Suala la Achraf Hakimi na Mke wake: Watu ni wepesi kuongea, hawataki kufanya reasoning

ERoni

Yes I know and I do remember that hurting story of Eboue😌😌😌

This story is so weird to me. How did his wife get everything in the divorce? Isn't it usually 50/50? That judge must've really had it out for him.

Sounds like he signed papers while they were together that handed all the money to her..But even if that were the case..judges do some sort of financial split for a divorce normally

Who knows πŸ€·β€β™€οΈπŸ€·β€β™€οΈπŸ€·β€β™€οΈπŸ€·β€β™€οΈπŸ€·β€β™€οΈAs others have said..theres something not in the public domain.
 
Suala la malezi ya watoto, nchi nyingi za ulaya wazazi wote wawili wana wajibika hilo litoe..
 
Wanawake wana roho mbaya, na ukitaka kujua mwamba emmanuel eboue alimuanini mke na mali zake kilichomtokea hatokaa asahau hadi ana kufa.. huyo dada acha avune alichopanda
National Anthem

There's a lot more we aren't hearing about, for all his assets to be given to his wifeπŸ™‡β€β™€οΈπŸ™‡β€β™€οΈπŸ™‡β€β™€οΈπŸ™‡β€β™€οΈπŸ™‡β€β™€οΈ
 
Lovie Lady
Si unifundishe kingreza mkuu, yani baada ya kusoma kichwa kimeuma😁 ila nakubaliana na yote uliyoandika.
 
National Anthem

There's a lot more we aren't hearing about, for all his assets to be given to his wifeπŸ™‡β€β™€οΈπŸ™‡β€β™€οΈπŸ™‡β€β™€οΈπŸ™‡β€β™€οΈπŸ™‡β€β™€οΈ
Nyie hamuaminiki πŸ˜…πŸ˜…

Sasa hivi jamaa katufumbua macho na katupa maujanja.. Hatuwezi kataa kuwapa mali ambazo tunachuma pamoja ila nyie mnataka nyingi sana kama vile mlikuwa watafutaji.. jamaa hato mkatia waya kabisa atapewa kile anachostahili na mama Hakimi
 
πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
Kwa sababu kamzalia inabidi amfikirie mwenzie... na ndoa za kuishi Kwa kuviziana hivi si poa hata kidogo. Tusiingie kwenye ndoa Kwa sababu ya vitu Fulani... hivi tumekosa upendo kiasi hiki?

Wanawake ndio zenu hizo kuingia kwenye mahusiano kwa ajili ya maslahi. Mwanaume anaweza kuoa binti hana kitu n maisha yakasonga lakini mwanamke lazima aangalie kwanza maslahi kabla kumkubali mwanaume
 

Chai
 
Mnaiga iga tu maneno bila hata kujua matumizi yake matokeo yake mnaishia kuiga na matendo yaliyo kinyume na asili.
Unaposema Chai umeona kuna story nimetoa hapo?
Chai huwa ni pake mtu anasimulia uongo mwepesi, au ambacho hakipo.
Mimi nimetoa mtazamo, sijasimulia
 
Chai
 
Chai
 

Aongee na mama mkwe vizuri maana ndio kashikilia mzigo wote![emoji38][emoji38]
 
Hivi huko shule mlienda kusomea ujinga?
 
Mwingine huyu hapa.
 
Kwani mwanamke hana anachomiliki?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…