Longoshe
Member
- Jul 30, 2022
- 52
- 66
bila shaka ww ni chalii wa UVCCMSema nn mkubwa ni mkubwa tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bila shaka ww ni chalii wa UVCCMSema nn mkubwa ni mkubwa tu
Mods muko wapiii Kuna kichwa hukuAtombwe haraka atulie
No,ila nasema tu kumsema ovyo mkubwa hata ungekuwa wewe usingependezwa mkuubila shaka ww ni chalii wa UVCCM
Acha kumtukana mdada wa watu weweNa sura yake MBAYA kazi kuharibu amani.
Wacha weeNa sura yake MBAYA kazi kuharibu amani.
Kiongozi level ya speaker (3rd in command) na Msomi level ya PhD, ni wa kuongea ujinga huo? Baadae eti Viongozi wa DINI ombeeni Amani.Acha kumtukana mdada wa watu wewe
🙄🤔Atombwe haraka atulie
Ka video please!speaker wa bunge la jamhuri ya Tanzania Dr Tulia Akson, leo tarehe 3. 10. 2022 alipokuwa anaongea katika kikao na vijana wa CCM amewasisitiza kwamba ikiwa kuna mtu yeyote atakaye msema raisi Samia Suluh vibaya basi wana wajibu wa kudeal naye sambamba.
speaker tulia kauli hii ni ya uchochezi na kauli kama za kwako yalipelekea mauaji ya kimbari, hivyo unachokitafuta utakipata
Unashangaa maneno hayo yalitolewa RWANDA 1994
Yeye ameomba kazi wenye kazi yetu tusimseme yeye ni Nani huyo MUNGU anasema sembuse yeye ,tulitaka Uhuru 1961 Kwa mambo kama hayo hatutaki utumwa kwenye nchi yetu kama amechoka kazi aachie ngaziNdivyo ilivyo huwezi kukubali boss wako asemwe vibaya all in all mkubwa lazima aheshimiwe kwa gharama yoyote na sio utamaduni wetu sisi watanzania kumsema rais vibaya japo kuna wachache miongoni mwetu wanakengeuka na kujitoa ufahamu
binti mbona hujielewi, kumsema hovyo kivipi, ikiwa yeye ndo dereva anaye liendesha hili gari lililokosea njiaNo,ila nasema tu kumsema ovyo mkubwa hata ungekuwa wewe usingependezwa mkuu
Hahaha dah mkuu siyo poa hahaAtombwe haraka atulie
Acha u-snitch wewe umeipenda hiyo kauli yake?Mods muko wapiii Kuna kichwa huku
Wa kumpa hicho anachokitaka ni nani ?speaker wa bunge la jamhuri ya Tanzania Dr Tulia Akson, leo tarehe 3. 10. 2022 alipokuwa anaongea katika kikao na vijana wa CCM amewasisitiza kwamba ikiwa kuna mtu yeyote atakaye msema raisi Samia Suluh vibaya basi wana wajibu wa kudeal naye sambamba.
speaker tulia kauli hii ni ya uchochezi na kauli kama za kwako yalipelekea mauaji ya kimbari, hivyo unachokitafuta utakipata
Utamaduni wako na familiar yako tu...lazima asemwe na atasemwa tu..Ndivyo ilivyo huwezi kukubali boss wako asemwe vibaya all in all mkubwa lazima aheshimiwe kwa gharama yoyote na sio utamaduni wetu sisi watanzania kumsema rais vibaya japo kuna wachache miongoni mwetu wanakengeuka na kujitoa ufahamu
Reflection ni muhmu! Kuna association kati ya sura mbaya na matendo mabaya.Too personal ....kosoa alichosema hayo mengine sio lazima