Upo sahihi kabisa!!!Kwa utaratibu huu tusishangae jaji mkuu akitumbuliwa pale mahakama yake itakopoenda kinyume na matarajio yake. Kama kweli anavunja katiba inayompa mamlaka makubwa ya kupiga mpk shangazi wa waziri mkuu alafu aeheshimu ?Hãta vyombo vya ulinzi vinamtii kwa sabab ya katiba sio kwamba yeye ni bondia. Washauri wamshauri umuhim wa kuheshimu katiba what if akaja Rais mwingne akamkamata pmj na katiba kuzuia?Ķuvunja katiba ya nchi a sichukulie kirahisi itakuja kumrudia so far hii ni sign ya dictatorship
Sasa kama wewe umeeleza maana ya shall kwa mujibu wa sheria zetu, na mimi sijakataa maana ya shall uliyoieleza, tatizo liko wapi?Umeeleza maana ya "shall" kwa mujibu wa nini?! Mimi nimeeleza kwa mujibu wa sheria zetu, na nimeweka kifungu!
Ngoja tusibiri hayo madongo wakati wa uapishaji wa voda fasta!!Tatizo Raisi amefanya haya kwa Mihemko, Kudanganywa na Kujidanganga, Kushauriwa vibaya na Kujishauri vibaya na On top of that Kwa CHUKI binafsi.
Raisi amevunja Katiba ALIYOAPA kuilinda huku akimtaja MUNGU anayedai kumtanguliza mbele'
Nimejibu nilichokujibu kwa sababu umesema hilo neno SHALL tunalitafsiri vibaya... na mimi ndo nimekuambia neno SHALL limetafsiriwa na sheria zetu wenyewe! Kwahiyo kama kutafsiri vibaya, basi ni sheria zetu ndizo zimetafsiri vibaya na sio "..sisi"Sasa kama wewe umeeleza maana ya shall kwa mujibu wa sheria zetu, na mimi sijakataa maana ya shall uliyoieleza, tatizo liko wapi?
Nimekuuliza unaelewa objection yangu iko wapi, hujajibu.
Ni kwa sababu huelewi na hutaki kukubali kwamba huelewi au ni kwa sababu gani?
Unaelewa objection yangu?
Hapo ingekuwa sio lazima, kwa mujibu wa sheria zetu wangeandika "may be be eligible for renewal" na sio "shall be eligible for renewal"Ukiandika "shall be eligible for renewal" hapo ulazima unaongelewa kwenye eligibility. Eligibility ni potential ya kuwa CAG, si lazima aliye eligible kuwa CAG.
Hawa wanadakia mambo ila IFRS amemaliza ubishi aliposema:Shall inayoongelea term limits mnaitafsiri vibaya.
Pia, likatiba lenyewe limejaa vituko linatakiwa kurekebishwa.
Ukiandika "shall be eligible for renewal" hapo ulazima unaongelewa kwenye eligibility. Eligibility ni potential ya kuwa CAG, si lazima aliye eligible kuwa CAG.
Mtu anaweza kuwa eligible voter, halafu akawa si voter.
Katiba inasema rais hawezi kuendelea kuwa rais baada ya vipindi vya urais viwili.
Je, hilo lina maana rais ni lazima awe rais kwa vipindi viwili vya urais?
Kama CAG anatakiwa kuwa CAG kwa miaka kumi, kwa nini mkataba wake ni wa miaka mitano?
Naomba nitumie mfano wa Rais.
1. Article 33(1) inasema There SHALL BE a president of United Republic. 'Shall be' ikikaa peke yake maana yake ni lazima Rais wa Jamhuri awepo.
2. Article 40(1) inasema President SHALL BE ELIGIBLE for re-election. Ukiona eligible imekaa mbele ya 'shall be', maana yake inampa haki Rais aliyepo madarakani kuchaguliwa kwa mara pili lakini siyo lazima achaguliwe kwa mara pili.
Sasa tukija kwa CAG, Public Audit Act inasema CAG shall be eligible for renewal, kitendo cha kuweka 'eligible' mbele ya 'shall be', maana yake CAG ana haki ukiteuliwa mara ya pili lakini siyo lazima achaguliwe.
AsanteniView attachment 1253281View attachment 1253282View attachment 1253283
Unaelewa eligible maana yake ni nini?Nimejibu nilichokujibu kwa sababu umesema hilo neno SHALL tunalitafsiri vibaya... na mimi ndo nimekuambia neno SHALL limetafsiriwa na sheria zetu wenyewe! Kwahiyo kama kutafsiri vibaya, basi ni sheria zetu ndizo zimetafsiri vibaya na sio "..sisi"
Aidha, umesema:-
Hapo ingekuwa sio lazima, kwa mujibu wa sheria zetu wangeandika "may be be eligible for renewal" na sio "shall be eligible for renewal"
Msingi haupo kwenye neno ELIGIBLE bali kwenye neno SHALL. Lau kama wangeandika "may be eligible" hapo ingekuwa sio shuruti!!
Umesoma hadi mwisho?!shall be eligible ikageuka kuwa must be eligible??
Na kama ni must hiyo miaka mi5 yanini?
si wangeunganisha tu bila eligible?
Haya ni matokeo ya kuwa na "weak legal institution" poor attoney general......Tatizo Raisi amefanya haya kwa Mihemko, Kudanganywa na Kujidanganga, Kushauriwa vibaya na Kujishauri vibaya na On top of that Kwa CHUKI binafsi.
Raisi amevunja Katiba ALIYOAPA kuilinda huku akimtaja MUNGU anayedai kumtanguliza mbele'
Ndio uelezee objection yako ilipo ili wengine tupate faidaSasa kama wewe umeeleza maana ya shall kwa mujibu wa sheria zetu, na mimi sijakataa maana ya shall uliyoieleza, tatizo liko wapi?
Nimekuuliza unaelewa objection yangu iko wapi, hujajibu.
Ni kwa sababu huelewi na hutaki kukubali kwamba huelewi au ni kwa sababu gani?
Unaelewa objection yangu?
Sifahamu... eleza wewe kwa kuangalia muktadha huu na bila kukiuka vifundgu vya sheria zetu!!Unaelewa eligible maana yake ni nini?
Ni sawa, kuanzia leo tayari tuna CAG mpya.Vipi kuhusu picha yake kuondolewa kwenye tovuti rasmi ya serikali? Sawa hii?
Mkuu mleta mada neno eligible kaliacha makusudi.Katiba inasema CAG apewe miaka mitano.Lakini lazima astaafu akiwa na miaka 60.profesa Assad Ana miaka 58 ukimpa mitano na huku unajua anastaafu na miaka 60 ina maana umempa mtu U CAG ambaye sio Eligible kwa umri.wake sababu atatumikia miaka Miwili tu na katiba haitoi mamlaka ya mteuzi kumpa miaka Miwili.Kikatiba profesa Asad kafikia ukikongwe wa kutoteulika Kama CAG sababu ya eligiblity ya umrishall be eligible ikageuka kuwa must be eligible??
Na kama ni must hiyo miaka mi5 yanini?
si wangeunganisha tu bila eligible?
Mara ngapi?Ndio uelezee objection yako ilipo ili wengine tupate faida
Sasa kwa nini unashupalia vitu usivyoelewa?Sifahamu... eleza wewe kwa kuangalia muktadha huu na bila kukiuka vifundgu vya sheria zetu!!
Man, umesoma thread hadi mwisho?! Hiyo "shall" hatuitafsiri sisi bali inatafsriwa na Interpretation of Laws Act Ibara ya 53 (1&2) Kwamba:-
Pale pasipo na SHURUTI, hutumika neno MAY na sio SHALL!!
Fuatilia hata Sheria za US... hata wao hilo neno SHALL iliwabidi wali-replace na MUST kwenye sheria zao kwa sababu wakati kwenye law schools SHALL inafundishwa kwamba ni SHURUTI, kwenye general use of English SHALL sio SHURUTI, na matokeo yake ikawa inaleta mkanganyo!!