Suala la Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na Vipengele kadhaa vya Kisheria


Kiranga, I have a surprise to you, Up to Five minutes ago I was seeing eye to eye with you, but I came accross the following subsection of the law detailing how the situation of not renewing the contract of CAG could be handled.

Let us reason together

I herewith attach the subsection.



NI DHAHIRI KWA KIPENGELE HIKI CHA SHERIA MAGUFULI AMEVUNJA SHERIA NA UTEUZI WAKE WA CAG MPYA NI BATILI
 
Angalau wewe una point ya msingi.
 

Hapa hasa ndio siri ya urembo ilipo.
 
Wewe unapotosha tu angalia hapa kwa Rais elligible for re-election na kwa CAG elligible for renewal (hapa napo renewal si automatic bwashe. Renewal ni subject to performance) Kitu kikubwa hakupata renewal anaondoka zake
 
Hoja hupingwa kwa hoja, wewe badala ya kuleta hoja kukanusha ya mtoa hoja umeamua kutukana, inasikitisha sana
 


Kifungu hiki cha sheria ndo. kimekata mzizi wa fitina, Hiki kipengele kinasema kwamba kama Rais hatsmuongezea CAG mkataba mpya wa miaka mitano basi sababu za kutomuongezea lazima zifuate utaratibu uleule wa kumuondoa CAG ulioelezewa katika ibara ya 144.

Kwa hiyo, Uteuzi wa CAG mpya ni batili ni. kinyume cha sheria na CAG mpya siyo CAG halali kwa mujibu wa sheria
 
Wewe unapotosha tu angalia hapa kwa Rais elligible for re-election na kwa CAG elligible for renewal (hapa napo renewal si automatic bwashe. Renewal ni subject to performance) Kitu kikubwa hakupata renewal anaondoka zake

Mkuu kuna kifungu kingine cha sheria kinachoelezea sababu ambazo zinaweza kupelekea mkataba wa CAG usiwe renewed.

Hiki hapa:

 
Mkuu hoja inapingwa kwa hoja sio kwa taarabu, mwenzako kaja na data wewe unampinga kwa kuimba taarabu kwama mwanamke wa Pwani!
 

Hapa Kaka umejibu kwa hasira badala ya busara. Jifunze kutoka kwa Kiranga alichoandika kujibu. Post baada ya hiyo yako.
 
Yasije mkuta Yale ya yule raisi wa Zanzibar nilokuja mjua baada ya kufariki alokua kizuizini kigambon
 
[/QUOTE]Kama tafsir ya 'shall'n lazima ktk muktadha tajwa
Bx hili likatiba halina budi kusema waz kuwa cag anatakiwa kuhudum kwa miaka kumi

Badala ya kutuumiza kichwa na 'shall' nyiiiingi mara "maaaaaaaaaay"
 
Wewe unapotosha tu angalia hapa kwa Rais elligible for re-election na kwa CAG elligible for renewal (hapa napo renewal si automatic bwashe. Renewal ni subject to performance) Kitu kikubwa hakupata renewal anaondoka zake
Nani ana measure hiyo performance? Wapi imeandikwa? Usijitungie tu kutoka kichwani kwako. Kama CAG akishindwa ku-perfom hiyo ni subject to investigation. Lazima uchunguzi ufanyike kwa mujibu wa Katiba.

Usijilazimishe kutokuelewa ndugu yangu.
 
Nani ana measure hiyo performance? Wapi imeandikwa? Usijitungie tu kutoka kichwani kwako. Kama CAG akishindwa ku-perfom hiyo ni subject to investigation. Lazima uchunguzi ufanyike kwa mujibu wa Katiba.

Usijilazimishe kutokuelewa ndugu yangu.
Bunge lishamkataa kufanya kazi naye umesahau?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…