Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katoa maoni ya kichochezi, spika awajibishwe.Lakini katoa maoni yake tuu. Wala sio amri
heeee katibu wa bunge do the needfulAtombwe haraka atulie
Mitano tena!👍Spika amemaliza Kwa kusema CCM oyeeeee!!!
Tumpuuze, anaongea na chawa wa CCM!!!!
Sawa sijielewi 🙏binti mbona hujielewi, kumsema hovyo kivipi, ikiwa yeye ndo dereva anaye liendesha hili gari lililokosea njia
Huyu Tulia alivyo mbaya wa sura na ata roho na akili yake ni mbaya!Wakuu nawaletea kideo, spika wa bunge akiwataka vijana kushughulika na yeyote anayemsema vibaya Rais, Mbunge, Diwani au Mwenyekiti wa mtaa kwa tiketi ya CCM.
Hivi karibuni kuna ndugu wa Temeke alisema wao kazi yao ni kuwashugulikia wakosoaji na wazee watawaombea radhi kwa watanzania.
Sijui nataka niseme nini ila pateni kideo hapo.
View attachment 2375676
========
Akihutubia Vijana wa CCM katika Jimbo lake, Mbunge wa Jimbo ya Mbeya Mjini ambaye pia ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amewataka vijana wa Jimbo hilo kutoshiriki katika Kumsema vibaya, Rais na Viongozi wa Jimbo hilo
Amesema, “Isitokee Kijana yeyote anaungana na mtu yeyote anayemsema vibaya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Rais Samia ni Rais wa Nchi lakini pia ni mwenyekiti wa Chama chetu. Asitokee mtu yeyote wa Nje ya Chama, wa Ndani ya Chama akawa anamsema vibaya Rais halafu wewe ukamtazama, shughulika naye, CCM hoyeeeee”
Ameendelea, “hata mimi Mbunge wako akiwa ananisema vibaya nyooka naye, unajua sababu ni nini? Hata Diwani, Madiwani wote wa Mbeya Mjini sasa hivi ni CCM, hata akimsema vibaya Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa, na yeye ni CCM, nyooka naye’
Duh !!Wakuu nawaletea kideo, spika wa bunge akiwataka vijana kushughulika na yeyote anayemsema vibaya Rais, Mbunge, Diwani au Mwenyekiti wa mtaa kwa tiketi ya CCM.
Hivi karibuni kuna ndugu wa Temeke alisema wao kazi yao ni kuwashugulikia wakosoaji na wazee watawaombea radhi kwa watanzania.
Sijui nataka niseme nini ila pateni kideo hapo.
View attachment 2375676
========
Akihutubia Vijana wa CCM katika Jimbo lake, Mbunge wa Jimbo ya Mbeya Mjini ambaye pia ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amewataka vijana wa Jimbo hilo kutoshiriki katika Kumsema vibaya, Rais na Viongozi wa Jimbo hilo
Amesema, “Isitokee Kijana yeyote anaungana na mtu yeyote anayemsema vibaya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Rais Samia ni Rais wa Nchi lakini pia ni mwenyekiti wa Chama chetu. Asitokee mtu yeyote wa Nje ya Chama, wa Ndani ya Chama akawa anamsema vibaya Rais halafu wewe ukamtazama, shughulika naye, CCM hoyeeeee”
Ameendelea, “hata mimi Mbunge wako akiwa ananisema vibaya nyooka naye, unajua sababu ni nini? Hata Diwani, Madiwani wote wa Mbeya Mjini sasa hivi ni CCM, hata akimsema vibaya Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa, na yeye ni CCM, nyooka naye’
Definitions ya kushughulika naye na nyooka naye ni nini ?? !! Mimi nashangaa nimeshindwa kuelewa naona maruweruwe !! Sitaki mtu anyooke na mimi !!Yupo sahihi ikiwa anawaambia Vijana wake wa CCM.
Ila hayuko sahihi Kama atakuwa anamaanisha vijana wa nchi nzima.
Kama ndio Katiba ya ccm ndivyo isemavyo yupo sahihi
Munyooke nao ?? Au. ??!Naomba hao Vijana wa CCM wa kunyoosha waje huku MARA.
Njaa mbaya !!Majamaa yanajazwa ujinga yanashangilia dah...
Aombe radhi tu yaishe kama na yeye ataona ulimi uliteleza tu na kwamba hakuwa na maana mbaya!! Mimi sitaki mtu anyooke na mimi kwa kweli !!Hii kauli tu KWANZA ni uchochezi, yeye anafikili KWa akili yake na Kama kiongozi hao vijana walifanya hivyo vijana wa upande mwingine wakajibu mapigo Kuna tanzania hapo
Na anafikili rais wa nchi ni wa ccm tu au watanzania wote
Ni shida kuwa na viongozi wa namna hii kwenye taifa lolote, mauaji ya kimbali huanza na kauli za ajabu za namna hii na KWa kauli hii ndani ya nchi pitia KWa vijana hao inatosha kabisa ndani ya nchi
Kutoendelea kalia kiti alichonacho, kufukuzwa ndani ya chama Chake na Kama haitoshi ,kuburuzwa mahakani , hizi ni kauri Hatari Sana KWa maslahi mapana ya taifa,
I wish angekua SA akutane na MALEMA na kauli yake hii , tuone Kama angekalia hicho kiti KWa siku 2
Kauli ya Tulia ina maslahi mapana ya umma na taifa Mara 10 ya ile ya Ndugai, anatakiwa kujiuzuru Mara MOJA,
Kazi Kweli Kweli !!Hiki cheo haikutakiwa kabisa kitokane na chama cha Siasa.
🤣 kwa kweli mtu unaweza ukashindwa kuelewa which is which !!Hawa wanasiasa Hawa!
Bora upige nyeto kuliko kulala hicho kibibianakunywa konyagi kuistimulate, kwa sura ile husimamishi