Fine, lakini Maoni maovu, ushetani , ibilisi ......Lakini katoa maoni yake tuu. Wala sio amri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fine, lakini Maoni maovu, ushetani , ibilisi ......Lakini katoa maoni yake tuu. Wala sio amri
Fine, lakini Maoni maovu, ushetani , ibilisi ......
Kuna world consensus kuwa matendo ya shetani huwa ni mabaya. Final, mengine ni kubishana tu!😂😂😂
Shetani mwenyewe ni matokeo ya demokrasia.
Ni mzuri Kwa wafuasi wake, na ni mbaya Kwa wasiowatu wake
Mungu alishughulika na Magufuli katulia ChattoMbeya kunafurahisha sana
Mdude Chadema ashughulikiwe
Mbeya kunafurahisha sana
Mdude Chadema ashughulikiwe
IMEANDIKWA NA ROBERT HERIELYupo sahihi ikiwa anawaambia Vijana wake wa CCM.
Ila hayuko sahihi Kama atakuwa anamaanisha vijana wa nchi nzima.
Kama ndio Katiba ya ccm ndivyo isemavyo yupo sahihi
You can't be serious.Yupo sahihi ikiwa anawaambia Vijana wake wa CCM.
Ila hayuko sahihi Kama atakuwa anamaanisha vijana wa nchi nzima.
Kama ndio Katiba ya ccm ndivyo isemavyo yupo sahihi
Kati ya watawala wajinga ni pamoja na huyu bibiWakuu nawaletea kideo, spika wa bunge akiwataka vijana kushughulika na yeyote anayemsema vibaya Rais, Mbunge, Diwani au Mwenyekiti wa mtaa kwa tiketi ya CCM.
Hivi karibuni kuna ndugu wa Temeke alisema wao kazi yao ni kuwashugulikia wakosoaji na wazee watawaombea radhi kwa watanzania.
Sijui nataka niseme nini ila pateni kideo hapo.
View attachment 2375676
========
Akihutubia Vijana wa CCM katika Jimbo lake, Mbunge wa Jimbo ya Mbeya Mjini ambaye pia ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amewataka vijana wa Jimbo hilo kutoshiriki katika Kumsema vibaya, Rais na Viongozi wa Jimbo hilo
Amesema, “Isitokee Kijana yeyote anaungana na mtu yeyote anayemsema vibaya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Rais Samia ni Rais wa Nchi lakini pia ni mwenyekiti wa Chama chetu. Asitokee mtu yeyote wa Nje ya Chama, wa Ndani ya Chama akawa anamsema vibaya Rais halafu wewe ukamtazama, shughulika naye, CCM hoyeeeee”
Ameendelea, “hata mimi Mbunge wako akiwa ananisema vibaya nyooka naye, unajua sababu ni nini? Hata Diwani, Madiwani wote wa Mbeya Mjini sasa hivi ni CCM, hata akimsema vibaya Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa, na yeye ni CCM, nyooka naye’
Huwa najiuliza asingesoma angekuwa wapi?Sura mbaya ie ugly face outlook ina akisi na roho yake mbaya..... her face outlook being ugly is a reflection of the internal side
KINACHOMSAIDIA NI ELIMU SHORT OF THAT NI KINYAGO KIGAGULAHuwa najiuliza asingesoma angekuwa wapi?
Yaani hata aliyemuoa kazi anayo, huwezi kusimamisha kwa bibi kama huyoKINACHOMSAIDIA NI ELIMU SHORT OF THAT NI KINYAGO KIGAGULA