Yupo sahihi ikiwa anawaambia Vijana wake wa CCM.
Ila hayuko sahihi Kama atakuwa anamaanisha vijana wa nchi nzima.

Kama ndio Katiba ya ccm ndivyo isemavyo yupo sahihi
IMEANDIKWA NA ROBERT HERIEL
 
Mauji ya Kimbari hayakutokea tu bahati mbaya ila kulikuwa na Viongozi wenye akili mbovu kama za @TuliaAckson walikuwa wanahubiri uhasama na kuwajaza Vijana chuki mwisho wa siku wakawachinja ndugu zao, jiulize kama Tulia anasema vile hadharani akiwa sirini anawaambia nini Vijana?
 
Kati ya watawala wajinga ni pamoja na huyu bibi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…