa unao Tunga Sheria na kuisimamia serikali!! Kasema watakaomsema rais .
Washughulikiwe!! Mimi najua rais hajawa mungu kwamba asisemwe! Akiifanya vizuri tutampongeza ila akidemka tutamsema bila kuchoka Wala kuogopa kauli ya tulia!! Kama tulia amefikia Mahali pa kutaka rais asisemwe huku uraiani vipi bungeni nako wataruhusiwa kumsema rais akikosea? Rais sio mungu na kamwe hatakuwa mungu !! Kwa nini tulia anamuwekea kinga rais ! Kuna nini? Tutamsema ,tutamsema na tutamsema tena!!! Tulia anaona watanzania wote ni sawa na familia yake !! Asali imemlewesha anzeni kuwashughulikia !! Watanzania sio waoga ila ni wavumilivu!
Sikujua kuwa betina ni mpuuzi kiasi hiki
 
Dk tulia anasimamia mhimili mkubwa unao Tunga Sheria na kuisimamia serikali!! Kasema watakaomsema rais .
Washughulikiwe!! Mimi najua rais hajawa mungu kwamba asisemwe! Akiifanya vizuri tutampongeza ila akidemka tutamsema bila kuchoka Wala kuogopa kauli ya tulia!! Kama tulia amefikia Mahali pa kutaka rais asisemwe huku uraiani vipi bungeni nako wataruhusiwa kumsema rais akikosea? Rais sio mungu na kamwe hatakuwa mungu !! Kwa nini tulia anamuwekea kinga rais ! Kuna nini? Tutamsema ,tutamsema na tutamsema tena!!! Tulia anaona watanzania wote ni sawa na familia yake !! Asali imemlewesha anzeni kuwashughulikia !! Watanzania sio waoga ila ni wavumilivu!
Bunge la Tulia kamwe haliwezi kuikosoa na kuirekebisha serikali, ni rubber stamp na limepoteza credibility yake
 
Dk tulia anasimamia mhimili mkubwa unao Tunga Sheria na kuisimamia serikali!! Kasema watakaomsema rais .
Washughulikiwe!! Mimi najua rais hajawa mungu kwamba asisemwe! Akiifanya vizuri tutampongeza ila akidemka tutamsema bila kuchoka Wala kuogopa kauli ya tulia!! Kama tulia amefikia Mahali pa kutaka rais asisemwe huku uraiani vipi bungeni nako wataruhusiwa kumsema rais akikosea? Rais sio mungu na kamwe hatakuwa mungu !! Kwa nini tulia anamuwekea kinga rais ! Kuna nini? Tutamsema ,tutamsema na tutamsema tena!!! Tulia anaona watanzania wote ni sawa na familia yake !! Asali imemlewesha anzeni kuwashughulikia !! Watanzania sio waoga ila ni wavumilivu!
Betina ndio wale wale hana jipya
 
Dk tulia anasimamia mhimili mkubwa unao Tunga Sheria na kuisimamia serikali!! Kasema watakaomsema rais .
Washughulikiwe!! Mimi najua rais hajawa mungu kwamba asisemwe! Akiifanya vizuri tutampongeza ila akidemka tutamsema bila kuchoka Wala kuogopa kauli ya tulia!! Kama tulia amefikia Mahali pa kutaka rais asisemwe huku uraiani vipi bungeni nako wataruhusiwa kumsema rais akikosea? Rais sio mungu na kamwe hatakuwa mungu !! Kwa nini tulia anamuwekea kinga rais ! Kuna nini? Tutamsema ,tutamsema na tutamsema tena!!! Tulia anaona watanzania wote ni sawa na familia yake !! Asali imemlewesha anzeni kuwashughulikia !! Watanzania sio waoga ila ni wavumilivu!

Rais ana nguvu na mamlaka makubwa sana nchi hii. Usione anawachekea mkamuona kama mnalingana. Ijue vizuri nchi yako.
 
Dk tulia anasimamia mhimili mkubwa unao Tunga Sheria na kuisimamia serikali!! Kasema watakaomsema rais .
Washughulikiwe!! Mimi najua rais hajawa mungu kwamba asisemwe! Akiifanya vizuri tutampongeza ila akidemka tutamsema bila kuchoka Wala kuogopa kauli ya tulia!! Kama tulia amefikia Mahali pa kutaka rais asisemwe huku uraiani vipi bungeni nako wataruhusiwa kumsema rais akikosea? Rais sio mungu na kamwe hatakuwa mungu !! Kwa nini tulia anamuwekea kinga rais ! Kuna nini? Tutamsema ,tutamsema na tutamsema tena!!! Tulia anaona watanzania wote ni sawa na familia yake !! Asali imemlewesha anzeni kuwashughulikia !! Watanzania sio waoga ila ni wavumilivu!
Allah SW atusaidie
 
Hii ndio shida ya kuokoteza viongozi. Kuna vyeo watu wanalelewa, unasomeshwa,unafanyiwa vettting toka chuo. Sio kijitu kinaibuka spika
Tanzania haina mfumo mzuri wa kuandaa viongozi, nafasi nyingi wanapewa wahuni na walafi huku watu wenye uwezo wanaachwa
 
Back
Top Bottom